Al-kasusu Al-mujarabHuyu wa kiume anatafuta nini?
Naunga mkono hoja mkuu...kila upande udili na watu wake....
Upuuzi, kwahiyo mitaala nayo ibadilike, Dr wa kiume ajifunze kumtibu mgonjwa wa kiume tu na Dr wa kike ajifunze kumtibu mwanamke tu? Mbona mnazihusudu sana hizo nyuchi, na ukute hata bikra hujaitoa wew, umeikuta ipo wazi kbsHivi umeelewa hoja ya mtoa mada?
Mtoa mada analalamika mgonjwa kutibiwa na dk asiye wa jinsia wa jinsia yake wewe unasema sheria zipo zinataka kama mgonjwa ni ke na dr ni me basi awepo na dr/nesi wa kike,sasa huyo nesi wa kike atazuia vp dr wa kiume kumchungulia mgonjwa?
Hio sheria kama ipo basi itasaidia unyanyasaji wakijinsia ila mambo mengine kama kuchungulia hio sheria itasaidia vipi?
Nikuulize swali,hivi endapo ikitokea mama wa dr wa kiume ni mjamzito je huyu dr wa kiume anaweza kumzalisha mama yake chini ya uwepo wa dr/nesi wa kike?
Kwavyovyote dr ataomba ma dr wenzake wamzalishe mama yake kwani kwa utamaduni wakiafrika sio heshima.
Sasa inakiwaje vi dr vidogo vinapata ujasiri wakuchungulia wamama wenye rika sawa na mama zao?
Mkuu Dr ukiwa mafunzoni unajifunza kutibu wagonjwa wa jinsia zote, acha wivu usio na maana boss... alafu nikuambia tu hao wake zenu wanapenda zaid kutibiwa na Dr wa kiume kuliko wa kike, ndo maana Daktari bingwa wa wanawake wa kiume ana wateja wengi kuliko wa kikeMkuu kama umekereka tusamehe bure.
Ila hapa tunakubali kuwa madaktari ni wachache na ndio maana haya yote yanatokea.
Ndio maana tukatoa suluhisho kuwa wanawake wasomeshwe ili kusudi sasa hao madaktari wawe wengi,usipanick mkuu haya ni mambo ya kawaida
Ila kwenye swala kujifungua mm wanawake weng ambao nimeisha sikia shuhuda zao wanasema bora kuzalishwa na mwanaume kuliko mwanamke mwenzake. Tatzo ni kuwa jinsi tofaut na yako ikikuhudimia mara nyingi inakuwa na ukarim tofaut na ukihudumiwa na doctor wa jinsia kama yako.Kinachouma mama mzazi anaenda hospitali anakutana na daktari ambaye ana umri kama wa mimi mwanae alafu madaktari wa kike wapo kabisa.
Kuna mama wa kipemba wakati anajifungua alitaka kuja daktari wa kiume, basi mama mpemba akamuuliza "uko radhi kuchungulia tv ya mamayo wee "?
Daktari akaenda mbio
Angejibu upo radhi kufa na kumpoteza mdogo wangu kwaajir ya kumuonea mwanao aibu?
Kuwepo wa kike na kiume ni Sheria kabisa na Wala sio tatizo pia unaficha nini huko ndani kisichojulikana, na hyo ya police mbona hukagua watu hadharani wakiwa wanaona nadhani hujawahi kukutana na Hawa mapolice wetuKuwepo nesi wa kike pembeni bado sio ishu.
Mbona polisi wa kike anapomkagua mtuhumiwa wa kike haitakiwi polisi wa kiume awepo bali huwa ukaguzi unafanyikwa wakiwa wawili tu ?
Hyo ni Sheria ya wizara inavotaka na inaonyesha wewe hujawahi enda hospital ukajua treatment wanayopata wanawake, kwanza wewe kwanini uumie kuhusu wanawake wakati wakiwa labor huwa uchi hawajali, bado kupimwa njia kwa vidole, kwa mwanamke aliyezaa kuchunguliwa sio issue kabisa, na ukiwa hospital Mambo ya aibu tupa kule wewe pata tiba ukiwa mgonjwa serious huwazi Cha jinsia ya DrMkuu sio kweli kwamba hospitali zote hufanya hivyo.
