Serikali kuwapatia viwanja Polisi ili wasifedheheke wakistaafu

Kama mimi ni mzaliwa wa Babati na kituo changu cha kazi ni Mtwara. Kiwanja nikipatiwa Mtwara itakuaje niki staafu?
Unaweza patiwa hata mabwepande, na hutakiwi kuhoji ni vitu vya bure hivyo unakubali popote
 
Polisi ni Watumishi wa UMMA kama Walivyo Watumisho Wengine kama Utaratibu ni kuwafanyia Wasiteseke Wakati wa Kustaafu hata hao Watumishi wengine nao Wapatuwe Viwanja kwani nao Watastaafu kwanini Kuwe na Upendeleo?
Ni heri wangesema waongeze mishahara na benefits kwa watumishi wa umma ili hata wanapostaafu waweze kujisimamia
 
Fedheha kwa polisi ni malipo ya dhuruma wanazofanya wakati wakiwa makazini. Hata wapewe mbingu kama hawatatubu na kuacha dhambi za kubambikiza, kuonea na dhuruma nyingine hakika fedheha kwao itakuwa ni stahiki yao na ndo mshahara wa dhambi na haitokaa iwaishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…