Unadhani nchi inaendeshwa kama ghetto?Huyo Hana haha ya kupelekwa mahakamani ni wa kushugulikiwa tu Ili iwe funzo Kwa viherehere
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani nchi inaendeshwa kama ghetto?Huyo Hana haha ya kupelekwa mahakamani ni wa kushugulikiwa tu Ili iwe funzo Kwa viherehere
Lazima ashugulikiweUnadhani nchi inaendeshwa kama ghetto?
Tanzania wajinga wapo kwenye ofisi za umma, na wapumbavu wapo mitandaoni wakitetea upumbavu wowote unaofanywa na utakaofanywa na watawala, NB-umeandika thread ya kipumbavu kabisa.Tanzania Kwa wajinga kama hao hamnaga sheria
Mpumbavu ni kabendera anaetafuta kiki Kwa jina la shujaaTanzania wajinga wapo kwenye ofisi za umma, na wapumbavu wapo mitandaoni wakitetea upumbavu wowote unaofanywa na utakaofanywa na watawala, NB-umeandika thread ya kipumbavu kabisa.
Uko very rightWatu hawatakiwi kuendeshwa na hisia ndio maana kuna mahakama na wanasheria..
Nchi inafaa iongozwe na sheria sio hisia
Fikiria kama kuna mtu naye anawaza kukufanyia wewe hivyo unavyotaka afanyiwe kabendera, itajisikiaje? Tuishi kwa kufuata sheria na taratibu ili kuepuka mihemuko ya aina hii. Leo hii wewe ndugu yako akipotea bila kujua tatizo utajisikiaje au utamshughulikia atakayetoa sababu za kupotea kwake?Huyo mjinga mmoja tu anaetafuta kiki ataipata
Unajisikiaje mtu akitafuta kiki Kwa marehemu ambae hamjibuFikiria kama kuna mtu naye anawaza kukufanyia wewe hivyo unavyotaka afanyiwe kabendera, itajisikiaje? Tuishi kwa kufuata sheria na taratibu ili kuepuka mihemuko ya aina hii. Leo hii wewe ndugu yako akipotea bila kujua tatizo utajisikiaje au utamshughulikia atakayetoa sababu za kupotea kwake?
Jamani tuendelee na kazi nyingine,ukijadiliana na watu kama hawa utapasua kichwa chako bure,mtu anaulizwa swali na ye anauliza swali badala yakujibu kwanza alichoulizwa.Wewe umejuaje kama kafa leta uthibitisho
Kwa hyo unataka auliwe kama mzee kibao....!Huyo Hana haha ya kupelekwa mahakamani ni wa kushugulikiwa tu Ili iwe funzo Kwa viherehere
Jibu swali wewe umejuaje kama kafaJamani tuendelee na kazi nyingine,ukijadiliana na watu kama hawa utapasua kichwa chako bure,mtu anaulizwa swali na ye anauliza swali badala yakujibu kwanza alichoulizwa.
AshugulikiweKwa hyo unataka auliwe kama mzee kibao....!
Hata watu kama kabendera ni WA kushugulikiaMatatizo ya kushughulikia ni mengi sana huduma za maji, umeme , miundombinu , haya mambo ya kushughulikia watu ni udhaifu mkubwa mno
Unajua kabendera anaishi Wapi now??Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Tuambie we mke wake anaishi wapi nowUnajua kabendera anaishi Wapi now??
Kama nimeshakua Mke wake basi haupo serious na huu mjadala. Una utoto na ujinga.Tuambie we mke wake anaishi wapi now
Sasa we si ndio unajua wapi anaishi maana ni Mke wakeKama nimeshakua Mke wake basi haupo serious na huu mjadala. Una utoto na ujinga.
Kwani wewe unajua lipi?Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe