Serikali kuwaruhusu CHADEMA kuwa na vikundi vya ulinzi ni kuhatarisha usalama wa nchi yetu na kinyume cha sheria.

Tuliza jampio lako
Utakufa muda si wako.Relax.Tupo tunaomboleza vifo vya wenzetu Moro usije ukafanya tukaumia zaidi tukijutia katika hao 22 angepona mmoja then umreplace wewe
 
Utakufa muda si wako.Relax.Tupo tunaomboleza vifo vya wenzetu Moro usije ukafanya tukaumia zaidi tukijutia katika hao 22 angepona mmoja then umreplace wewe
Haya kavae pampasi
 
Kumekucha Tanzania makomando wooote nchini wanahitajika na chadema
 
Vipi ulikuwepo chato kwenye sherehe za kuadhimisha mwaka mmoja toka kipenzi chenu apaishwe mawinguni?
 
Unahangaika sana na chadema huna kazi zingine za kufanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…