KERO Serikali, mna mpango gani na Usafiri wa Treni? Mnatuwekea siku maalum ya kukata tiketi, halafu tukifika kukata, mnasema nafasi zimeisha?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
KUFA NI KUFA TU NA MLAANIWA NI MLAANIWA TU
 

Attachments

  • Screenshot_20241211-065436_Google.jpg
    149.3 KB · Views: 3
Siku nyingine kata.online siku yoyote afu wapeleeke uone kama wanaikataa. Online Hakunaga siku.maaluumu ilimradi train IPO.

Wafanyakazi wa.pale station wanadhani kila anayesafiri na MGR ni mchunga ng'ombe Wana madharau sana

Nakubaliana na weww mtoa mada bongo tuna watendaji wapumbavu kupitiliza..maajabu baadhi ya mabehewa ya second class fan na charger za simu hazifanyi KAZI
 
Mambo mawili makuu
  1. Rushwa
  2. Hujuma
Kwanini hawataki kudigitize hiyo huduma ya ticketing
No unakataa online. Sema watumiaji wengi es MGR ndo hivyo Tena wanaliwa sana hela na station masters Kwa kuiziwa seat
 
Huu upuuzi hata kwenye treni ya TAZARA kipindi hicho ulikuwa unafanyika sana. Sijui siku hizi kama wamebadilika.

Imagine unaenda stesheni na hela yako ya kutosha tu!
Unawaambia unataka second class au super seater, halafu wanakuambia eti nafasi zimejaa! Na ukikata 3rd class ambako nafasi huwa hazijai, umekwisha! Maana huko kuna vibaka wengi mpaka basi. Ukijisahau tu na kusinzia, ukishtuka wamekuibia kila kitu.
 
Dah Asante sana, sitokuja kurudia kunichanganya kuplan kusafiri Kwa train😏😏😏. Yaani kumbe hadi second class Kuna ujinga hovyoooo
 
3 class ni balaa tu usilogwe, labda kama unafanya utafiti maalumu na uende umejiandaa kisela sela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…