permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Na ukisema uanze kuiba Mungu anakutumia kama mfano ili kuonya wengine waache kuiba.Asante sana mkuu..
Hawa watu wanataka vijana tuibe sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukisema uanze kuiba Mungu anakutumia kama mfano ili kuonya wengine waache kuiba.Asante sana mkuu..
Hawa watu wanataka vijana tuibe sasa
Mkuu mi taka sijui ulinzi talipa its normal hi ya leo ni kama walipanga kunimaliza tuu mpaka sasa sijui naanzia wapi maana hata Kodi sitolipa hapa kabisa aiseeee....I'm very sorry kijana mwenzangu hii kitu binafsi nilishapambana nayo
Yaani nilikuwa kwa siku napokea watu zaidi ya 3 wanatoka mamlaka tofauti nilikuwa na bucha aisee mpaka niliacha Ile biashara mwaka 2015 ndio nimetoka chuo Niko Moto!!
Halimashauri, watu wa afya na watu wa usafi ni maadui wa maendeleo ya vijana wenye mitaji midogo
Mkuu acha tuu its too sadVitu kama hivyo serikali inabidi iwape vijana miongozo. Hao maafisa kazi zao inabidi kuwa kutoa elimu, kuisadia biashara changa, kuangalia jinsi ya kuondoa au kupunguza changamoto.
Mbeleni ndio watakuwa wafanyabiashara wakubwa wakipata support.
Kamwibie samia na viongozi wake, lakini ukiwaibia maskini wenzako hitaweza kifanikiwa maisha yako yote.Asante sana mkuu..
Hawa watu wanataka vijana tuibe sasa
Mkuu ujajua how nimetumia mda... Kutafuta jina alafu leo nifunge tuu..Sasa umewapa ya nini? Komaa kama kufunga biashara funga ofisi anza upya sehemu nyingine! Unadhani biashara inafanywa kinyonge hivyo?
Wakusanya takatakaTRA
MUNICIPAL
ZIMAMOTO
AFISA KATA
BWANA AU BIBI AFYA
MIZANI
DIWANI
KITONGOJI
NAWENGINE SIWEZI MALIZA
Mkuu senerio yangu mimi bado ujaijua ila ni issue moja ya uonevu na njama tuu na wanajua hapa wananikamua tuu...Ili kuepuka majanga kama haya unatakiwa kujua ni vibali gani vinahitajika na ni utaratibu gani unatumika katika kulipa kodi. Hii inasaidia sana kwenye kujipanga kimkakati.
Mdogo wangu, hakuna hata nchi moja watakuachia ufanye vile unavyopenda bila ya kufuata sheria, wala wasikudanganye maana huko maulaya ndiyo masheria magumu zaidi kuliko kwetu.
Usivunjike moyo hizo ndiyo changamoto za biashara ambazo wengi huwa wanapitia kimya kimya.
Kama kijana mtafutaji.
Jitahidi sana kujizuia kulalamika, Just FIGHT. Hakuna anae taka wewe upate, hata hiyo serikali inatamani uendelee kua mnyonge ili ikutawale.
Take life as a game, wakila kete hii tafuta nyingine sukuma ili ukale na za kwao.
Ila malalamiko yoyote yale HAYATAKUFIKISHA POPOTE NA HAKUNA ATAE KUONEA HURUMA
Yanawakuta watu dhaifu mkuu.Mkuu haya mambo hayamkuti paka
Nalalamika nabado na fight..Kama kijana mtafutaji.
Jitahidi sana kujizuia kulalamika, Just FIGHT. Hakuna anae taka wewe upate, hata hiyo serikali inatamani uendelee kua mnyonge ili ikutawale.
Take life as a game, wakila kete hii tafuta nyingine sukuma ili ukale na za kwao.
Ila malalamiko yoyote yale HAYATAKUFIKISHA POPOTE NA HAKUNA ATAE KUONEA HURUMA
Mkuu unaongea as if wote tupo same level...Yanawakuta watu dhaifu mkuu.
well done, hongera sanaMkuu nafanya biashara mimi...

fanya kazi kwa bidii na maarifa bila kukata tamaa gentlemanKazi mbona tunafanya l...
Au unataka tufanye kazi gani

Mkuu mi ni kijana ambaye najihusisha na huduma za stationary na moviespole mpambanaji...unajikita na jambo gani hasa ndugu
Yaah lakini hapo hapo ndo nakutana na vipingamizi vya kutaka nirudi nyumawell done, hongera sana![]()
Dhaifu ni watu walioshindiwa kupambania haki zao za msingi za kisiasa, kiuchumi na kijamii.Mkuu unaongea as if wote tupo same level...
Dhaifu unamaanisha nini..?
hata kilimo na ufugaji ni kama wanavyofanya wengine tu gentleman, ni bidii na kutokata tamaa tuUnajua naposema biashara ndo hizo hizo tunazofanya mkuu

achana nadhana zisizo na athari yoyote kwenye maisha yako gentleman,Hayo maelezo mahususi yanawahusu chawa kwa ustawi wao na bosi zao tu ila sii kwa mlalahoi mlala njaa,mnyonge adanganywae na chawa na kukaushwa damu na chawa hadi na bosi wake chawa.
