Tetesi: Serikali mbioni kuchapisha noti mpya, kuna hatari ya kuelekea kwa Mugabe, harufu ya tenda za kifisadi zatawala

Hapa hamna hoja, ni upotoshaji na uchochezi. Hamna madhara yeyote yanayotokana na kuprinti pesa. Isitoshe, kila nchi huwa ina printi pesa kwaajili ya matumizi ya ndani yanchi. Na wala hiki sio kilichotokea Zimbabwe.

Kuna utofauti wa kuprinti kwa maana ya kupelekea pesa nyingi kwenye uchumi, zaidi ya upatikanaji wa huduma na bidhaa sokoni. Printing ya namna hii ndio iliotokea Zimbabwe, na ndio hii ina madhara kiuchumi.

Printing ambayo imeongelewa hapo kwa barua wala sio ile yenye madhara, hii ni ile ya utengenezaji wa pesa, yaani kuzalisha kutoka kiwandani. Ambapo pesa hizi mara baada kutengenezwa sio lazima ziingizwe kwa mzunguko.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlidhani matajiri wakishuswa mtapanda wapi,matajiri wana exposure wamevuka BODA wanaendelea kuingiza chapaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwani notes zikishakuwa printed huwa zinaendelea kubaki idadi hiyo hiyo? Zinapoharibika au kuchakaa n.k huwa zinajitengeneza zenyewe? Wadau humu wamefanfanua vizuri kabisa kwamba yawezekana serikali inaprint notes mpya lakini za muonekano wa sasa ili kuziba pengo la zile notes zilizopotea, kuharibika au kuchakaa na kadhalika. Au inawezekana wanaprint notes mpya ili kuongeza ujazo wa notes kwa maana ya kuprint notes zaidi ili wazipump kwenye mzunguko wa fedha. Na mwisho inawezekana wanaprint notes zenye muonekano mpya kwa ajili ya kubadili tu sura ya notes zetu. Hizo zote ni options lakini usikomalie hiyo option moja tu kana kwamba wewe una uhakika 100% ya sababu za kuprint hizo notes za TZS.
 
Nchi zao hazikomoi kuwasomesha no watu wao,bali uwatengenezea mazingira watu wao kusimama,sisi tunawawekea mikwamo watu wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumwache muheshimiwa sana raisi wetu Dr. Magufuli. Inawezekana anataka hela zichapishwe ili tulipe deni la Stanbic na ESCROW
 
Kuna vitu havikuwa na haraka wala tija Kwa sasa mfano kuhamia Dodoma, passport za kielectronic, marudio ya chaguzi, kununua ndege,vimekausha hela kweli, kweli ambapo hizo hela zingeingizwa kwenye kuwajengea wananchi uwezo wa kuzalisha zingesaidia sana uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna mtu hatakuelewa basi tena. Lakini hii ndio maana halisi ya hio barua, na huu utaratibu umekuwepo siku zote na ni majukumu halali ya BOT. Japo kila mtu ana uelewa wake, ila ulichoandika ndio maana halisi ya hio barua. Nimefuta hata nilichokuwa naandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukikopa sana Kwa ajili ya miradi kisha mda wa marejesho umefika kabla ya miradi kuanza kuleta faida itabidi utumie vyanzo vingine kulipia mikopo hio ili kuepuka kupanda Kwa riba.Na miradi isipolipa au kuchelewa kuanza kulipa hali itazidi kuwa ngumu zaidi na zaidi, kama alivotabiri Bushiri 2015.Siasa inapochukua nafasi ya utaalamu tutapata tabu sana.Mwanasiasa anachojali ni political will sifa za kisiasa bila kujali manufaa ya wengi.Tutembee kifua mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa hiyo uzalishaji ukipanda maana yake hakuna ukuaji wa uchumi!!?..au umeamua kuharisha tu humu na chuki zako
 
Nchi zao hazikomoi kuwasomesha no watu wao,bali uwatengenezea mazingira watu wao kusimama,sisi tunawawekea mikwamo watu wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ndio tatizo kwetu
Yaani mtu anaamua kupitisha kimagendo kahawa iende Uganda kwa sababu tu atapata kwa bei nzuri.

Hatujui strategy za biashara na hawataki kubadilika
Tutabaki hivi hivi wakati nchi nyingi zinatamani wangekuwa hata na ardhi kama yetu

Laiti ningejua kwa nini tuko hivi

Sent from my SM using Tapatalk
 
Inawezekana pia kwasababu mfumuko wa bei uko chini serikali inataka kufuta noti ya 10000, 5000 na 2000 tubakiwe na noti ya buku tu au 2000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyaraka za serikali zinavuja vuja tu kiholela. Na hakuna wa kuwajibishwa. Ni lini tumeona nyaraka za ndani za kenya na uganda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…