Serikali: Mgonjwa wa Corona afariki dunia Mloganzila Hospital

Mkuu so sad,bila hizo Ventilators ni tatizo kubwa,angalau tungekuwa na 15000 kwa kuanzia.
Nimemsikia Governor Andrew Cuomo wa New York akiomba kwa uchungu sana msaada ventilators 30000.
Siombi yatokee lakini dawa muhimu kwetu ni kinga ;ya kutosogeleana(Social distancing)kwa karibu,kunawa mikono mara kwa mara na kupunguza safari zisizo muhimu.kufunga mipaka yote ya nchi.
 
TANZIA
Familia ya Marehemu Alhaj Brigedia Generali Hashim Mbita kwa huzuni kubwa inasikitika kuarifu msiba wa mdogo wetu mpendwa IDDI HASHIM MBITA uliotokea usiku wa kuamkia leo hospitalini Mloganzila.
Kutokana na tatizo lililopelekea kifo chake, CORONA, serikali itamzika mpendwa wetu leo mchana. Wawakilishi wachache sana wa familia wataruhusiwa kuhudhuria mazishi. Hakutakuwa na msiba wala matanga ya pamoja kuepuka kueneza maambukizi. Kila mtu aomboleze kwake.
Dua nyingi tumuombee Iddi Allah amuweke pema peponi. Amina.
 
RIP ndugu yetu, na Mungu awafariji wafiwa wote!
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kubisha mkuu kisarawe haianzii pale, ilipo hospital ni jimbo la kibamba ambapo mbunge ni mnyika
ingia kwenye map zone ya DSM mkuu utaona mipaka,sibishi ila ndio uhalisia ulivyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…