Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Toto lenyewe hilo limechagua. Wachunguzeni watoto wenu hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefikiria kitu kisichokuwepo.Yan 😂 watoto wa masomo ya science wamefaulu mpaka imekua Kero, SS wameamua kuwapeleka Art, hapana huu ni uongo
Kabla hatujamchunguza yeye labda tukuchunguze wewe kwanza utimamu wako; nimesema yote kwenye thread.....Toto lenyewe hilo limechagua. Wachunguzeni watoto wenu hao
Sijajua, sijaaangaliaxkwa umakini lakini kuna combination nimeiona ina 'Fa' mwishoni, sijui ndo mojawapo?!!!Hivi zile combination zenye masomo ya dini zimeanza kutumika mwaka huu?
Anamaanisha labda ufaulu ni mkubwa AAA zipo nyingi zimejaza nafasi. Hapo ni kupeleka private tu ili mtoto apate kitu anachoatahili, kitu kizuri.Really?
Like serious?
You must be kidding.
Usivunjike moyo mpambanie kijana.Mbaya zaidi dogo hakuomba combination yoyote ya arts katika maombi yake ya uchaguzi (selform)..... machaguo yOte matano ye ni PCM, PCB AU CBG.
Kijana amepambana kwenye shule yake ya kata hadi amefikia hapo ili ndoto zitimie halafu mnataka kumsumbua na kumuathiri kisaikolojia kama hivyo.
Najua kuna kubadilisha, lakini hilo ni mchakato na kwakuwa amepelekwa shule isiyo na hizo combinations maana yake itamlazimu kugharamika huyo katika kutafuta shule nyingine.........kuna wakuu miungu watu; maringo, rushwa n.k.
Halafu kama machaguo ya mtoto, ambayo hufanyika kwa kuwahusisha walimu pamoja wazazi/walezi, hayazingatiwi kuna haja gani ya kujazishwa?!!!!!!
Inakera sana!
Una uhakuka ulikuwepo wakati wakujaza hisi form, una uhakika?Kabla hatujamchunguza yeye labda tukuchunguze wewe kwanza utimamu wako; nimesema yote kwenye thread.....
Ngoja tuone maostaz na makatekista baadae jioni wataleta mrejeshoSijajua, sijaaangaliaxkwa umakini lakini kuna combination nimeiona ina 'Fa' mwishoni, sijui ndo mojawapo?!!!
Hii HAIPO imefutwa halafu hio Combination kupata course Chuo ni mtitiAU CBG
Ukweli kabisa HUU MTU kusomea history anaenda kua Mkuu kitengo cha TEHAMA, what is Next? Hujaelewa ulizaHili ni tatizo la muda mrefu sana, even serikalini mtu ni mtaalam wa hiki anapewa ofise opposite kabisa na professional yake, matokeo waste of talents
Well limekuwa likifumbiwa macho na wahusika. Mfano mtoto kasoma science na kafaulu vizuri akifika chuo ghafla anapelekwa uhasibu, arts, sasa science alisoma ya nini?Kumbe ndo inakoanzia ee?!!
Una uhakuka ulikuwepo wakati wakujaza hisi form, una uhakika?
Huna ulijualo kuhusu huyo mkuu, nisingesema hivyo kama nisingekuwa nafahamu kitu.Una uhakuka ulikuwepo wakati wakujaza hisi form, una uhakika?
🤣🤣🤣🤣Huna akili, idiot