Serikali na CCM walivyo na sikio la kufa lisilosikia dawa, tayari wanataka kuanzisha vita nyingine kubwa na hatari zaidi na Kanisa la Mungu

Sasa kama wewe ni mbumbumbu utawezaje kuona mantiki iliyopo kwenye posts/ comments zangu?
Umesema 'Nenda China.....' hivi mtu ambae sio Mbumbumbu anaweza kuandika umbumbumbu km huo ulioandika wewe Mbumbumbu
 
Mbona hasira
 
Hilo sio jina langu. Na wala sio muislamu.

Alafu mbumbumbu ni nyie
Abdulrazack unasema China hakuna makanisa, hiyo ni China plaza sio China Beijing utakuwa umesimuliwa habari za China.

Una haki ya kuitwa mbumbumbu
 
Abdulrazack unasema China hakuna makanisa, hiyo ni China plaza sio China Beijing utakuwa umesimuliwa habari za China.

Una haki ya kuitwa mbumbumbu
Ilo jina nimepewa lini ? Na Wapi nimesema China haina kanisa?
 
Reactions: Tui
Yaaani nakuhakikishia. Kama mimi ni mbumbumbu wewe umevuka mstari wa kihiyo, kilaza na upumbavu kabisa
Hivi unaelewa maana ya Mbumbumbu au bado unajidhihirisha jinsi gani wewe ni Mbumbumbu kwa kuandika ulichokiandika?
 
Ajabu acha watoe matamko ila nchi na serikali haifanyi kazi kwa matamko bali maslahi mapana ya nchi
Hata kwa kuiuza NCHI ikiwezekani na kufanya mengine yananayo na hayo? Acha kua Mbumbumbu wewe
 
Hata kwa kuiuza NCHI ikiwezekani na kufanya mengine yananayo na hayo? Acha kua Mbumbumbu wewe
wengi humu bendera kufuata upepo tu hata huo mkataba hamjausoma ila mnafuatisha mkumbo, haya kwa mfano wewe tuambie mkataba una page ngapi tuanzie hapo? Na kipengele gani kina shida ili kibadlishwe?
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…