Majengo ayajengwi kwakuzingatia biashara wala uchumi ungeniambia majengo yanajengwa kwakuzingatia mambo yafuatayo ningekuona umeasha bangi zako zakuifanya ikulu ni sehemu ya biashara uje na uelimishe watoto wako hivyo hivyo kwamba ikulu ni sehemu ya biashara.
Hizi ni sababu zinazo pelekea hujengwaji wa maghorofa ukibisha na apa bisha tu kwani bangi bado mbichi uliyo vuta
1, Jeoglafia, ya eneo fulani mfano umesema rukwa+froo20 kwa sasa ni kitu ambacho akijawahiwa kufikilika kutokana na joglafia yake kupitiwa na bonde la ufaa kwa kiwango kikubwa mno.
2,Uhaba wa maeneo,
3,City planning, hapa tunazungumzia upangaji wa miji ngazi za mijengo na mitaa hii alipingi kwamba kila mkoa unaweza kumiliki at list froo ata kumi wewe nduguyangu kipindi unazungumzia froo20 ukiongea kwa kejeli unajua apa kuna mikoa imeanzishwa miaka ya 70 ata ghorofa moja lenye froo6 akuna yaani mkoa mzima hakuna naukija kutafuta sababu hakuna na nimikoa inayo zidi baadhi ya mikoa yenye biashara kama unavyo dai.
4,utalii,ni sababu moja wapo ya ujengwaji wa vichuguu kwa hapa Tanzanian sijaona sehemu ambayo aina vivutio vya utalii nafikili serikali izingatie hapa baadhi ya mikoa aipo serious kabisa.
Sababu ni nyingi acha watu wajenge vichuguu usitake kuaminisha watu Bangi zako.
Nyinyi ndo mnafanya baadhi ya mikoa iyonekane ni washamba pindi wakitembelea mikoa iliyo jengeka.
View attachment 2964019View attachment 2964018View attachment 2964020