Serikali kuwaruhusu CHADEMA kuwa na vikundi vya ulinzi ni kuhatarisha usalama wa nchi yetu na kinyume cha sheria.

Serikali kuwaruhusu CHADEMA kuwa na vikundi vya ulinzi ni kuhatarisha usalama wa nchi yetu na kinyume cha sheria.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

👇👇👇

20220319_184726.jpg

20220319_184354.jpg


20220319_184347.jpg
 
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

[emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031
Muite Kingai akurinde
 
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimewela wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

👇👇👇

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031
Ni sahihi kabisa kwa mujibu wa sheria za vyama vya siasa.
Ila tatizo ni kwamba siasa za nchi yetu ni za kulindana na kulinda maslahi binafsi.
Na hata chama tawala wapo vijana wa green guard, wengine wanawaita wa kwao white guard nk.
Hapo shida ni utekelezaji wa sheria. Kama kuna siasa za amani, makomando wa ulinzi na usalama wana umuhimu gani? Kwanini kujihami? Bila shaka maswali ni mengi!
 
Hivi,kuna muda huwa unakaa na kutafakari kama utakuja kuolewa au umekubali kuwa li-nungayembe?Muda wote unaiwaza CHADEMA tu.Hebu kafue skin-tights zako.Acha ujinga.
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

👇👇👇

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031
 
Swala la ulinzi ni jukumu la kila raia..ulinzi unaanzia nyumbani ..
 
Sheria haikatazi walinzi binafsi, lakini pia kumbuka tulisikia kutoka kwenye viunga vya pilato watu wakishuhudia kuwa vijana hao walifurushwa ukomando na kutelekezwa mitaani wengine wakifanya kazi ya kuponda kokoto! Sasa wakipata kazi nzuri shida ipo wapi?
 
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

👇👇👇

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031

Kweli kabisa, na kesi mmeshindwa
 
Sioni kikundi hapo naona watu watatu tu, na hao ni walinzi binafsi wa Mbowe. Kama hamtaki kuwaona acheni matendo yenu ya kinyama dhidi ya wapinzani mfanye siasa sio kuwavunja miguu kwa kuwavizia usiku.
 
Sioni kikundi hapo naona watu watatu tu, na hao ni walinzi binafsi wa Mbowe. Kama hamtaki kuwaona acheni matendo yenu ya kinyama dhidi ya wapinzani mfanye siasa sio kuwavunja miguu kwa kuwavizia usiku.
Kwani kikundi kinaanzia watu wangapi?
 
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

👇👇👇

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031

Mbowe si ni kada mtiifu wa CCM, au?

Cc: Wakudadavuwa
 
Back
Top Bottom