Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Hao wasenge kwani hawapati salary? Who are they? Acheni ushenzi nyie serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa,walimu,wakunga,madaktari nao.Maana wanafanya kazi kubwa snWatumishi wote wapewe haiwezekani kwa polisi tu
Ndio maana ma wananchi yatazidi kuburuzwa yaani Serikali itumie kodi zao kuyalipa mapolisi Salary na maposho,mapolisi yanabambikia watu kesi,mapolisi yanachukua rushwa eti tena yapewe viwanja kwa kodi za wananchi?Hii nchi inashangaza sana yani limtu kama Muroto na majigambo yote yale linakua hata halina kibanda baada ya kustaafu loh, na kwa jinsi yalivyo na roho mbaya yanatakiwa yakistaafu yasipate hata wa kuyatembelea wale jeuri yao ,wanapokua kazini wanasahau kama na wao ni binadamu na watafika kipindi watarudi kwenye jamii
We hujashika silaha. Kwa hiyo sio threatHawa wasomi mambo yao nachoka.
Waongezeeni mishahara hivyo viwanja watanunua tu,na sio polisi peke yao watumishi wote
Aliyeongea kuwapatia Polisi viwanja ni Waziri anayehusika nao. Na ninyi wengine walilieni Mawaziri wenu.Watumishi wote wapewe haiwezekani kwa polisi tu
Ujinga sana na juzi Rais anamwambia Siro afute kesi za kubambika anamjibu eti apewe miaka miwili yaani nchi hii, na bado anaendelea kuwa IGP tuNdio maana ma wananchi yatazidi kuburuzwa yaani Serikali itumie kodi zao kuyalipa mapolisi Salary na maposho,mapolisi yanabambikia watu kesi,mapolisi yanachukua rushwa eti tena yapewe viwanja kwa kodi za wananchi?
Miwananchi isipokomaa kuyapiga chini maccm itaendelea kukandamizwa hadi akili ikae sawa
Usiteseke mkuu,nasikia wakati wa kustaafu: kama polisi atachukua pensheni ya 50m,mwalimu anavuta 100m.Usiteseke kabisa,hivi unajua polisi akishapata ajira humchukua miaka 12 ili kuingia katika mfumo wa pensheni?Polisi pekee ndiyo watumishi nchi hii?
Walimu na mishahara yao duni hawahitaji viwanja? Hawahitaji unafuu wa bei?
Kupanga ni kuchagua hao wanaoadhirika wakistaafu, hawakujipanga.
Tuache upendeleo kwenye kada fulani.
Everyday is Saturday 😎
Kazi na dawaKwasababu ni Babati