Serikali kwanini inaficha picha za Katesh, Hanang?

Serikali kwanini inaficha picha za Katesh, Hanang?

Unataka picha za aina gani?





Google picha za "Hanang mudslide".
 
MANYARA: Mafuriko yaliyosababishwa na Mvua zilizonyesha kuanzia Desemba 2 huko Hananga ,yameleta maafa makubwa,vifo , uharibufu wa Mali.

Maporomoko ya mawe, miti , Tope kutoka Mlima Hanang yakielekea katika Mji wa Kateshi yakiwa na nguvu yamebomoa nyumba za wananchi.

Lakin mpaka Sasa bado picha za mlima ulio sababisha madhara hazionekani .

Ni kama mafuriko ya Tope yametokea From no where Yan.

Je, waandishi wa habari wazuiwa wasipige picha za mlima ulio sababisha madhara ?.

Ila wananchi wanaishi karibu na huo mlima walidai kuona Moshi ukitoka kwenye huo mlima,siku chake kabla ya mvua kunyesha.

ina maana serikali ilijua ikamua kukaa kimya, matokeo yake ndio Haya 👆 Sasa vifo na uharibufu wa Mali.

Jamani tunaomba hizo picha kuna kitu cha kujifunza kwenye hili tukio linalosababishwa na maumbile ya dunia.

Wanafunzi mashuleni wanatakiwa kujifunza na wananchi pia kuelewa Tabia ya nchi.

Na Sio kuficha madhara ya tukio, Kwan haisaidii wala kuzuia lisitokee tena.

Pia soma >Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
Nchi inaenda kihuni huni hii
 
Unataka picha za aina gani?





Google picha za "Hanang mudslide".
Nataka pictures za juu ya mlima hanang nione kreta yake yake
 
MANYARA: Mafuriko yaliyosababishwa na Mvua zilizonyesha kuanzia Desemba 2 huko Hananga ,yameleta maafa makubwa,vifo , uharibufu wa Mali.

Maporomoko ya mawe, miti , Tope kutoka Mlima Hanang yakielekea katika Mji wa Kateshi yakiwa na nguvu yamebomoa nyumba za wananchi.

Lakin mpaka Sasa bado picha za mlima ulio sababisha madhara hazionekani .

Ni kama mafuriko ya Tope yametokea From no where Yan.

Je, waandishi wa habari wazuiwa wasipige picha za mlima ulio sababisha madhara ?.

Ila wananchi wanaishi karibu na huo mlima walidai kuona Moshi ukitoka kwenye huo mlima,siku chake kabla ya mvua kunyesha.

ina maana serikali ilijua ikamua kukaa kimya, matokeo yake ndio Haya [emoji115] Sasa vifo na uharibufu wa Mali.

Jamani tunaomba hizo picha kuna kitu cha kujifunza kwenye hili tukio linalosababishwa na maumbile ya dunia.

Wanafunzi mashuleni wanatakiwa kujifunza na wananchi pia kuelewa Tabia ya nchi.

Na Sio kuficha madhara ya tukio, Kwan haisaidii wala kuzuia lisitokee tena.

Pia soma >Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63

Hujazuiwa nenda kapige wewe kwa tani yako. Si unayo smart phone au una kiswaswadu?
Ruksa nenda unakimbia kule kapige picha na uturushie hapa!
 
Mlima ndiyo kwanza umetupa mudslide, watu wanasafisha miundombinu chini bado, wewe unataka watu wapande juu wakapige picha za kukuonesha wewe?
Hapana mkuu, cjamaanisha watu Waache shughuli za uwokozi.

Ila mbona mawaziri walitumia chopa, lakini Cha ajabu waka post picha za Wao wakiwa ndani ya chopa , badala ya kuonyesha uhalibifu uliotokana na mafuriko ya matope
 
MANYARA: Mafuriko yaliyosababishwa na Mvua zilizonyesha kuanzia Desemba 2 huko Hananga ,yameleta maafa makubwa,vifo , uharibufu wa Mali.

Maporomoko ya mawe, miti , Tope kutoka Mlima Hanang yakielekea katika Mji wa Kateshi yakiwa na nguvu yamebomoa nyumba za wananchi.

Lakin mpaka Sasa bado picha za mlima ulio sababisha madhara hazionekani .

Ni kama mafuriko ya Tope yametokea From no where Yan.

Je, waandishi wa habari wazuiwa wasipige picha za mlima ulio sababisha madhara ?.

Ila wananchi wanaishi karibu na huo mlima walidai kuona Moshi ukitoka kwenye huo mlima,siku chake kabla ya mvua kunyesha.

ina maana serikali ilijua ikamua kukaa kimya, matokeo yake ndio Haya 👆 Sasa vifo na uharibufu wa Mali.

Jamani tunaomba hizo picha kuna kitu cha kujifunza kwenye hili tukio linalosababishwa na maumbile ya dunia.

Wanafunzi mashuleni wanatakiwa kujifunza na wananchi pia kuelewa Tabia ya nchi.

Na Sio kuficha madhara ya tukio, Kwan haisaidii wala kuzuia lisitokee tena.

Pia soma >Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
Sii hasa imeshaingi kwa manufaa ya wana sii hasa.
 
Hapana mkuu, cjamaanisha watu Waache shughuli za uwokozi.

Ila mbona mawaziri walitumia chopa, lakini Cha ajabu waka post picha za Wao wakiwa ndani ya chopa , badala ya kuonyesha uhalibifu uliotokana na mafuriko ya matope
Mawqziri ni wanasiasa, si wanajiografia, wapigapicha wala walimu.

Hawawezi kuacha nafasi ya kujipiga picha wao wapige picha ya mlima kukufundisha wewe.

Uchumi ukichanganya, kina Millard Ayo na wenzake watapata chopa nankwenda kupiga picha.

Vilevike, kwa sasa inawezekana ni mapema sana kupata picha za juu kwa sababu watu wanatafiti kilichotokea ni nini, wasije kwenda kupiga picha huko wakakutana na ajali nyingine.
 
Back
Top Bottom