Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
ccm haina shida nduguIn your shoes bro.. it's hard.
CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccm haina shida nduguIn your shoes bro.. it's hard.
CCM
Mafwele Hujaenda kuteka watu leo ?Ibilisi vipi tena umeingiwa na pepo?🐒
Shida siri-kali inawazee nasiyo vijana na hao hao wazee wa zamani wanatuambia vijana wa kileo tujiajiri na wakati enzi za ujana wao kujiajiri ndiyo ilikua mteremko na bado wakakataa kujijiri.Salamu wakuu.
Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.
Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.
KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.
Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...
Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...
Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..
Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...
Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu
Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
mmendeaji mkuu wa wake za watu dr., vp umetoka salama leo?Mafwele Hujaenda kuteka watu leo ?

Kama kilimo chenyewe hawatulipi Hela za mahindi mpaka Leo sijui serikali hii tuiite jina Gani, Mimi naiona serikali yetu inapenda watu wawe masikini ili tutawalike kirahisi,huwezi kudhulumu mpaka mtu wa mwisho(mkulima)Huku unajidai ni serikali sikivuhuana haja ya kuiba kuona wovu, wala kutamani au kudokoa mali ya wenyewe, watakupoteza bure tu
kilimo, ufugaji na biashara ni ajira za wazi, mtatiji ikiwa ni uthubutu, nguvu na bidii yako tu unatoboa maisha kiulaini sana![]()
Bado Mkeo na ntamtafuna nikiwa nimevaoia shati za CCM bg inaskika Mbele kwa Mbele.mmendeaji mkuu wa wake za watu dr., vp umetoka salama leo?![]()
imebaki kidogo tu wakunyake, na watakufanya msukule, shauri yako we endekeza uvivu huku ukiwa na tamaa 🐒Bado Mkeo na ntamtafuna nikiwa nimevaoia shati za CCM bg inaskika Mbele kwa Mbele.
Sheenz.
Mfano wafanyakazi wengi wa TRA mind set zao ni za kimasikini wamejaa chuki na roho mbaya yaani wao kila mwaka wanataka wakuongezee kodi.Hivi biashara ya mtaji wa milioni 3 kila mwaka ukiongezewa kodi biashara itaacha kufa?Bora wachawi na wezi kuliko wafanyakazi wa TRAHuko serikali wamejaa wazee hawajui vijana wanapitia changamoto gani kwasasa!, tena wakiowaona vijana kadhaa waliofanikiwa nakutumbua wanajua vijana wote mambo safi!. kumbe wengine mafanikio waliyonayo wanajihusisha na mambo ya hovyo!.
sera
katiba
serikali
viongozi
vyote hivi vinahitajika kuboreshwa.
Hili likitekelezwa kwa ufanisi ni tiba ya matatizo yote.Kuna mambo tukija kufanya serikali isije tulaumu kabisa