Serikali: Mgonjwa wa Corona afariki dunia Mloganzila Hospital

Mgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
hapo naona kiswahili kimekupiga chenga, ana maanisha mgonjwa wa kwanza kupatwa na umauti toka corona iingie nchini, sio alienza kuumwa kabla ya wengine
 
Hakuna anayezuiwa kuota. Cha muhimu, wanajamii puuzenu watu kama hawa wanaopotosha.

Mpaka sasa wapo waliofariki wakiwa na umri chini ya miaka 40, na hawakuwa na ugonjwa mwingine wowote. Japo idadi yao ni ndogo lakini wapo.

Wataalam bado wanasema kuna mengi hayajafamika kuhusiana na ugonjwa huu.

1) Wanaougua wengi ni walio chini ya miaka 50

2) Waliofariki wengi - kwa baadhi ya nchi ni wenye umri wa zaidi ya miaka 70, baadhi ya nchi ni wale wenye umri zaidi ya miaka 60

3) 6% ya watoto wanaopata ugonjwa huu wanakuwa seriously ill

4) zaidi ya 70% ya wagonjwa wote ni wanaume

5) Kinachosababisha zaidi mtu kuathirika zaidi na ugonjwa huu ni hali yake ya kiafya, na siyo umri waje, japo ni kweli kuwa wazee, mara nyingi wana matatizo mengi ya kiafya kuliko vijana

6) Coronavirus can kill anybody regardless of his/her age, race, sex or health status. Abide to all precautions.
 
Poleni ndugu wafiwa,Mungu awape nguvu ktk kipindi hiki kigumu.
 
Watu mnaoendeleza maombi kwa Mungu bila kuweka jitihadi za kujinga dhidi ya huu ugonjwa mna feli wapi?

Nyie endeleni kujikusanya kwenye makanisa, misikiti , masoko , ofisini, bungeni na mikutano halafu mtapata mrejesho wake.

It's true bro! Serikali ijipange na kuwa na health care facilities nzuri,ruhwa ikae pembeni,lockdown ni mhimu sana,tofauti nahapo mtakiona cha corona.
 
Kweli Covid baba lao
Yakishindwa maradhi mengine kukuondoa dunianai,Covid corona Anasomba.
Inaonesha Mungu kaleta Msamaha kwa wagonjwa kuugua kwa muda mrefu ili wasisumbuuke tena.
Hii nayo ni Rehema pia.
Mungu Mkubwa.
 
kumbe hata waafrika tunaeza kufa, kumbe hata kwenye joto vinakaa, haya tuendelee na mzaha wetu tuone madhara mengine!
 
kabla ya Corona alikuwa na ugonjwa upi? lazima tulijue hilo maana corona yeye ni sombasomba hasa kwa wale wadhaifu anamalizia tu.
Ndugu yangu, hayo mengine unaystakia nini? Dakitari kathibitisha kafa kwa corona. Hivi wewe hapo ulipo nikikupima sasa hivi una uhakika hutakuwa na tatizo lolote la kiafya? Jamani, tusitafute visingizio hili ni janga.
 
sblandes, Tanzania hospitali pekee yenye respiratory ventilators ni Muhimbili tu. Sina uhakika ni ngapi lakini kuna mtu aliwahi kusema kuwa ni 4 tu. Sijui kama ni kweli. Lakini hospitali zetu nyingine, hazina.

Siyo kila ICU ina respiratory ventilators. Kama ulivyosema, mgonjwa ambaye mapafu yake yameshambuliwa kwa kiasi kikubwa na covid-19, bila ventilator machine, must go.

Na pia wataalam waku-operate hizi machine, hata tukipewa, naambiwa tunao wachache sana hapo Muhimbili. Kungine huko hawapo.
 
Mgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unawahi kucoment tu wkt hujaelewa halafu mbaya zaidi unaandk na kiingreza kbsa!!watz sisi wajuaji sana!!man up jamaa..hakksha unasoma bandiko lolote hata mara mia ili km itkulazimu kucoment ucoment vzr.PATHETIC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…