stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Ndio nakwambia imefutwa Mimi pia nimesoma kitambo na mwanangu kasoma HIO combi Ila Mwaka Jana imefutwa HAIPOMkuu mimi ni graduate nilishapita huko toka 2019..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nakwambia imefutwa Mimi pia nimesoma kitambo na mwanangu kasoma HIO combi Ila Mwaka Jana imefutwa HAIPOMkuu mimi ni graduate nilishapita huko toka 2019..
Pole mkuu. Serikali hii ya CCM ina mambo ya kiqumer sanaMbaya zaidi dogo hakuomba combination yoyote ya arts katika maombi yake ya uchaguzi (selform)..... machaguo yOte matano ye ni PCM, PCB AU CBG.
Kijana amepambana kwenye shule yake ya kata hadi amefikia hapo ili ndoto zitimie halafu mnataka kumsumbua na kumuathiri kisaikolojia kama hivyo.
Najua kuna kubadilisha, lakini hilo ni mchakato na kwakuwa amepelekwa shule isiyo na hizo combinations maana yake itamlazimu kugharamika huyo katika kutafuta shule nyingine, kuna wakuu miungu watu; maringo, rushwa n.k.
Halafu kama machaguo ya mtoto, ambayo hufanyika kwa kuwahusisha walimu pamoja wazazi/walezi, hayazingatiwi kuna haja gani ya kujazishwa?
Inakera sana!
Na huko kwwenye art ame perform vipi?Mbaya zaidi dogo hakuomba combination yoyote ya arts katika maombi yake ya uchaguzi (selform)..... machaguo yOte matano ye ni PCM, PCB AU CBG.
Kijana amepambana kwenye shule yake ya kata hadi amefikia hapo ili ndoto zitimie halafu mnataka kumsumbua na kumuathiri kisaikolojia kama hivyo.
Najua kuna kubadilisha, lakini hilo ni mchakato na kwakuwa amepelekwa shule isiyo na hizo combinations maana yake itamlazimu kugharamika huyo katika kutafuta shule nyingine, kuna wakuu miungu watu; maringo, rushwa n.k.
Halafu kama machaguo ya mtoto, ambayo hufanyika kwa kuwahusisha walimu pamoja wazazi/walezi, hayazingatiwi kuna haja gani ya kujazishwa?
Inakera sana!
Ana nafasi ya kubadili ,huenda ni Changamoto za hapa n pale,Huwa wakienda kumripoti wanapewa mda wa kubadili michepuko.Mbaya zaidi dogo hakuomba combination yoyote ya arts katika maombi yake ya uchaguzi (selform)..... machaguo yOte matano ye ni PCM, PCB AU CBG.
Kijana amepambana kwenye shule yake ya kata hadi amefikia hapo ili ndoto zitimie halafu mnataka kumsumbua na kumuathiri kisaikolojia kama hivyo.
Najua kuna kubadilisha, lakini hilo ni mchakato na kwakuwa amepelekwa shule isiyo na hizo combinations maana yake itamlazimu kugharamika huyo katika kutafuta shule nyingine, kuna wakuu miungu watu; maringo, rushwa n.k.
Halafu kama machaguo ya mtoto, ambayo hufanyika kwa kuwahusisha walimu pamoja wazazi/walezi, hayazingatiwi kuna haja gani ya kujazishwa?
Inakera sana!
Acha kudanganya watu mkuu, huyo aliekosa kozi chuo kwa CBG alikuwa na four labda.. lakini pia CBG haijafutwa
si marehemu magufuli aliombea covid ikatoka.Mbaya zaidi dogo hakuomba combination yoyote ya arts katika maombi yake ya uchaguzi (selform)..... machaguo yOte matano ye ni PCM, PCB AU CBG.
Kijana amepambana kwenye shule yake ya kata hadi amefikia hapo ili ndoto zitimie halafu mnataka kumsumbua na kumuathiri kisaikolojia kama hivyo.
