Serikali mnataka tufanye kazi gani?

Serikali mnataka tufanye kazi gani?

Ukiingia mtaani kuiba, kukaba na kufanya mambo ya ovyo sawa, ila omba wananchi unaowaibia, kuwakaba na kuwafanyia mambo ya ovyo wasikubananishe. Ila mimi naomba sana wakubananishe tena wakiwa na mafuta ya petroli na kiberiti! Ahahahahaha!!!
Siibii wananchi wenzangu maskini walala hoi ... Na deal na hao hao big fishes
 
Salamu wakuu.

Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.

Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.

KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.

Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...

Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...

Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..

Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...

Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu

Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
Pole yako katika maumivu hayo.

Lakini kuna machache ambayo bado ninakudharau kabisa kwa kuyasema hapa. Inaonyesha katika kuchanganyikiwa kwako kwa akili, bado hujajifunza lolote maishani mwako; hata baada ya mkasa ulio kukumba.

Kwanza:
Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...
Hao utakao wakaba, ndio watakao kusaidia na kuondoa ujinga wako ulio kuwa nao na hao CCM kabla hawaja kuvuruga?
Pili: unavyo jieleza hapa ni wazi kabisa, kesho bwana 'Abdul' akimtuma mtumishi wake kukutembelea hapo ulipo; wewe ni mtu wa kununuliwa na kusahau kila jambo baya ulilo tendewa. Watu wa aina yako ndio wanao likwamisha sana taifa hili.

Tatu: pamoja na lawama hizo unazo watupia hao walio kulea na kuwapenda kabla hayajakufika; wewe mwenyewe uliona wapi watu wajifanyie tu shughuli zao bila ya taratibu za kufanya shughuli hizo. Wewe ulitaka tu, wakuache undelee kujifanyia utakavyo mwenyewe? Pamoja na ubovu wao, lakini hili, hata kama wamelifanya kipuuzi, walikuwa na haki ya kukufuata ili nawe uchangie maendeleo ya nchi hii.

Nashindwa kabisa kumhurumia mtu kama wewe.
 
tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...

Suluhu ni kuingia mtaa kufanya maandamano ya kupinga hali ngumu ya kiuchumi, gharama za maisha, kodi na kugandamizwa kisiasa kwa kutopewa nafasi mchague viongozi mfano Uchafuzi wa uchaguzi 2024 n.k kiasi mnaumia bila kusikilizwa, huku serikali ya chama dola kongwe tawala inasema ni serikali sikivu

Hakuna sababu ya kuingia mtaani tuanze kukaba masikini wenzetu, wakati tunajua uzi huu lawama zote ni sera mbovu za serikali ya CCM

Tukabiliane na serikali hii moja kwa moja badala ya kutumia njia za kuzunguka kuibiana sisi wenyewe tulio wengi kuliko watawala wachache walafi walioshindwa kuongoza nchi.
 
Watu wana iba pesa ambazo hadi zina wazidia wanakosa pa kuweka na bado wanaendelea kuiba.. leo nme ona Kariakoo watu wana bebewa bidhaa zao zinarushwa kwenye lorry seriously
 
Pole yako katika maumivu hayo.

Lakini kuna machache ambayo bado ninakudharau kabisa kwa kuyasema hapa. Inaonyesha katika kuchanganyikiwa kwako kwa akili, bado hujajifunza lolote maishani mwako; hata baada ya mkasa ulio kukumba.

Kwanza:
Hao utakao wakaba, ndio watakao kusaidia na kuondoa ujinga wako ulio kuwa nao na hao CCM kabla hawaja kuvuruga?
Pili: unavyo jieleza hapa ni wazi kabisa, kesho bwana 'Abdul' akimtuma mtumishi wake kukutembelea hapo ulipo; wewe ni mtu wa kununuliwa na kusahau kila jambo baya ulilo tendewa. Watu wa aina yako ndio wanao likwamisha sana taifa hili.

Tatu: pamoja na lawama hizo unazo watupia hao walio kulea na kuwapenda kabla hayajakufika; wewe mwenyewe uliona wapi watu wajifanyie tu shughuli zao bila ya taratibu za kufanya shughuli hizo. Wewe ulitaka tu, wakuache undelee kujifanyia utakavyo mwenyewe? Pamoja na ubovu wao, lakini hili, hata kama wamelifanya kipuuzi, walikuwa na haki ya kukufuata ili nawe uchangie maendeleo ya nchi hii.

Nashindwa kabisa kumhurumia mtu kama wewe.
Sawa
 
Na hivyo VIBALI ukiamua ufuatilie, utapigishwa kwata nenda rudi kibao,...kila ukienda watu wapo ofisini wanajadili mpira na wanakujibu njoo kesho kitu fulani hakipo,...hawajali kama umetumia nauli,.....mi biashara yangu nilifungua bila reseni kisa huu UJINGA....
 
Suluhu ni kuingia mtaa kufanya maandamano ya kupinga hali ngumu ya kiuchumi, gharama za maisha, kodi na kugandamizwa kisiasa kiasi mnaumia bila kusikilizwa, huku serikali ya chama dola kongwe tawala inasema no serikali sikivu

Hakuna sababu ya kuingia mtaani tuanze kukaba masikini wenzetu, wakati tunajua uzi huu lawama zote ni sera mbovu za serikali ya CCM

Tukabiliane na serikali hii moja kwa moja badala ya kutumia njia za kuzunguka kuibiana sisi wenyewe tulio wengi kuliko watawala wachache walafi walioshindwa kuongoza nchi.
Nakubaliana na wewe mkuu
 
Na hivyo VIBALI ukiamua ufuatilie, utapigishwa kwata nenda rudi kibao,...kila ukienda watu wapo ofisini wanajadili mpira na wanakujibu njoo kesho kitu fulani hakipo,...hawajali kama umetumia nauli,.....mi biashara yangu nilifungua bila reseni kisa huu UJINGA....
Its too sad mkuu
 
Sikutaka na wala sifurahishwi na hali iliyo kupata; lakini naomba tu ujitafakari mwenyewe. Na wala siyo rahisi kwangu kukuandikia maneno kama hayo. Hali ni ngumu sana kwa kila mmoja wetu, labda kasoro ya hao walio kufanyia hayo.
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako...
Pia nimejifunza hapa shukrani sana.
 
Salamu wakuu.

Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.

Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.

KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.

Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...

Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...

Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..

Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...

Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu

Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
Ndo maana wanapigwa
 
Wanyime watu elimu,wanyang'anye kipato,UTAWATAWALA MILELE NA MILELE KWANI WEWE NDIYE UTAKUWA MMILIKI WA KILA HITAJI LAO,WATALAZIMIKA KUKUIMBA NA KUKUSIFU WEWE TU ILI WAPATE KITU KIDOGO.
Maisha ya chawa hayo
nina gunia zaid ya elfu3 za alizeti, mahindi, maharagwe, ufuta na mbaazi gentleman :pedroP:
Unauzia katika masoko gani?
 
Back
Top Bottom