CONSISTENCY
Senior Member
- Feb 16, 2023
- 135
- 309
- Thread starter
- #61
Hoja yako wewe Nini kwenye huu uzi?Ndo nia kuu ya huu uzi kujadili ushoga, kwan mashoga wote hawa walianza kwa kutazama tamthilia?
Huwa hamna hoja nyingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja yako wewe Nini kwenye huu uzi?Ndo nia kuu ya huu uzi kujadili ushoga, kwan mashoga wote hawa walianza kwa kutazama tamthilia?
Huwa hamna hoja nyingine?
Na [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Linahusiana sababu wakitoa hizo tamthilia kifuatacho ni kuwekewa kina jambazi kishoka
Yaan nia yako kupinga ushoga, jamani ushoga hata hauenezwi na tamthilia, polee wee
Focus na mambo yako binafsi ya msingi, usipangie watu maisha. LolHoja yako wewe Nini kwenye huu uzi?
Hauna hoja..Focus na mambo yako binafsi ya msingi, usipangie watu maisha. Lol
Kwan kila anayetetea jambo ni muhusika? Huna hoja au? Hapa tunajadili mada na sio mtu. Njoo na hoja mkuu tuzichambue.Mbona umekuja kwa kejeli na kutetea ushoga..!!
Wewe ni shoga?
Sasa wee mwenye hoja mbona hatuoni hapa? Hicho unachokitaka wee hakiwezekani, unajisumbua buree tyuuh.Hauna hoja..
Hivyo kaa kimya
😂Kumbe na wewe mfatiliajiUna hoja usikilizwe
Golden boy ipo mwishoni sshv
Unasikitisha,Sasa wee mwenye hoja mbona hatuoni hapa? Hicho unachokitaka wee hakiwezekani, unajisumbua buree tyuuh.
Narudia acha kupangia watu maisha.
Asante,Tamthimlia zote Dunia maudhui ufanana hata hzi za kiswahili ni ajenda na mpango maalumu wa kutengeneza kizazi mazombi kisichofikiri na wamefaulu Kwa hili,madirector wanajua huu mpango wenye lengo kuu ni kubomoa jamii na kuivunja kabisa taasisi ya ndoa kwa kupromote ufeminist na wateja wakubwa wa hizi tamthilia ni wanawake kwa sababu ni wanawake wachache sana wenye uwezo wa kutofautisha uhalisia na tamthilia wengi ucopy waliyoyaona kwenye tv na kuyaingiza kwenye maisha halisi,thus ndoa hazishikiki kwa sababu wanawake wameacha wajibu wao wa asili kwa kupotoshwa na hizi tamthilia
Nimecheka sana,Nenda upande wa setting ktk kisimbuzi chako alafu zifungie hizo channel 🤣,,
Ila utalalamikiwa sana familia na kuitwa dingi mkoloni kishenz🤣,,
Sanaa nayo ni ushindani na ni biashara. Ukikosa kuwapa watu wako kile kinachowaelimisha na kuwaburudisha wataangukia upande wa pili. Ni sawa na mke ushindwe kumpa stahili zake ndani, ataangukia kwa yeyote anaekidhi haja zake. Serikali imeshindwa kusimamia mambo hayo na haina uwezo wa kukataza mambo hayo maana wanapata misaada ya fedha huko,na ushoga ni wimbi la kidunia likiongozwa na wenye nguvu za uchumi,kama huna nguvu za uchumi subiri matokeo ila usizuie na ukizuia uwe tayari kuishi kama shetani.Upo sahihi kwa upande huo ila hayo mambo yanamatokeo mabaya kidogo kwa sababu jamii haioni kila siku.
Hizo Tamthilia nazungumzia sababu jamii inaona kila siku kuanzia asubuhi Hadi usiku hivyo imegeuka kama ndio mtindo wa maisha wa Kitanzania
Hilo ni suluhisho la mda mfupi, soluhisho la mda mrefu ni serikali kukataza Azam TV kuonesha hizo TamthiliaMimi nashauri TANESCO ikate umeme muda mwingi ili watu wasitumie muda wa uzalishaji mali katika kuangalia hizi tamthilia za kituruki, etc
Ndo nia kuu ya huu uzi kujadili ushoga, kwan mashoga wote hawa walianza kwa kutazama tamthilia?
Huwa hamna hoja nyingine?