Serikali msijisahau katika hili la daktari kumtibia mtu wa jinsia tofauti na yeye

Serikali msijisahau katika hili la daktari kumtibia mtu wa jinsia tofauti na yeye

Bado hoja iko pale pale kuwa tuzalishe madaktari wengi wa kike ili kuoumguza tatizo
Nilikuwa sijaona signature yako!! kumbe tatizo ni mimi. Nakushauri ikikupendeza usipenyeshe tamaduni ulizo karirishwa dhidi ya jinsia nyingine, waache waamue wao! wana midomo???

km hawataki kusomea hayo??
 
km hawataki kusomea hayo??
Wapo wanaotaka wanakwamishwa na sababu mbalimbali.
waache waamue wao! wana midomo???
Ili waamue lazima wawepo na hao madaktari wa kike,hapo ndo uamuzi utakuwepo.

Yani umepika ugali tu alafu umemuweka mtu na njaa unamuambia achague chakula anachotaka alafu kuna ugali tu,lazima acjague huo ugali uliokuwepo

Ili waachiwe waamue basi na hao madaktari wa kike wawepo kwa wingi alafu tuone watachagua wapi.

Sasa hivi hata wakichagua bado wanaume ni wengi,na huko sio kuchagua,hata mimi naumwa naenda spitali nakuta daktari wa kike nachagua nini sasa zaidi ya kutibiwa na huyo huyo mwanamke ?
 
Wapo wanaotaka wanakwamishwa na sababu mbalimbali.

Ili waamue lazima wawepo na hao madaktari wa kike,hapo ndo uamuzi utakuwepo.

Yani umepika ugali tu alafu umemuweka mtu na njaa unamuambia achague chakula anachotaka alafu kuna ugali tu,lazima acjague huo ugali uliokuwepo

Ili waachiwe waamue basi na hao madaktari wa kike wawepo kwa wingi alafu tuone watachagua wapi.

Sasa hivi hata wakichagua bado wanaume ni wengi,na huko sio kuchagua,hata mimi naumwa naenda spitali nakuta daktari wa kike nachagua nini sasa zaidi ya kutibiwa na huyo huyo mwanamke ?
Kma umegraduate Univer. yeyote unajua idadi ya wanafunzi Madaktari ke'' waliopo kwenye vyuo vikuu vya tiba hata Leo hii, ni wengi kuliko me''

TMK Hospital Asha Mahita ndo mkuu alifanya vizuri pale kabla hajamwachia Malima,
Mganga Mkuu wa wilaya Sylvia Mamkwe demu!
Bado wakuu wa Idara wote wanawake, TMK OBGY dr Khadija Muarabu.

bado Mganga Mkuu mkoa ni Mdada hapo ni Bongo tu unataka idadi ipi?? uridhike??

Dr Beatrice mganga mkuu Dharula DSM me wanaongozwa na Ke'' mbona hawaja lalamika?
 
Kma umegraduate Univer. yeyote unajua idadi ya wanafunzi Madaktari ke'' waliopo kwenye vyuo vikuu vya tiba hata Leo hii, ni wengi kuliko me''

TMK Hospital Asha Mahita ndo mkuu alifanya vizuri pale kabla hajamwachia Malima,
Mganga Mkuu wa wilaya Sylvia Mamkwe demu!
Bado wakuu wa Idara wote wanawake, TMK OBGY dr Khadija Muarabu.

bado Mganga Mkuu mkoa ni Mdada hapo ni Bongo tu unataka idadi ipi?? uridhike??

Dr Beatrice mganga mkuu Dharula DSM me wanaongozwa na Ke'' mbona hawaja lalamika?
Hatuangalii nani anaongoza idara mkuu.

Kuongoza wanawake vitengo hivyo hakufanyi uhitaji wa madaktari wa kike zaidi upungue.

Na mimi sijazungumzia wala kutaka wanawake wawe viongozi katika vitengo mbalimbali hilo ni laako wewe mkuu.
Kma umegraduate Univer. yeyote unajua idadi ya wanafunzi Madaktari ke'' waliopo kwenye vyuo vikuu vya tiba hata Leo hii, ni wengi kuliko me''
Sio vyote,pengine vichache viko hivyo na vingi vina idadi ndogo.

Laiti ingekuwa mambo yapo kama unavyosema basi tusingekuwa na uhaba wa madaktari wengi wa kike.

