Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni muhimu sana kwa ajili ya kufundishia na kufanya tafiti..Ndio tulikuwa tunaomba picha za mlima hanang Kwa ajili ya kumbukumbu za kielimu
Ingekuwa volcano hayo matope yangesha solidify na kuwa maweVolcanic eruption iliyo trigger landslide kutokana na ardhi kuwa nyororo kufuatia mvua kubwa na labda overflow of magma......this sounds logical.
Ndo Hakuna wa kuipinga serikali sasa hakuna namna!Kuamua ujinga ni rahisi kuliko maarifa
Sure!👍Kwa wenye akili kuna namna Tu
Jf kuna wathengerema,sikutegemea kama to yeye nae ni miongoni mwaoIna maana ni Kweli mumezuia waandishi wasipige picha za tukio huko hanang,
Kweli mkuu umejidhalilisha Sana
Acha upuuzi. Kama huna cha kuchangia, kaa kimya bro.Si uende huko huko Hanang ukapige vizuri?
Kenge wewe
Ndo nchi yetu ilikofikia!Watu wanashindwa kuelewa vitu muhimu, sijui Shule walienda kukariri Tu 😂
Kuna nchi wanataka kutoa msaada SEMA wanashindwa kuwaelewa viongozi 🇹🇿 Wana Akili Gani.Nilikuwa nafikiri kitu hicho pia!
Akina Ayo wameshindwaje kurusha drones zao tukapata aerial view ya huo mlima upande ulioporomoka?
Lazima hao baka wamepiga mkwara!