Serikali: Mchakato wa Katiba Mpya na maboresho ya Sheria ya vyama vya Siasa na Uchaguzi, sasa kuanza

Haitanizuia ila siwezi kupoteza mda wangu kuwatengenezea ulaji nyie Wanasiasa,Kila mtu apambane kivyake

Kwani nani ameomba msaada wako kwenye kudai hiyo katiba mpya? Au unadhani kuna mtu anafahamu uwepo au umuhimu wako?
 
Alikosea basi kuturoga woteee, sema jamaa anauchawi mkali sana yaani tangu tupo watanzania 2mln tu mpaka sasa tupo 61mln bado dawa inafanya kazi na yeye hayupo?
Yupo, hajafa. Bado anaendelea kuishi KIVINGINE HUMU HUMU TANGANYIKA.
 
Mengine nilikuwa siyakumbuki, kumbe alikuwa Makamu Mwenyekiti wa lile Bunge la Katiba lililovurugika, tuombe asijekupelekeshwa na wahafidhina ndani ya chama chake kama ambavyo ametuthibitishia hao jamaa walikuwepo wakati ule wa mchakato wa maridhiano ukiendelea, kule aliwashinda, hopefully, na hapa atawashinda pia.
 
Mchawi akifa uchawi wake haufi, unaendelea kufanya kazi
Kitafute kitabu chenye title ya " Kivuli kinaishi" ukosome! Bi Kilembwe hakuwa mwanamke Bali mwanamme ambaye ni Nyerere na ule unga wa ndele ndio huchomwa kwenye mwenge na Moshi wake tunauvuta ili tusahau na kupoteza kumbukumbu ya matukio mabaya mapema!
 
Sina hakika kama Katiba Mpya itaniongezea chochote Cha maana kwenye maisha yangu hasa nikiangalia kinachoendelea Kenya ,South Africa,Ufaransa..

Hizi mambo nadhani zinawasaidia zaidi Wanasiasa,so ikipatikana sawa isipopatikana sawa.
Una upumbavu mwingi sana
 
Sa100 atasaidia Nchi kupata KATIBA mpya Bora sana ikiwa tu ataondoa mawazo ya kugombea 2025.

Bring back our WARIOBA πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Naunga mkono hoja 100 % . Na huo ndio ukweli wenyewe !!
 
Sina hakika kama Katiba Mpya itaniongezea chochote Cha maana kwenye maisha yangu hasa nikiangalia kinachoendelea Kenya ,South Africa,Ufaransa..

Hizi mambo nadhani zinawasaidia zaidi Wanasiasa,so ikipatikana sawa isipopatikana sawa.
We ni mjinga na mpumbav wa kwanza dunian
 
Vile "Mama" anawasisitizia CCM kuwa katiba mpya ni lazima na ni sasaπŸ‘‡πŸ˜πŸ˜πŸ˜
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…