Unalosema pengine ni uhalisia wa vyuo viwili vitatu ama kwa mwana fulani na fulani lakini sio kwamba ni jambo la miaka yote
 
Hoja yako kilojiki(mantiki) imekaa vizuri sana ila kiuhalisia(reality) haiko sawa
Mmoja ka comment humu kuwa vigezo vya udaktari kuusomea vipunguzwe.Naomba nimjulishe kuwa fani ya udaktari ni ngumu mno na fani yake sio fani ya kisiasa kusema vigezo vipunguzwe.
Madaktari wanaweza kuanza kozi 30 wakamaliza 10 au 15.Ukisema vigezo vipunguzwe kwenye maksi za ufaulu kidato cha sita maana yake kwanza hawatamaliza hiyo kozi kwa miaka mitano watafeli wote.Pili akiweza kukatiza utakuwa na daktari feki ambayo vile maisha ya binadamu ni muhimu ni hatarishi sana kupoteza maisha ya watu.
Pia nimjulishe mdau kuwa kuna kozi mfano inaitwa Anasthesia au kiswahili taaluma mtaalamu wa dawa ya usingizi.Hospitali ya Agakakhani pale dar wako watatu tu kati yao hao wawili walikuwa ni waajiriwa jeshini wastaafu.Kwa Tanzania nzima idadi yao haifiki 15 kwa level ya udaktari bingwa na wote ni wanaume.
Kwa vyovyote mwanamke akipatwa na tatizo lazima wanaume ndio wahusika.Ni hivyi kwenye ugonjwa habari ya ujinsia haina mashiko sana Dr ameshakutana na vitu vingi mno yeye anaona kawaida.Mimi niliugua Agakhani dar waliokuwa wananiogesha ni wanawake nikiwa sina fahamu na hata nilivyopata fahamu bado wakawa wao tu.Hali ikiwa ngumu kwenye kumfungua mwanamke mja mzito wanawake ujasiri unatoweka hata kama ni msomi wa taaluma husika hapo wanaume ndio umuhimu wao unapokuja.
Hili la ujinsia kwa kukaguliwa na polisi liko sawa.
 
Wakuu naomba niipongeze serikali kwa jitihada zake inazofanya katika kuhakikisha ile heshima ya jinsia zote inalindwa.

Tukiangalia katika majeshi hasa jeshi la polisi utakuta kuna askari wa kike ambao kama itatokea muhalifu ni mwanamke basi askari yule hakuajiriwa kwa bahati mbaya bali hiyo itakuwa ni kazi yake kumpekua sehemu za mwili wake.

Hali kadhaalika mwanaume atapekuliwa na askari wa kiume katika kulinda heshima.

Hata mashuleni kuna waalimu wa kike kibao ambao wao watashughulikia masuala mbali mbali ya wanafunzi wa kike.

Mbona sioni suala hili la kuheshimu jinsia na kulinda heshima ya mtu likifanyika na kusisitizwa katika kada ya afya ?

Kwanini isiwe kosa daktari wa kumtibia mgonjwa wa jinsia tofauti na yeye ikiwa katika hospitali hiyo ama maeneo hayo kuna daktari mwenye jinsia sawa na mgonjwa ?

Kama ambavyo polisi haruhusiwi kumfanyia upekuzi wa mwili mtu wa jinsia isiyekuwa yake wakati wa jinsia yake wakiwa pale hii ni kosa,vipi isiwe kosa katika hii kada ya afya ?

Yani utakuta hospitali kuna madaktari wa jinsia nyingi lskini mwanamke anatibiwa na mwanaume au kinyume chake.

Serikali isomeshe watoto wengi wa kike ili kuja kuepusha hii aibu,ipunguze vigezo vya kusomea udaktari kwa mwanamke hasa kwa mambo ya kawaida haya ambayo hayahitaji kujitoa sana wanawake wasomeshwe waje kuzalisha wanawake wenzao.

Chumba cha kuzalisha kuna madaktari wa kike watano na wa kiume mmoja,huyu wa kiume anatafuta nini,kwa nini isiwe kosa kisheria?
Shida wewe umeleta dini kwenye mambo makubwa kama haya. Hebu muulize mkeo au dada yako angependa kutibiwa na daktari wa kike au kiume?
 
Shida wewe umeleta dini kwenye mambo makubwa kama haya. Hebu muulize mkeo au dada yako angependa kutibiwa na daktari wa kike au kiume?
Haya ni maoni yako kwa sababu sijataja dini sehemu yeyote.

Na kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni hapa jamvini,siwezi kutumia nguvu kuuuuuubwa kukupinga,it's your opinion😀
 
Wakuu naomba niipongeze serikali kwa jitihada zake inazofanya katika kuhakikisha ile heshima ya jinsia zote inalindwa.

