CONSISTENCY
Senior Member
- Feb 16, 2023
- 135
- 309
- Thread starter
- #21
Asante kwa huo ushuhuda uliouona kwa watoto wako, kwa kifupi asilimia kubwa ya jamii nzima ipo kama hao watoto wako.Unachoongea ni kweli ila ume exaggerate sana
Japo hata mimi niliwahi kuwaza kama wewe hasa katika nyanja ya kuathiriwa kitamaduni
Vibinti vingi vimekuwa brainwashed na tamthilia hadi vinakataa utu wao kiafrika na kuona kuwa mwafrika ni laana, wengi wanatamani kuwa na watoto weupe na huwapa majina ya kituruki
Yaani jamii ishakuwa brainwashed sana, nadhani tamthilia za hapa nyumbani zingepewa kipaumbele maana zinagusa dhima halisi ya maisha ya kitanganyika
Mfano wa tamthilia bora kwangu ni hii MTAA WA KAZAMOYO na ZAHANATI YA KIJIJI
Nini Hatima ya Kizazi Chetu cha Kitanzania kuwaiga hao watu wa kwenye Tamthilia?