Serikali kuweni makini; inakuaje mtoto ana A ya math, B ya Chemistry, B ya biology na B ya Physics halafu mnampangia combination ya Art?

Usivunjike moyo mpambanie kijana.
 
kama ni kweli, hayo ni makosa ya ajabu kabisa
Kuna uwezekano wanaopangia watoto hizo combination ni watu wa Arts;
Kwa kawaida mtu wa sayansi hawezi kufanya makosa ya waziwazi kama hayo!
 
Kumbe ndo inakoanzia ee?!!
Well limekuwa likifumbiwa macho na wahusika. Mfano mtoto kasoma science na kafaulu vizuri akifika chuo ghafla anapelekwa uhasibu, arts, sasa science alisoma ya nini?

Elimu yetu inatakiwa iwe structured kumuandaa kijana kubobea kwenye science au arts based ya combination alizosomea, hii itamjengea foundation nzuri.
Haya mambo ya kuchanganya na kuwaweka watu mahali ambapo hawajabobea ndio maana maofisin hawa perform vizuri
 
enzi zangu performers zilikuwa nzuri sana

A+ basic mathematics
A+ geography
A+ basic science
A+ English Britain language
A+ somo la kiswahili
A+ general history
 
Kama una moyo wakufuatilia nenda kwa Afisa elimu sehemu ulipo aandike barua akiambatanisha na matokeo yake sijui mengi zaidi ila kuna mtu aliambiwa hivyo ili afanyiwe mchakato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…