Ukweli Hali ni inatisha ,kama serikali ingeamua kuwa waziNilikuwa nafikiri kitu hicho pia!
Akina Ayo wameshindwaje kurusha drones zao tukapata aerial view ya huo mlima upande ulioporomoka?
Lazima hao baka wamepiga mkwara!
Moshi ulitokea siku chache Kabla ya tukio,Kama ingekuwa Volcano basi hayo matope yaliyochanganyika na Lava yangekuwa yame-Solidify.
Pia, Volcano sio Siri. Kwani moshi ungeonekana hata miji ya jirani
Moshi ulitokea siku chache Kabla ya tukio,
Sikiliza vizur 👆, Hata Wana ecology wa DSM hili swala wanalijua
Nchi inaenda kihuni huni hiiMANYARA: Mafuriko yaliyosababishwa na Mvua zilizonyesha kuanzia Desemba 2 huko Hananga ,yameleta maafa makubwa,vifo , uharibufu wa Mali.
Maporomoko ya mawe, miti , Tope kutoka Mlima Hanang yakielekea katika Mji wa Kateshi yakiwa na nguvu yamebomoa nyumba za wananchi.
Lakin mpaka Sasa bado picha za mlima ulio sababisha madhara hazionekani .
Ni kama mafuriko ya Tope yametokea From no where Yan.
Je, waandishi wa habari wazuiwa wasipige picha za mlima ulio sababisha madhara ?.
Ila wananchi wanaishi karibu na huo mlima walidai kuona Moshi ukitoka kwenye huo mlima,siku chake kabla ya mvua kunyesha.
ina maana serikali ilijua ikamua kukaa kimya, matokeo yake ndio Haya 👆 Sasa vifo na uharibufu wa Mali.
Jamani tunaomba hizo picha kuna kitu cha kujifunza kwenye hili tukio linalosababishwa na maumbile ya dunia.
Wanafunzi mashuleni wanatakiwa kujifunza na wananchi pia kuelewa Tabia ya nchi.
Na Sio kuficha madhara ya tukio, Kwan haisaidii wala kuzuia lisitokee tena.
Pia soma >Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
Nataka pictures za juu ya mlima hanang nione kreta yake yakeUnataka picha za aina gani?
President Samia visits mudslide-devastated Hanang - Daily News
MANYARA, Hanang: President Samia Suluhu Hassan arrived in Hanang District on Thursday to personally assess the extent of…dailynews.co.tz
Hanang mudslide disaster: Living to tell the tale - Daily News
MANYARA, Hanang: CUTTING a forlorn figure, Scholastica Francis stares towards a heap of thick mud that has buried…dailynews.co.tz
Veridian by VeerOne - Neural Knowledge Infrastructure
Transform your enterprise with VeerOne's Veridian, a unified neural knowledge OS that revolutionizes how organizations build, deploy, and maintain cutting-edge AI applications with real-time RAG and intelligent data fabric.bnn.network
Glimmer of hope at last after Hanang disaster devastation
President Samia who cut short her trip to the United Arab Emirates (UAE) for COP 28, will visit the areas affected by the floods today.www.thecitizen.co.tz
Google picha za "Hanang mudslide".
Mlima ndiyo kwanza umetupa mudslide, watu wanasafisha miundombinu chini bado, wewe unataka watu wapande juu wakapige picha za kukuonesha wewe?Nataka pictures za juu ya mlima hanang nione kreta yake yake
Hatujui maana Yukio limetokea usiku na mvua ikinyesha
MANYARA: Mafuriko yaliyosababishwa na Mvua zilizonyesha kuanzia Desemba 2 huko Hananga ,yameleta maafa makubwa,vifo , uharibufu wa Mali.
Maporomoko ya mawe, miti , Tope kutoka Mlima Hanang yakielekea katika Mji wa Kateshi yakiwa na nguvu yamebomoa nyumba za wananchi.
Lakin mpaka Sasa bado picha za mlima ulio sababisha madhara hazionekani .
Ni kama mafuriko ya Tope yametokea From no where Yan.
Je, waandishi wa habari wazuiwa wasipige picha za mlima ulio sababisha madhara ?.
Ila wananchi wanaishi karibu na huo mlima walidai kuona Moshi ukitoka kwenye huo mlima,siku chake kabla ya mvua kunyesha.
ina maana serikali ilijua ikamua kukaa kimya, matokeo yake ndio Haya [emoji115] Sasa vifo na uharibufu wa Mali.
Jamani tunaomba hizo picha kuna kitu cha kujifunza kwenye hili tukio linalosababishwa na maumbile ya dunia.
Wanafunzi mashuleni wanatakiwa kujifunza na wananchi pia kuelewa Tabia ya nchi.
Na Sio kuficha madhara ya tukio, Kwan haisaidii wala kuzuia lisitokee tena.
Pia soma >Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
Hapana mkuu, cjamaanisha watu Waache shughuli za uwokozi.Mlima ndiyo kwanza umetupa mudslide, watu wanasafisha miundombinu chini bado, wewe unataka watu wapande juu wakapige picha za kukuonesha wewe?
Sii hasa imeshaingi kwa manufaa ya wana sii hasa.MANYARA: Mafuriko yaliyosababishwa na Mvua zilizonyesha kuanzia Desemba 2 huko Hananga ,yameleta maafa makubwa,vifo , uharibufu wa Mali.
Maporomoko ya mawe, miti , Tope kutoka Mlima Hanang yakielekea katika Mji wa Kateshi yakiwa na nguvu yamebomoa nyumba za wananchi.
Lakin mpaka Sasa bado picha za mlima ulio sababisha madhara hazionekani .
Ni kama mafuriko ya Tope yametokea From no where Yan.
Je, waandishi wa habari wazuiwa wasipige picha za mlima ulio sababisha madhara ?.
Ila wananchi wanaishi karibu na huo mlima walidai kuona Moshi ukitoka kwenye huo mlima,siku chake kabla ya mvua kunyesha.
ina maana serikali ilijua ikamua kukaa kimya, matokeo yake ndio Haya 👆 Sasa vifo na uharibufu wa Mali.
Jamani tunaomba hizo picha kuna kitu cha kujifunza kwenye hili tukio linalosababishwa na maumbile ya dunia.
Wanafunzi mashuleni wanatakiwa kujifunza na wananchi pia kuelewa Tabia ya nchi.
Na Sio kuficha madhara ya tukio, Kwan haisaidii wala kuzuia lisitokee tena.
Pia soma >Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
Mkuu unachanganya mafile, ni mudslides na Sio mass wastingKilichotokea ni Mass Wasting.
Mpaka sasa ushahidi wa wazi ni mvua kubwa iliyonyesha. Lakini swali ni je, kwa nini itokee siku hizi na sio siku za nyuma au mbele. Hapo wataalamu watakuja na majibu
Kama ni volcano pia itasemwa
Mkuu kule tumewatuma waandishi wengi SEMA ndio hivyo tena
Mawqziri ni wanasiasa, si wanajiografia, wapigapicha wala walimu.Hapana mkuu, cjamaanisha watu Waache shughuli za uwokozi.
Ila mbona mawaziri walitumia chopa, lakini Cha ajabu waka post picha za Wao wakiwa ndani ya chopa , badala ya kuonyesha uhalibifu uliotokana na mafuriko ya matope