Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,154
Wamefanya kipi kibaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakufa muda si wako.Relax.Tupo tunaomboleza vifo vya wenzetu Moro usije ukafanya tukaumia zaidi tukijutia katika hao 22 angepona mmoja then umreplace weweTuliza jampio lako
Sheria ifuate mkondo
Sheria haibagui, maana haina macho.Kwa kada mtiifu wa CCM? Mbona kujichanganya hivyo?
Freeman Mbowe, kada mtiifu wa CCM aliyepewa uenyekiti CHADEMA
Au ndiyo kupwelewa kwenyewe huku?
Wakudadavuwa ulipo hapo Lumumba kuna salamu zenu huku!
Sheria haibagui, maana haina macho.
Wamekwenda wapi?Kwani wapo?
Vipi ulikuwepo chato kwenye sherehe za kuadhimisha mwaka mmoja toka kipenzi chenu apaishwe mawinguni?Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.
Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.
Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.
Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu
👇👇👇
View attachment 2157029
View attachment 2157030
View attachment 2157031
Unahangaika sana na chadema huna kazi zingine za kufanya?Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.
Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.
Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.
Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu
[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2157029
View attachment 2157030
View attachment 2157031
Kumbuka wamekaa magereza almost miaka miwili. Wape kama mwezi hivi ndugu.Makomamdoo wenyewe wanaonekana wamelegea viuno na nyonga sasa hao watatisha nani?
Sheria ifuate mkondo.Kwani nfuguyo Wakudadavuwa anasema je?
Kawahesabu wale Green Guard ukipata jibu ulete hapa.Kwani kikundi kinaanzia watu wangapi?
Wewe ni mgeni hapa nchini?Kwani wapo?