Serikali mnataka tufanye kazi gani?

Serikali mnataka tufanye kazi gani?

Vitu kama hivyo serikali inabidi iwape vijana miongozo. Hao maafisa kazi zao inabidi kuwa kutoa elimu, kuisadia biashara changa, kuangalia jinsi ya kuondoa au kupunguza changamoto.

Mbeleni ndio watakuwa wafanyabiashara wakubwa wakipata support.
Wanachukua chao mapema watachukuamo ujifie hata kabla hujatambaa,achilia mbali kukuwa na kuwa mkubwa hayo ni yako na hayawahusu.
 
Uchawa ndio ajira pekee inayopatikana kwa urahisi taifa la giza.
Kama unaweza kuuza utu wako ukasimamia uofu, maovu yote, unacheka na kusema walioonewa ndio waliokosea..

Unatakiwa uwe na roho mbaya sana, usiwe na ubinadamu kuwa chawa kama hawa tunawaona hapa JF, kutwa kutetea uhuni wowote bila hata kusema hapa tunakosea tujisahihishe.
 
Salamu wakuu.

Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.

Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.

KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.

Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...

Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...

Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..

Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...

Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu

Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
Sasa umewapa ya nini? Komaa kama kufunga biashara funga ofisi anza upya sehemu nyingine! Unadhani biashara inafanywa kinyonge hivyo?
 
Back
Top Bottom