Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Hao saa mbovu ndio sahihi hata wasipoteze majira ya saa nyingine nzima.sidhani kama huyo mtu anatumia utimamu wake mkuu
hatupaswi kumquote, kujibizana nae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao saa mbovu ndio sahihi hata wasipoteze majira ya saa nyingine nzima.sidhani kama huyo mtu anatumia utimamu wake mkuu
hatupaswi kumquote, kujibizana nae.
kwa eneo nililopo huku kijijini jimboni mahindi kilo 100 elfu60, alizeti gunia laki 110 kwa sasa sokoni iko juu kidogo ya hiyoGunia ya mahindi kilo 90 bei gani

Mkuu huwa ninajiuliza sana kama mnajali haki na utu wa wanadamu 🤔🤔🤔 🐒mwa huu wa kilimo nililima zaidi ya ekari mia3,
na katika mwaka ujao wa kilimo,
na actualy tayari kilimo kimeanza maeneo mengi nchini nitalima zaidi ya ekari mia4 bila mbambamba yoyote gentleman![]()
Ili hata wakiengua kipindi chao kile tuwe bize na kubeti,kubashiri na kucheza kamari huku waenguaji na wasimamizi wasaidizi wanafanya yao.Serikali inataka tuwe wanasiriamali wadogo wadogo yani TUWE TUNABET/KUBASHIRI MICHEZO MBALI MBALI
Akikujibu tuambieMkuu huwa ninajiuliza sana kama mnajali haki na utu wa wanadamu 🤔🤔🤔 🐒
Wanachukua chao mapema watachukuamo ujifie hata kabla hujatambaa,achilia mbali kukuwa na kuwa mkubwa hayo ni yako na hayawahusu.Vitu kama hivyo serikali inabidi iwape vijana miongozo. Hao maafisa kazi zao inabidi kuwa kutoa elimu, kuisadia biashara changa, kuangalia jinsi ya kuondoa au kupunguza changamoto.
Mbeleni ndio watakuwa wafanyabiashara wakubwa wakipata support.
Gentleman,Mkuu huwa ninajiuliza sana kama mnajali haki na utu wa wanadamu 🤔🤔🤔😒

Kama unaweza kuuza utu wako ukasimamia uofu, maovu yote, unacheka na kusema walioonewa ndio waliokosea..Uchawa ndio ajira pekee inayopatikana kwa urahisi taifa la giza.
TUambie chama cha waenguaji na wasimamizi wasaidizi angalao tutakuelewaGentleman,
haki, uhuru na usawa wa mwanadamu ndio hasa msingi wa kuanzishwa kwa Chama Cha Mapinduzi CCM.
hata hivyo,
hizo ni haki za msingi mahususi kwa kila mwanadamu ulimwenguni kote. hayupo wa kuchezea hiyo kitu aise dah![]()
Sasa umewapa ya nini? Komaa kama kufunga biashara funga ofisi anza upya sehemu nyingine! Unadhani biashara inafanywa kinyonge hivyo?Salamu wakuu.
Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.
Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.
KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.
Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...
Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...
Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..
Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...
Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu
Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
zingatia maelezo mahusuasi gentleman, usijipotoshe mwenyewe tafadhaliTUambie chama cha waenguaji na wasimamizi wasaidizi angalao tutakuelewa

Unajitahidi kutoa mkwara sasa jaribu uone utachofanywa.Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini
Ni ukweli bila rushwa nchi hii hutoboi. Ni kama kodi nyingine tu. Imehararishwa rasmi bila kuwekwa kwenye sheria za Jamhuri.Sasa umewapa ya nini? Komaa kama kufunga biashara funga ofisi anza upya sehemu nyingine! Unadhani biashara inafanywa kinyonge hivyo?
Hayo maelezo mahususi yanawahusu chawa kwa ustawi wao na bosi zao tu ila sii kwa mlalahoi mlala njaa,mnyonge adanganywae na chawa na kukaushwa damu na chawa hadi na bosi wake chawa.zingatia maelezo mahusuasi gentleman, usijipotoshe mwenyewe tafadhali![]()
Hadi covid wamaziduka wakati huu baada ya chawa kupigwa pasi?Unajitahidi kutoa mkwara sasa jaribu uone utachofanywa.
Assad,, Saddam Hussein, Gaddafi, amefanyaje? Kwanini unafikiri unaweza, utaweza kuwadhibiti vijana wenye njaa, wasio na cha kupoteza?Unajitahidi kutoa mkwara sasa jaribu uone utachofanywa.
Ila hujasema na nani chawa au watekaji?Unajitahidi kutoa mkwara sasa jaribu uone utachofanywa.
Mkitajirika hamtatawalika, ngoja tuwakabe mpaka pumzi ya mwisho mshindwe kuhema. Au nasema uongo ndugu zanguni.Four years unatengeneza jina..
In 5 mins watu wanakuja ku break kila kitu kwa sababu zisizo za msingi seriously