Najua kuna kubadilisha, lakini hilo ni mchakato na kwakuwa amepelekwa shule isiyo na hizo combinations maana yake itamlazimu kugharamika huyo katika kutafuta shule nyingine, kuna wakuu miungu watu; maringo, rushwa n.k.
Halafu kama machaguo ya mtoto, ambayo hufanyika kwa kuwahusisha walimu pamoja wazazi/walezi, hayazingatiwi kuna haja gani ya kujazishwa?
Inakera sana!
Nakusanua!!Mbaya zaidi dogo hakuomba combination yoyote ya arts katika maombi yake ya uchaguzi (selform)..... machaguo yOte matano ye ni PCM, PCB AU CBG.
Kijana amepambana kwenye shule yake ya kata hadi amefikia hapo ili ndoto zitimie halafu mnataka kumsumbua na kumuathiri kisaikolojia kama hivyo.
Najua kuna kubadilisha, lakini hilo ni mchakato na kwakuwa amepelekwa shule isiyo na hizo combinations maana yake itamlazimu kugharamika huyo katika kutafuta shule nyingine, kuna wakuu miungu watu; maringo, rushwa n.k.
Halafu kama machaguo ya mtoto, ambayo hufanyika kwa kuwahusisha walimu pamoja wazazi/walezi, hayazingatiwi kuna haja gani ya kujazishwa?
Inakera sana!
Mkuu haijafutwa sababu mimi mwaka huu nilikuwa nambadirishia kombi mdogo wangu, CBG Ilikuwepo , pia hapa chini angalia kuna chalii kapangiwa CBG sijui kwanini unabisha ?Ndio nakwambia imefutwa Mimi pia nimesoma kitambo na mwanangu kasoma HIO combi Ila Mwaka Jana imefutwa HAIPO
Watu wabishi sana na hamfanyi research.. ebu angalia hapa chini hizi selection za mwaka huuCBG imefutwa mkuu
@stow awayMkuu haijafutwa sababu mimi mwaka huu nilikuwa nambadirishia kombi mdogo wangu, CBG Ilikuwepo , pia hapa chini angalia kuna chalii kapangiwa CBG sijui kwanini unabisha ?View attachment 3006121
@Doubleg MalafyaleWatu wabishi sana na hamfanyi research.. ebu angalia hapa chini hizi selection za mwaka huu View attachment 3006122
Kuna dogo mvulana wa shule ya kata kwenye CBG amefaulu kwa A(Chemistry)B(Biology)C(Geography) na D ya Basic Maths. Alijaza ya kwanza CBG lakini hakupangwa badala yake kapangwa HGE ambayo amepata C History na C Geography.Mbaya zaidi dogo hakuomba combination yoyote ya arts katika maombi yake ya uchaguzi (selform)..... machaguo yOte matano ye ni PCM, PCB AU CBG.
Kijana amepambana kwenye shule yake ya kata hadi amefikia hapo ili ndoto zitimie halafu mnataka kumsumbua na kumuathiri kisaikolojia kama hivyo.
Najua kuna kubadilisha, lakini hilo ni mchakato na kwakuwa amepelekwa shule isiyo na hizo combinations maana yake itamlazimu kugharamika huyo katika kutafuta shule nyingine, kuna wakuu miungu watu; maringo, rushwa n.k.
Halafu kama machaguo ya mtoto, ambayo hufanyika kwa kuwahusisha walimu pamoja wazazi/walezi, hayazingatiwi kuna haja gani ya kujazishwa?
Inakera sana!
Basi watakua wameirudishaMkuu haijafutwa sababu mimi mwaka huu nilikuwa nambadirishia kombi mdogo wangu, CBG Ilikuwepo , pia hapa chini angalia kuna chalii kapangiwa CBG sijui kwanini unabisha ?View attachment 3006121
Ilikua imefutwa labda wameirudisha@stow away
Sawa mkuu but walitangaza kuifuta mwaka jana,nikaamini ishafutwa ahsante kwa referenceWatu wabishi sana na hamfanyi research.. ebu angalia hapa chini hizi selection za mwaka huu View attachment 3006122