Tukiangalia katika majeshi hasa jeshi la polisi utakuta kuna askari wa kike ambao kama itatokea muhalifu ni mwanamke basi askari yule hakuajiriwa kwa bahati mbaya bali hiyo itakuwa ni kazi yake kumpekua sehemu za mwili wake.

Hali kadhaalika mwanaume atapekuliwa na askari wa kiume katika kulinda heshima.

Hata mashuleni kuna waalimu wa kike kibao ambao wao watashughulikia masuala mbali mbali ya wanafunzi wa kike.

Mbona sioni suala hili la kuheshimu jinsia na kulinda heshima ya mtu likifanyika na kusisitizwa katika kada ya afya ?

Kwanini isiwe kosa daktari wa kumtibia mgonjwa wa jinsia tofauti na yeye ikiwa katika hospitali hiyo ama maeneo hayo kuna daktari mwenye jinsia sawa na mgonjwa ?

Kama ambavyo polisi haruhusiwi kumfanyia upekuzi wa mwili mtu wa jinsia isiyekuwa yake wakati wa jinsia yake wakiwa pale hii ni kosa,vipi isiwe kosa katika hii kada ya afya ?

Yani utakuta hospitali kuna madaktari wa jinsia nyingi lskini mwanamke anatibiwa na mwanaume au kinyume chake.

Serikali isomeshe watoto wengi wa kike ili kuja kuepusha hii aibu,ipunguze vigezo vya kusomea udaktari kwa mwanamke hasa kwa mambo ya kawaida haya ambayo hayahitaji kujitoa sana wanawake wasomeshwe waje kuzalisha wanawake wenzao.

Chumba cha kuzalisha kuna madaktari wa kike watano na wa kiume mmoja,huyu wa kiume anatafuta nini,kwa nini isiwe kosa kisheria?
Wingi wa kesi za madaktari wa kiume kuwaingilia wagonjwa wa kike,zinatosha kutenganisha matibabu kwa jinsia. Muda Sasa, wa kuwa na huduma za afya kwa mujibu wa jinsia Kama ambavyo wodi zao zimetofautishwa
 
Wakuu naomba niipongeze serikali kwa jitihada zake inazofanya katika kuhakikisha ile heshima ya jinsia zote inalindwa.

Tukiangalia katika majeshi hasa jeshi la polisi utakuta kuna askari wa kike ambao kama itatokea muhalifu ni mwanamke basi askari yule hakuajiriwa kwa bahati mbaya bali hiyo itakuwa ni kazi yake kumpekua sehemu za mwili wake.

Hali kadhaalika mwanaume atapekuliwa na askari wa kiume katika kulinda heshima.

Hata mashuleni kuna waalimu wa kike kibao ambao wao watashughulikia masuala mbali mbali ya wanafunzi wa kike.

Mbona sioni suala hili la kuheshimu jinsia na kulinda heshima ya mtu likifanyika na kusisitizwa katika kada ya afya ?

Kwanini isiwe kosa daktari wa kumtibia mgonjwa wa jinsia tofauti na yeye ikiwa katika hospitali hiyo ama maeneo hayo kuna daktari mwenye jinsia sawa na mgonjwa ?

Kama ambavyo polisi haruhusiwi kumfanyia upekuzi wa mwili mtu wa jinsia isiyekuwa yake wakati wa jinsia yake wakiwa pale hii ni kosa,vipi isiwe kosa katika hii kada ya afya ?

Yani utakuta hospitali kuna madaktari wa jinsia nyingi lskini mwanamke anatibiwa na mwanaume au kinyume chake.

Serikali isomeshe watoto wengi wa kike ili kuja kuepusha hii aibu,ipunguze vigezo vya kusomea udaktari kwa mwanamke hasa kwa mambo ya kawaida haya ambayo hayahitaji kujitoa sana wanawake wasomeshwe waje kuzalisha wanawake wenzao.

Chumba cha kuzalisha kuna madaktari wa kike watano na wa kiume mmoja,huyu wa kiume anatafuta nini,kwa nini isiwe kosa kisheria?
Sasa Daktari amespecialize kwenye mambo ya uzazi kwa wanawake
 
Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiir.
Allahu Akbar!!!!!!!!!

Mtoa mada isije ikawa ni wale watu wanataka wake zao wazalishwe na madaktari wa kike lkn binti yake/mkewe kusoma na kufanya kazi ni marfuku na wanaamini mwanamke sehemu salama kwake ni nyumbani.
 
Hivi umeelewa hoja ya mtoa mada?

