Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
usiwape hata 100 mbovuNdio mkuu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usiwape hata 100 mbovuNdio mkuu...
changamoto zichochea kuchemsha bongo, zitupatie uelekeo na pengine majawabu gentleman 🐒Daaah acha tuu sijui nifanyaje an
Toka leo uanze kuibia watu kama fasta huvishwi tairi.Haha , kivipi mkuu. Mbona Rais anauza rasilimali za nchi, anachagua mawaziri, wabunge wabovu ili apige pesa.
Halmashauri za serikali wote ni wezi wa uchaguzi, rasilimali, viwanja. Mashamba, vitu vyote muhimu?
Chukua kadi ya CCM. anza uchawa, utabaki salama. Biashara zako zitafagiliwa.
Daah mkuu hayo unasema nikiwa tayari nishakombwa kila kitu....usiwape hata 100 mbovu
Mkuu fanya biashara za magendo ndio njia pekee ya kutoka, Viongozi wenyewe wanafanya magendo kwa kutuibia pesa zetu za umma.Salamu wakuu.
Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.
Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.
KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.
Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...
Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...
Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..
Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...
Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu
Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
Manina zao yaani wale mi nikiwekwa nao chamber moja mi na wao tuu tu dael physical yule mzee namtoa utumboPole kijana,yepi yamekukuta?wana laana hawa watu,ila mungu anawatia adabu siunaona wanavyopukutika kila uchao,wengine wana mauvimbe katikati ya matundu yao ya haja
I will mkuu..Mkuu fanya biashara za magendo ndio njia pekee ya kutoka, Viongozi wenyewe wanafanya magendo kwa kutuibia pesa zetu za umma.
Hizi biashara za kijinga wachie wanyonge, fanya biashara ngumuI will mkuu..
Tunapielekea..
Mara kumi nishikwe na kesi ngumu ila sio mi napelekwa jela et kwa kesi ya sijui kibari kimefanyaje daaah
Shetani katika ubora wako.huana haja ya kuiba kuona wovu, wala kutamani au kudokoa mali ya wenyewe, watakupoteza bure tu
kilimo, ufugaji na biashara ni ajira za wazi, mtatiji ikiwa ni uthubutu, nguvu na bidii yako tu unatoboa maisha kiulaini sana![]()
Haya mambo yanaanzaga hvi hvi tuu..Hizi biashara za kijinga wachie wanyonge, fanya biashara ngumu
Mybe but even my everything gone in 5 mins na bado wamenipa control number za kihuni ety mara nitume huku mara kuleMungu amesikia kulio chako
Ibilisi vipi tena umeingiwa na pepo?🐒Shetani katika ubora wako.
Agent Green Guard.
UONGOhuko maulaya ndiyo masheria magumu zaidi kuliko kwetu.
hapo uwelewe mufumo..kisha ukwepe mfumo baada ya hapo kaa mbali na mfumoDaah mkuu hayo unasema nikiwa tayari nishakombwa kila kitu....
Kiufupi hapa nimetoka kuongea na mwenye frame kuwa kodi yake asubiri tuu hapa naanza upya
Hahaha,samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.
Daaah acha tuu kuna watu unacheka nao ila mda ule nipo na hawa watu kila mtu alikua kimyaaaahapo uwelewe mufumo..kisha ukwepe mfumo baada ya hapo kaa mbali na mfumo
amka na nguvu mpya biashara inataka roho ngumu kijana
Hapana ila nilikua naona kama serikali inaonewaHahaha,
Ulikuwa timu chawa?!
Ukiingia mtaani kuiba, kukaba na kufanya mambo ya ovyo sawa, ila omba wananchi unaowaibia, kuwakaba na kuwafanyia mambo ya ovyo wasikubananishe. Ila mimi naomba sana wakubananishe tena wakiwa na mafuta ya petroli na kiberiti! Ahahahahaha!!!Salamu wakuu.
Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.
Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.
KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.
Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...
Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...
Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..
Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...
Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu
Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...