Serikali mshugulikieni kabendera akione Cha moto Ili iwe fundisho Kwa watu wanaotafuta kiki

Serikali mshugulikieni kabendera akione Cha moto Ili iwe fundisho Kwa watu wanaotafuta kiki

Tanzania wajinga wapo kwenye ofisi za umma, na wapumbavu wapo mitandaoni wakitetea upumbavu wowote unaofanywa na utakaofanywa na watawala, NB-umeandika thread ya kipumbavu kabisa.
Mpumbavu ni kabendera anaetafuta kiki Kwa jina la shujaa
 
Watu hawatakiwi kuendeshwa na hisia ndio maana kuna mahakama na wanasheria..
Nchi inafaa iongozwe na sheria sio hisia
Uko very right

I wish chakademus wangepunguza hisia na jazba
 
Huyo mjinga mmoja tu anaetafuta kiki ataipata
Fikiria kama kuna mtu naye anawaza kukufanyia wewe hivyo unavyotaka afanyiwe kabendera, itajisikiaje? Tuishi kwa kufuata sheria na taratibu ili kuepuka mihemuko ya aina hii. Leo hii wewe ndugu yako akipotea bila kujua tatizo utajisikiaje au utamshughulikia atakayetoa sababu za kupotea kwake?
 
Fikiria kama kuna mtu naye anawaza kukufanyia wewe hivyo unavyotaka afanyiwe kabendera, itajisikiaje? Tuishi kwa kufuata sheria na taratibu ili kuepuka mihemuko ya aina hii. Leo hii wewe ndugu yako akipotea bila kujua tatizo utajisikiaje au utamshughulikia atakayetoa sababu za kupotea kwake?
Unajisikiaje mtu akitafuta kiki Kwa marehemu ambae hamjibu
 
Matatizo ya kushughulikia ni mengi sana huduma za maji, umeme , miundombinu , haya mambo ya kushughulikia watu ni udhaifu mkubwa mno
 
Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Unajua kabendera anaishi Wapi now??
 
Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Kwani wewe unajua lipi?
 
Huwezi kusema ashugulikiwe na kama ni kweli na ana ushahidi si utaonekana wewe ndo mjinga! Magufuli hakuwa malaika! Usimmwamini mtu kwa lugha yake! Yafanyikao sirini ni Mungu ndiye ajuaye
 
Back
Top Bottom