Serikali mnataka tufanye kazi gani?

Serikali mnataka tufanye kazi gani?

Fundi manyumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2018
Posts
3,799
Reaction score
8,063
Salamu wakuu.

Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.

Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.

KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.

Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...

Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...

Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..

Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...

Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu

Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
 
Huko serikali wamejaa wazee hawajui vijana wanapitia changamoto gani kwasasa!, tena wakiowaona vijana kadhaa waliofanikiwa nakutumbua wanajua vijana wote mambo safi!. kumbe wengine mafanikio waliyonayo wanajihusisha na mambo ya hovyo!.
sera
katiba
serikali
viongozi
vyote hivi vinahitajika kuboreshwa.
 
Huko serikali wamejaa wazee hawajui vijana wanapitia changamoto gani kwasasa!, tena wakiowaona vijana kadhaa waliofanikiwa nakutumbua wanajua vijana wote mambo safi!. kumbe wengine mafanikio waliyonayo wanajihusisha na mambo ya hovyo!.
sera
katiba
serikali
viongozi
vyote hivi vinahitajika kuboreshwa.
Mkuu acha tuu nimechomolewa pesa hadi nashanga kwa kipi nilichofanya cha kutoa pesa nyingi hivi mkuu.

Alafu hao wenye viti na wengine wote wanashangaaa tuu...
Mkuu its so sad
Serikali inataka tufanye nini sasa hivi wameshindwa ku deal na ma big fish huko mpaka wanakuja kwetu kwa sisi watoto wa mama ntilie
 
Pole mkuu TUNAISHI KWENYE MAUMIVU MAKALI na wachache wapo hvo kwa makusudi ama kutokujua ,,, ila endelea kusikilizia kuna mtego utanasa na furaha yako italudi,,, TUSICHOKE KUMUOMBA MUNGU
Mkuu acha tuu its too sad...
Mkuu watu wanajua kabisa tunatafuta katika hali ngumu ila hapo hapo wanatupiga nyundo za ajabu ajabu...

Sio kwamba tupo main road an ndani ndani huku lakini bado wanaona kama una faidi sana
 
Mkuu acha tuu nimechomolewa pesa hadi nashanga kwa kipi nilichofanya cha kutoa pesa nyingi hivi mkuu.

Alafu hao wenye viti na wengine wote wanashangaaa tuu...
Mkuu its so sad
Serikali inataka tufanye nini sasa hivi wameshindwa ku deal na ma big fish huko mpaka wanakuja kwetu kwa sisi watoto wa mama ntilie
pole mkuu
 
Salamu wakuu.

Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.

Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.

KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.

Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...

Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...

Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..

Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...

Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu

Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
Pole sana hiyo tunaita mjasiriamali na yanayo mzunguka mimi nimegundua kwamba yanayo mzunguka mjasiriamali yana nguvu hata kuua biashara inatakiwa uyajue ili uweze kukabiliana na changamoto zinazo sababishwa na hilo

Asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara yanamtegemea mjasiriamali hiyo aslimia 20 ni yanayo mzunguka
 
Pole sana hiyo tunaita mjasiriamali na yanayo mzunguka mimi nimegundua kwamba ayanayo mzunguka mjasiriamali yana nguvu hata kuua biashara inatakiwa uyajue ili uweze kukabiliana na changamoto zinazo sababishwa na hilo

Asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara yanamtegemea mjasiriamali hiyo aslimia 20 ni yanayo mzunguka
Mkuu hali mbaya ujue...
Hvi kweli watu
 
Salamu wakuu.

Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.

Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.

KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.

Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...

Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...

Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..

Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...

Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu

Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
huana haja ya kuiba kuona wovu, wala kutamani au kudokoa mali ya wenyewe, watakupoteza bure tu

kilimo, ufugaji na biashara ni ajira za wazi, mtatiji ikiwa ni uthubutu, nguvu na bidii yako tu unatoboa maisha kiulaini sana :NoGodNo:
 
Salamu wakuu.

Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.

Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.

KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.

Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...

Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...

Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..

Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...

Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu

Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
Aliyeipindua serikali ya Syria ni Dogo wa 1992! Alianza kupiga na Vita akiwa na 17 yrs tu,
 
huana haja ya kuiba kuona wovu, wala kutamani au kudokoa mali ya wenyewe, watakupoteza bure tu

kilimo, ufugaji na biashara ni ajira za wazi, mtatiji ikiwa ni uthubutu, nguvu na bidii yako tu unatoboa maisha kiulaini sana :NoGodNo:
Mnaongea tu , mimi hayo yote nimefanya ,na hakuna kitu zaidi ya kutorekea
🐒 🙈 🙊 🐵 🙉 🐒 🙈 🙊

















nje tu , wengi wanajivunia kutokua raia wa nchi ya kusadikika 🤔🤔🤔 🐒
 
Back
Top Bottom