Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Muulize Tlaatlaah atakupa jibuMkitajirika hamtatawalika, ngoja tuwakabe mpaka pumzi ya mwisho mshindwe kuhema. Au nasema uongo ndugu zanguni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize Tlaatlaah atakupa jibuMkitajirika hamtatawalika, ngoja tuwakabe mpaka pumzi ya mwisho mshindwe kuhema. Au nasema uongo ndugu zanguni.
Ili kuepuka majanga kama haya unatakiwa kujua ni vibali gani vinahitajika na ni utaratibu gani unatumika katika kulipa kodi. Hii inasaidia sana kwenye kujipanga kimkakati.Salamu wakuu.
Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.
Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.
KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.
Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...
Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...
Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..
Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...
Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu
Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
Tlaatlaah best mmoja makini sana. Hana bayaMuulize Tlaatlaah atakupa jibu
Najua ipo mikakati kabambe ya kuwapa uhai chawa hivyo sita shangaa ushirika mpya wa chawa na kunguni kulinda maslahi ya bosi zao dhidi ya binadamu mnyonywa damu.Tlaatlaah best mmoja makini sana. Hana baya
Unajua naposema biashara ndo hizo hizo tunazofanya mkuuhuana haja ya kuiba kuona wovu, wala kutamani au kudokoa mali ya wenyewe, watakupoteza bure tu
kilimo, ufugaji na biashara ni ajira za wazi, mtatiji ikiwa ni uthubutu, nguvu na bidii yako tu unatoboa maisha kiulaini sana![]()
Sana tuu an wanatufanya sisi ka source of incomeNa weyeviti wenu ndio wanaowachomesha kwa hao jamaa
Mkuu hapa nimechanganyikiwa aiseeeMnaongea tu , mimi hayo yote nimefanya ,na hakuna kitu zaidi ya kutorekea
🐒 🙈 🙊 🐵 🙉 🐒 🙈 🙊
nje tu , wengi wanajivunia kutokua raia wa nchi ya kusadikika 🤔🤔🤔 🐒
Mkuu kuna watu wanatufanya tuwe makatili sana aiseeeNajua ipo mikakati kabambe ya kuwapa uhai chawa hivyo sita shangaa ushirika mpya wa chawa na kunguni kulinda maslahi ya bosi zao dhidi ya binadamu mnyonywa damu.
Kuna mambo tukija kufanya serikali isije tulaumu kabisaWanyime watu elimu,wanyang'anye kipato,UTAWATAWALA MILELE NA MILELE KWANI WEWE NDIYE UTAKUWA MMILIKI WA KILA HITAJI LAO,WATALAZIMIKA KUKUIMBA NA KUKUSIFU WEWE TU ILI WAPATE KITU KIDOGO.
Mkuu haya mambo hayamkuti pakaWatu wadhaifu lazima wanyonyolewe vilivyo.
Kazi mbona tunafanya l...kukata tamaa na uvivu ni kitu mbaya sana gentleman..
ulifanya kilimo, biashara au ufugaji?
kwahiyo ukatoroka kazi au nchi?![]()
Mkuu acha tuu .pole Sana - serikali yetu inakosa watu makini wenye kuwa na akili na hisia za kuvaa viatu vya watu wengine.
Japo nimeumia na kukuguswa natafakari njia bora ya kukusaidia katika kile ulichoharibikiwa
Stay calm and positive , hili nalo litapita.
Unabuni vipi mkuu..Hali ni mbaya kwa wengi lakini siyo kwa wote, inatakiwa ubuni mbinu za kukabiliana nayo hakuna jinsi
Wanataka tufanye nini sasa mbona binadamu wana roho ya kuzurumu wanyonge hviPole sana mpambanaji. Unahitaji mikakati kuishi na kustawi kwenye nchi ya wahuni.
Sasa kweli niwe chawa seriously mkuu...Uchawa ndio ajira pekee inayopatikana kwa urahisi taifa la giza.
Its too sad mkuuUamuzi wowote utakao fanya maishani mwako utawajibika nao, (any decision you make in life you will be responsible for it)
Mkuu nafanya biashara mimi...mwa huu wa kilimo nililima zaidi ya ekari mia3,
na katika mwaka ujao wa kilimo,
na actualy tayari kilimo kimeanza maeneo mengi nchini nitalima zaidi ya ekari mia4 bila mbambamba yoyote gentleman![]()
Mkuu hao hao..TRA
MUNICIPAL
ZIMAMOTO
AFISA KATA
BWANA AU BIBI AFYA
MIZANI
DIWANI
KITONGOJI
NAWENGINE SIWEZI MALIZA
Hata mimi nafanya biashara ni muelimishaji ujasirimali piaMkuu nafanya biashara mimi...