Lakini hata kama wanafanya bado sio suluhisho zuri kwa jambo hili
Una complicate maisha tu...wenzio hata hawaon hyo shida...tena wengne wananyanduana hukohukoWakuu naomba niipongeze serikali kwa jitihada zake inazofanya katika kuhakikisha ile heshima ya jinsia zote inalindwa.
Tukiangalia katika majeshi hasa jeshi la polisi utakuta kuna askari wa kike ambao kama itatokea muhalifu ni mwanamke basi askari yule hakuajiriwa kwa bahati mbaya bali hiyo itakuwa ni kazi yake kumpekua sehemu za mwili wake.
Hali kadhaalika mwanaume atapekuliwa na askari wa kiume katika kulinda heshima.
Hata mashuleni kuna waalimu wa kike kibao ambao wao watashughulikia masuala mbali mbali ya wanafunzi wa kike.
Mbona sioni suala hili la kuheshimu jinsia na kulinda heshima ya mtu likifanyika na kusisitizwa katika kada ya afya ?
Kwa nini isiwe kosa daktari wa kumtibia mgonjwa wa jinsia tofauti na yeye ikiwa katika hospitali hiyo ama maeneo hayo kuna daktari mwenye jinsia sawa na mgonjwa ?
Kama ambavyo polisi haruhusiwi kumfanyia upekuzi wa mwili mtu wa jinsia isiyekuwa yake wakati wa jinsia yake wakiwa pale hii ni kosa,vipi isiwe kosa katika hii kada ya afya ?
Yani utakuta hospitali kuna madaktari wa jinsia nyingi lskini mwanamke anatibiwa na mwanaume au kinyume chake.
Serikali isomeshe watoto wengi wa kike ili kuja kuepusha hii aibu,ipunguze vigezo vya kusomea udaktari kwa mwanamke hasa kwa mambo ya kawaida haya ambayo hayahitaji kujitoa sana wanawake wasomeshwe waje kuzalisha wanawake wenzao.
Chumba cha kuzalisha kuna madaktari wa kike watano na wa kiume mmoja,huyu wa kiume anatafuta nini,kwa nini isiwe kosa kisheria?
Basi musiwe mnapeleka wake zenu hospital, unaumia mkeo kupimwa tena upapa wake unakuwa mchafu dr kashaona ma milion ya k, hata hawazi hicho unachofikiriaHakuna kitu kinafikirosha kama ile kitu "kupimwa njia"...unampeleka wife unakutana na Dr mara unaambiwa upishe mara moja.Daaaah
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hajawahi kabisa kufahamu haya mambo in deep.Waeleze hawa vilaza wa nchi ya Tanzania
Mimi mwenyewe Bora Dr wakiume najiskia amani kabisaKama mteja/mgonjwa wa kike wa hao madaktari, Basi nachagua kuhudumiwa na daktari mwanaume, unakuwa mikono salama zaidi kuliko hizo za kujiita madaktari wa kike, kifo nje nje Yani sitaki kuwasikia kabisaaa
π€£π€£Moja kat ya uzi bora kabisa kuwahi kutokea JF
π€£π€£π€£Aisee mi napenda kuhudumiwa dr wa kike....
Nakumbuka mwaka 2010 nilienda hospitali moja kkoo nko na ishu flani sehemu nyeti kavaa gloves zake akawa ananikagua mnara ukaanza kusoma kwa mbali akaniambia acha umalaya wewe[emoji23][emoji23]
AiiiiiiseMawazo ya kipuuzi kabisa, ugonjwa hauna jinsi, uchi ni uchi pale unavyotumika kwa mambo yanayoleta fedheha na tamaa ya mwili ila siyo ugonjwa, watu wanaume wanaogesha mama zao na bibi zao wakiwa hawana msaada, ije kuwa kwenye ugonjwa?utakapokuja kugundua mke wako anatiwa vidole kupima njia si utazimia wewe?acha wivu wa kijinga
πππMadaktari wa kiume lazima waje kutoa povu humu maana wanaona kabisa dezo inavyopeperuka.