To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
😂daahTumia drones, zitakusaidia kupiga picha za mlima hanang
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂daahTumia drones, zitakusaidia kupiga picha za mlima hanang
Mpango yuko wapi? kama wameficha hilo unawashituka nini?MANYARA: Mafuriko yaliyosababishwa na Mvua zilizonyesha kuanzia Desemba 2 huko Hananga ,yameleta maafa makubwa,vifo , uharibufu wa Mali .
Maporomoko ya mawe, miti , Tope kutoka Mlima Hanang yakielekea katika Mji wa Kateshi yakiwa na nguvu yamebomoa nyumba za wananchi
Lakin mpaka Sasa bado picha za mlima ulio sababisha madhara hazionekani .
Ni kama mafuriko ya Tope yametokea From no where Yan,
Je waandishi wa habari wazuiwa wasipige picha za mlima ulio sababisha madhara ?.
Ila wananchi wanaishi karibu na huo mlima walidai kuona Moshi ukitoka kwenye huo mlima,siku chake kabla ya mvua kunyesha
ina maana serikali ilijua ikamua kukaa kimya, matokeo yake ndio Haya 👆 Sasa vifo na uharibufu wa Mali
Jamani tunaomba hizo picha kuna kitu cha kujifunza kwenye hili tukio linalosababishwa na maumbile ya dunia
Wanafunzi mashuleni wanatakiwa kujifunza na wananchi pia kuelewa Tabia ya nchi.
Na Sio kuficha madhara ya tukio, Kwan haisaidii wala kuzuia lisitokee tena .
AiseeIna maana ni Kweli mumezuia waandishi wasipige picha za tukio huko hanang,
Kweli mkuu umejidhalilisha Sana
Si uende huko huko Hanang ukapige vizuri?MANYARA: Mafuriko yaliyosababishwa na Mvua zilizonyesha kuanzia Desemba 2 huko Hananga ,yameleta maafa makubwa,vifo , uharibufu wa Mali .
Maporomoko ya mawe, miti , Tope kutoka Mlima Hanang yakielekea katika Mji wa Kateshi yakiwa na nguvu yamebomoa nyumba za wananchi
Lakin mpaka Sasa bado picha za mlima ulio sababisha madhara hazionekani .
Ni kama mafuriko ya Tope yametokea From no where Yan,
Je waandishi wa habari wazuiwa wasipige picha za mlima ulio sababisha madhara ?.
Ila wananchi wanaishi karibu na huo mlima walidai kuona Moshi ukitoka kwenye huo mlima,siku chake kabla ya mvua kunyesha
ina maana serikali ilijua ikamua kukaa kimya, matokeo yake ndio Haya [emoji115] Sasa vifo na uharibufu wa Mali
Jamani tunaomba hizo picha kuna kitu cha kujifunza kwenye hili tukio linalosababishwa na maumbile ya dunia
Wanafunzi mashuleni wanatakiwa kujifunza na wananchi pia kuelewa Tabia ya nchi.
Na Sio kuficha madhara ya tukio, Kwan haisaidii wala kuzuia lisitokee tena .
Volcanic eruption iliyo trigger landslide kutokana na ardhi kuwa nyororo kufuatia mvua kubwa na labda overflow of magma......this sounds logical.Ndio mkuu ni volcano 🌋 eruption, mvua imekuja kuipoza,
So kuna maiti zimeungua
Uko wapi tukuletee picha zote zaidi ya 10 elfu uchague unazotaka?MANYARA: Mafuriko yaliyosababishwa na Mvua zilizonyesha kuanzia Desemba 2 huko Hananga ,yameleta maafa makubwa,vifo , uharibufu wa Mali .
Maporomoko ya mawe, miti , Tope kutoka Mlima Hanang yakielekea katika Mji wa Kateshi yakiwa na nguvu yamebomoa nyumba za wananchi
Lakin mpaka Sasa bado picha za mlima ulio sababisha madhara hazionekani .
Ni kama mafuriko ya Tope yametokea From no where Yan,
Je waandishi wa habari wazuiwa wasipige picha za mlima ulio sababisha madhara ?.
Ila wananchi wanaishi karibu na huo mlima walidai kuona Moshi ukitoka kwenye huo mlima,siku chake kabla ya mvua kunyesha
ina maana serikali ilijua ikamua kukaa kimya, matokeo yake ndio Haya 👆 Sasa vifo na uharibufu wa Mali
Jamani tunaomba hizo picha kuna kitu cha kujifunza kwenye hili tukio linalosababishwa na maumbile ya dunia
Wanafunzi mashuleni wanatakiwa kujifunza na wananchi pia kuelewa Tabia ya nchi.
Na Sio kuficha madhara ya tukio, Kwan haisaidii wala kuzuia lisitokee tena
Hizo picha weka mitandaoni tuzione,Uko wapi tukuletee picha zote zaidi ya 10 elfu uchague unazotaka?
Isitoshe serikali haijaenda dareda kupiga picha bali kusaidia wahanga wa maporomoko ya mlima hanang.
wana hoja, ila hoja yao na yako hazipingani zinaweza kukaa pamojaNi Kweli mkuu,
Ila kwenye comments 👆 kuna watu hawataki kabisa , SS sijui Wana shida Gani kichwani