Mtoa mada analalamika mgonjwa kutibiwa na dk asiye wa jinsia wa jinsia yake wewe unasema sheria zipo zinataka kama mgonjwa ni ke na dr ni me basi awepo na dr/nesi wa kike,sasa huyo nesi wa kike atazuia vp dr wa kiume kumchungulia mgonjwa?

Hio sheria kama ipo basi itasaidia unyanyasaji wakijinsia ila mambo mengine kama kuchungulia hio sheria itasaidia vipi?

Nikuulize swali,hivi endapo ikitokea mama wa dr wa kiume ni mjamzito je huyu dr wa kiume anaweza kumzalisha mama yake chini ya uwepo wa dr/nesi wa kike?

Kwavyovyote dr ataomba ma dr wenzake wamzalishe mama yake kwani kwa utamaduni wakiafrika sio heshima.

Sasa inakiwaje vi dr vidogo vinapata ujasiri wakuchungulia wamama wenye rika sawa na mama zao?
Achana na mila kitaaluma hairuhusiwi daktari kujitibu mwenywe au kumtibu Mtu wake wa karibu bila ku consult daktari mwenzake. Kuna kitu inaitwa conflict of intrest.
 
Wanawake wangapi wanakidhi vigezo vya kuwa wabobevu katika magonjwa kada wa kadha??
 
Allahu Akbar!!!!!!!!!

Mtoa mada isije ikawa ni wale watu wanataka wake zao wazalishwe na madaktari wa kike lkn binti yake/mkewe kusoma na kufanya kazi ni marfuku na wanaamini mwanamke sehemu salama kwake ni nyumbani.
Hha hapana mkuu.

Kuna siku nilijadili kwa upana sana na bwana mkubwa humu yeye akiwa na msimamo kama ambao umeutaja hhataki wanawake wasome fani kama za udaktari na wakati huo anaona haifai mwanaume kumtibu mwanamke ana kinyume chake.

Nitakuwa mpumbavu sana ikiwa nataka dokta wa kike atibu mwanamke wakati huo huo nakataa mwanamke asisome haha
 
Kinachouma mama mzazi anaenda hospitali anakutana na daktari ambaye ana umri kama wa mimi mwanae alafu madaktari wa kike wapo kabisa.

Kuna mama wa kipemba wakati anajifungua alitaka kuja daktari wa kiume, basi mama mpemba akamuuliza "uko radhi kuchungulia tv ya mamayo wee "?

Daktari akaenda mbio
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna watu wanashambulia utadhani jamaa amesema kwamba mgonjwa anaona aibu wakati jamaa kaweka wazi kabisa hoja zake

Hili ni pendekezo au wazo tu mshkaji ametoa kwamba kwanini na kwenye tiba wasiweke utaratibu wa kuwa asitibiwe mgonjwa na tabibu wa jinsi tofauti (tena akaongezea kabisa "kama kuna tabibu wa jinsi yake eneo husika") ili kulinda heshima ya utu wa mgonjwa kama ilivyo kwenye polisi na kwingineko?

Sasa wewe unakurupuka tu ooh hujaumwa wewe mara mwingine ooh ugonjwa hauna aibu... sasa kwani kuna sehemu hapo kaandika kuwa anashauri hivyo kwakuwa mgonjwa anaona aibu?
 
Kuna watu wanashambulia utadhani jamaa amesema kwamba mgonjwa anaona aibu wakati jamaa kaweka wazi kabisa hoja zake

Hili ni pendekezo au wazo tu mshkaji ametoa kwamba kwanini na kwenye tiba wasiweke utaratibu wa kuwa asitibiwe mgonjwa na tabibu wa jinsi tofauti (tena akaongezea kabisa "kama kuna tabibu wa jinsi yake eneo husika") ili kulinda heshima ya utu wa mgonjwa kama ilivyo kwenye polisi na kwingineko?

Sasa wewe unakurupuka tu ooh hujaumwa wewe mara mwingine ooh ugonjwa hauna aibu... sasa kwani kuna sehemu hapo kaandika kuwa anashauri hivyo kwakuwa mgonjwa anaona aibu?
Mkuu ndo wana jf tulivyo na nimeshaona tatizo hilo ndio maana siwi kimya kujibu kwa sababu ya kutetra ninachosema.

Nilichoshauri kama madaktari wa kike hawatoshi basi mikakati ipangwe kuongeza madaktari,na kama wapo hao wa kike wa kutosha basi serikali itilie mkazo na kuweka sheria ambazo zitazuwia jambo hili.

Watu wanakuja wananiuliza maswali mengine kabisa,ila ndo JF ukitegemea hoja yako aikubali kila mtu basi inaweza kutukana kila mtu
 
Back
Top Bottom