Serikali kuzuia website za XXX ni kuingilia uhuru wa wananchi wake

Acha dhambi fanya toba
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikua cna mpango wa kucheka wikendi nzima lakin hii comment yako imenichekesha sana...

Kwamba madamu Doro pia alicheki mauno ya shemela wakee [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wamefanya ujinga mkubwa...ndio maana toka jana nataka nipakue ma video ya pilau web inagoma kumbe kuna mapimbi yameshabana hizi ni starehe zetu wengine hatulewi wala kuangalia mamipira yenu ya Simba na Yanga..
 
Mbona kama vile serikali imeamua kujikosesha pesa ama ndio kuvembewa na hivyo vimisaada uchwara vya mabeberu
 
Japo sijawahi kuangalia porn, ila Cherokee alishastaafu....siku hizi ana kampuni yake yeye mwenyewe ya hizo mambo.
Mdada ana matako yenye mvuto nashughuli anaiweza kwa hiyo sa ivi anakula pensheni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…