Serikali mnataka tufanye kazi gani?

Serikali mnataka tufanye kazi gani?

Dhaifu ni watu walioshindiwa kupambania haki zao za msingi za kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Sawa mkuu..
Now sipo vzri kujieleza sna ila naelewa kuna watu humu ni keyboard warrior tuu ila on seriously matter kama hizi face to face wanakua calm sana either wana watu wao juu huko ila kama hawana wanaishia kushangaa tuu
 
huana haja ya kuiba kuona wovu, wala kutamani au kudokoa mali ya wenyewe, watakupoteza bure tu

kilimo, ufugaji na biashara ni ajira za wazi, mtatiji ikiwa ni uthubutu, nguvu na bidii yako tu unatoboa maisha kiulaini sana :NoGodNo:
Au sio... atatoboa kiulaini kabisa 😊😊.
 
Salamu wakuu.

Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.

Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.

KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.

Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...

Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...

Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..

Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...

Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu

Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
Pole sana mkuu.
 
Yaah lakini hapo hapo ndo nakutana na vipingamizi vya kutaka nirudi nyuma
hizo ndiyo issue yapaswa watu makini kujadiliana na kutafuta na kupendekeza namna bora ya kulainisha ama kuondoa kabisa vikwazo hivyo ili biashara ifanyike vizuri na faida na mabadiliko yaonekane kwenye maisha ya wahusika na wateja :NoGodNo:
 
hizo ndiyo issue yapaswa watu makini kujadiliana na kutafuta na kupendekeza namna bora ya kulainisha ama kuondoa kabisa vikwazo hivyo ili biashara ifanyike vizuri na faida na mabadiliko yaonekane kwenye maisha ya wahusika na wateja :NoGodNo:
Daaah acha tuu sijui nifanyaje an
 
Ulilima nini na ulipata nini nionavyo wewe upo tu humu mchana usiku asubuhi jioni,u chawa na wewe wewe na chawa .Na kwa hali hiyo kilimo unakisingiziatu.
Huyu ni jobless tu baada ya kuondolewa kwenye baraza la mawaziri anatuchora tu 😭😭😭
 
huana haja ya kuiba kuona wovu, wala kutamani au kudokoa mali ya wenyewe, watakupoteza bure tu

kilimo, ufugaji na biashara ni ajira za wazi, mtatiji ikiwa ni uthubutu, nguvu na bidii yako tu unatoboa maisha kiulaini sana :NoGodNo:
Umeelewa au umelewa
 
Na ukisema uanze kuiba Mungu anakutumia kama mfano ili kuonya wengine waache kuiba.
Haha , kivipi mkuu. Mbona Rais anauza rasilimali za nchi, anachagua mawaziri, wabunge wabovu ili apige pesa.

Halmashauri za serikali wote ni wezi wa uchaguzi, rasilimali, viwanja. Mashamba, vitu vyote muhimu?

Chukua kadi ya CCM. anza uchawa, utabaki salama. Biashara zako zitafagiliwa.
 
Anything can HAPPEN...
Unapoona an angel ame turn kuwa monster si jambo la kushangaa....
Chuki zinaanza hivo hivi...
End of day......
 
Inaumiza sana hii Serikali aisee ni basi tu, watu wanaishi kwa imani mambo yanayofanyika ni kijinga mnooo, kuna mzee fulani ni afisa wa serikali alinifanyia jambo la kipuuzi sana.

Yaani bila huruma nimemuweka sana akilino na Mungu atamlaani halafu zee zima linakuwa liongo ma ujinga mwingi. Aisee ni 2 weeks ago naamini hii dunia ni ndogo sana tutabanana tu.
 
Anything can HAPPEN...
Unapoona an angel ame turn kuwa monster si jambo la kushangaa....
Chuki zinaanza hivo hivi...
End of day......
I feel your pain Bro, stay calm malipo ni hapa hapa duniani. Kuna mambo ya kiwaki sana hapa nchini na yanasababishwa na hawa wanaojiita maafisa wa serikali. Yaani utu hawana kabisa
 
Si nyie ndo mnaosema,siasa haiwahusu🤔

Mnasahau kuwa mwanasiasa hata awe std seven anamwamlisha PhD holder.
Mkiambiwa vijana amkeni,andamaneni,mnajifungia nyuma ya Kibodi TU.

Haya sasa,mlidhani ni ya ngoswe,kumbe sio.

Amkeni nyie maiti zinazotembea.
 
Salamu wakuu.

Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.

Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.

KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.

Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...

Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...

Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..

Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...

Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu

Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
Pole kijana,yepi yamekukuta?wana laana hawa watu,ila mungu anawatia adabu siunaona wanavyopukutika kila uchao,wengine wana mauvimbe katikati ya matundu yao ya haja
 
Weka wazi biashara uliyokuwa unafanya na kilichotokea Ili watu wajue namna ya kukusaidia hata kwa siku nyingine isitokee, pia tujue labda nawe una kosa 5 years ulikuwa uwe na kibali Ili kuwakata makali, huenda unalalamika na kosa unalijua ndo maana ukatoa Hela nyingi, pole ndugu
 
Back
Top Bottom