Serikali mnataka tufanye kazi gani?

Serikali mnataka tufanye kazi gani?

I'm very sorry kijana mwenzangu hii kitu binafsi nilishapambana nayo

Yaani nilikuwa kwa siku napokea watu zaidi ya 3 wanatoka mamlaka tofauti nilikuwa na bucha aisee mpaka niliacha Ile biashara mwaka 2015 ndio nimetoka chuo Niko Moto!!

Halimashauri, watu wa afya na watu wa usafi ni maadui wa maendeleo ya vijana wenye mitaji midogo
Mkuu mi taka sijui ulinzi talipa its normal hi ya leo ni kama walipanga kunimaliza tuu mpaka sasa sijui naanzia wapi maana hata Kodi sitolipa hapa kabisa aiseeee....

Watu wana shindwa deal na big fish huko juu wanakuja kutusaula sisi watto wa mama ntilie..
 
Kama kijana mtafutaji.

Jitahidi sana kujizuia kulalamika, Just FIGHT. Hakuna anae taka wewe upate, hata hiyo serikali inatamani uendelee kua mnyonge ili ikutawale.

Take life as a game, wakila kete hii tafuta nyingine sukuma ili ukale na za kwao.

Ila malalamiko yoyote yale HAYATAKUFIKISHA POPOTE NA HAKUNA ATAE KUONEA HURUMA
 
Ili kuepuka majanga kama haya unatakiwa kujua ni vibali gani vinahitajika na ni utaratibu gani unatumika katika kulipa kodi. Hii inasaidia sana kwenye kujipanga kimkakati.

Mdogo wangu, hakuna hata nchi moja watakuachia ufanye vile unavyopenda bila ya kufuata sheria, wala wasikudanganye maana huko maulaya ndiyo masheria magumu zaidi kuliko kwetu.

Usivunjike moyo hizo ndiyo changamoto za biashara ambazo wengi huwa wanapitia kimya kimya.
Mkuu senerio yangu mimi bado ujaijua ila ni issue moja ya uonevu na njama tuu na wanajua hapa wananikamua tuu...
 
Nimechukua some point ova.
Kama kijana mtafutaji.

Jitahidi sana kujizuia kulalamika, Just FIGHT. Hakuna anae taka wewe upate, hata hiyo serikali inatamani uendelee kua mnyonge ili ikutawale.

Take life as a game, wakila kete hii tafuta nyingine sukuma ili ukale na za kwao.

Ila malalamiko yoyote yale HAYATAKUFIKISHA POPOTE NA HAKUNA ATAE KUONEA HURUMA
 
Kama kijana mtafutaji.

Jitahidi sana kujizuia kulalamika, Just FIGHT. Hakuna anae taka wewe upate, hata hiyo serikali inatamani uendelee kua mnyonge ili ikutawale.

Take life as a game, wakila kete hii tafuta nyingine sukuma ili ukale na za kwao.

Ila malalamiko yoyote yale HAYATAKUFIKISHA POPOTE NA HAKUNA ATAE KUONEA HURUMA
Nalalamika nabado na fight..
Unajua why nalalamika...

Kuna watu hapa lazima wataskia hii kitu wanaweza nitafutia way nzuri ya kurudisha maokoto yangu mkuu hii ni personal. Maaana waliokuja kuna wengine tunaishi nao sasa kuna kauli moja wansema... Kichwa kinawaza pesaau kifo...

Anything happen its oky now sina kitu cha kupotza
 
Hayo maelezo mahususi yanawahusu chawa kwa ustawi wao na bosi zao tu ila sii kwa mlalahoi mlala njaa,mnyonge adanganywae na chawa na kukaushwa damu na chawa hadi na bosi wake chawa.
achana nadhana zisizo na athari yoyote kwenye maisha yako gentleman,

utachelewa kuyafikia malengo yako sana :NoGodNo:
 
Back
Top Bottom