Serikali mshugulikieni kabendera akione Cha moto Ili iwe fundisho Kwa watu wanaotafuta kiki

Huna akili
 
Anaandika Usoka

"Kuna watu wanaabudu mzimu mzee Magu.Wanaona alikuwa Mungu japo sikatai kwao anaweza akawa mungu.Ila hili la kumtetea bila kujua udhaifu wake linatia shaka sana juu ya huko tuendako.Hivi mliwahi kujiuliza kwa nini familia haiongeaji!!.Pia hii ni kufuru kwamba Mungu hana watu wengine zaidi yake.Kama ingekuwa hivyo Mungu angemwacha,na ni vyema kujua akili za Mungu hazichunguziki,yeye ni zaidi ya viumbe vyote"
 
Mkuu low IQ ni pamoja na kuamua kuja na maelezo mepesi ya vitisho juu ya tuhuma nzito kama hizi. Nadhani kwa kuwa unamuita mzushi ungetumia njia rasmi ili atiwe nguvuni kwa ushahidi utakao utoa wewe binafsi katika vyombo husika.
 
Mwalimu Nyerere wakati anasema tuna maadui watatu hakulisema hili la kuropoka ropoka bila aibu nadhani hili ni adui number 1 kwa nchi.
 
Hakuna mtu ana abudu mzimu . Kila binadamu ana madhaifu yake . Magufuli pamoja na kwamba alikuwa ni rais lakini ni binadamu pia. Mungu mwenyewe anasamehe , kwa nini wewe usimsamehe Magufuli kama kuna mabaya aliyokutendea. Kuishi kwa kinyongo dhidi ya Magufuli hakumfifishi Magufuli zaidi ni kwamba unahatarisha afya yako . Mwache Magufuli apumzike kwa amani.

You and Kibendera cannot embrace God's forgiveness if you are so busy clinging to past wounds and nursing old grudges.
 
Subiri siku utekwe, ubambikiwe kesi huku mama yako mgonjwa aliye tegemezi kwako akikosa msaada wa huduma muhimu ya afya yake hadi kufariki sababu ya akaunti zako za benki kuzuiliwa.

Kisha mama yako afariki na uzuiliwe hata kwenda kumzika, ndipo utakapojua Kabendera anatafuta kiki au lah!
 
jana nimekunywa supu ya MAKASA YA MUNGU aka,supu ya KENGE!!!
 
Muda ndo utamshughulikia hata Lisu alijiona mjanja sana kutumika na vibaraka kumchafua JPM lakini laana inamtafuna na Sasa anashughulikiwa yeye tena baadhi ya wale waliomtuma sijajua na mabeberu wakimtumpa itakuaje
Vilaza bhana sasa Lissu anahusika vp hapo
 
the burden to disprove fact lies on a defendant.

lawyers, Niko sahihi?
 
Hiyo ni argument ya KIPUMBAVU per se. Tunapomkosoa Dikteta kwa kuonesha maovu yake lengo ni kutaka viongozi wengine watakaokuja wasifanye udhalimu kama huo.

Ya nini tujipe sisi kazi ya KUSAMEHE wakati inajulikana ni kazi ya Mungu tu.

Kuhusu afya zetu ajuaye ni Mungu wala haya mambo unayoyaogopa hayana impact
 
Mawazo ya kubana na kutisha watu wanakuwanayo viongozi baradhuri,wasio na uwezo na waoga tu. Siyo hivyo kwa Tz.
 
Muda ndo utamshughulikia hata Lisu alijiona mjanja sana kutumika na vibaraka kumchafua JPM lakini laana inamtafuna na Sasa anashughulikiwa yeye tena baadhi ya wale waliomtuma sijajua na mabeberu wakimtumpa itakuaje
Mkuu hao mabeberu huwa wanawatumaje watu. Maana hata kipindi cha JPM nilikuwa nasikia anawatesi wapinzani eti ametumwa. Je hukaa mezani na kutumwa. Wanatumwa tumwaje mi sielewagi eti.
 
Ukweli Gani kuandika hata Mimi naweza kuamka asubuhi nikaandika hivi unaakili timamu kweli alete picha za tukio ndio tutaamini ila sio maandishi
Mkuu kama unaamini kaongopa tuwekee hapa ukweli unaoujua, punguza mihemuko weka hapa ukweli wako tuende sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…