Serikali na jamii kwa ujumla tuwasaidie bodaboda Arusha kutoka kwenye mtazamo usiofaa

Serikali na jamii kwa ujumla tuwasaidie bodaboda Arusha kutoka kwenye mtazamo usiofaa

Nilipokuwa Arusha nilishangaa sana kuona vijana wengi ni masela mavi na hawana hela,wenye hela na wanaopiga inshu za maana ni watu wazima

Sasa nikawaza baada ya miaka 20 Arusha patakuwaje,kama vijana wengi wasasa wapo hvyo na hawana inshu za kueleweka
 
Hilo ni tatizo la malezi na Sio tatizo la jamii.Mfumo wao wa malezi ndio unawashape wawe hivyo.
Hadi dini na elimu vikiwakolea ndipo wataweza kustaarabika
 
WanaJF ninaandika nikiwa na hasira zilizochanganyikana na huzuni kuhusu kinachoendelea huko Arusha. Kwanza kabisa niseme mimi ni mzaliwa wa Arusha na nimekulia huko. Kilichonitoa Arusha ni elimu ngazi ya chuo kikuu. Nitakachoandika hapa sio stori za kuhadithiwa au kuona kwenye media.

Kwa miaka ya karibuni hasa mwaka huu kumeripotiwa ajali nyingi za pikipiki zilizoondoa maisha ya vijana wengi na kuwaachia wengine ulemavu. Tofauti na sehemu zingine kwa Arusha imeonekana hii misiba ni kawaida hali inayopelekea kuwepo na masikhara mengi sana misibani. Vyombo vya habari hasa vya mitandaoni vimekuwa mstari wa mbele kuripoti masikhara yanayofanyika misibani huku msiba wenyewe ukipewa uzito mdogo. Mkipita kwa Millard Ayo na online media zingine mtaona vijana wa Arusha maarufu kama machii wa R wakifukia makaburi kwa mikono kama kuonyesha heshima kwa mwenzao. Ule ni upuuzi unaopelekea kuonekana kama ajali iliyotoa uhai ni jambo dogo.

Pamoja na ajali za pikipiki pia kuna tabia ya vijana wengi wa Arusha kufanya bidii waonekane wao ni wahuni kuanzia mavazi hadi kuongea. Wazazi na walezi wengi wanaugulia ndani kwa ndani hakuna namna. Mimi ninakataa kabisa huu USELA MAVI wa hawa vijana. Vijana wengi wameacha kusoma na kukimbilia bangi, pombe na mambo mengine ya kijinga. Media pia zimekuwa na ujinga wa kupromoti huu upuuzi wa Machalii wa R.

Pichani dada maarufu mitaa ya Kijenge aliyefariki kwa ajali ya pikipiki mwaka jana. Alijulikana kwa jina maarufu LA MAMA. Huu msiba uliniuma sana. Ndoto zangu nyingi kwa huyu hayati "La mama" zilizimika.
View attachment 2703417
Ujanja mwingi ujinga..!
 
Endeleeni na harakati uchwara za kwenye software! Mnatumia watu wachache kuhitimisha tabia ya wote

Mazafanta kbs
 
Was chuga bhana[emoji23], jirani yetu hapa ni mchuga yeye na mkewe,mavazi yao sasa na walivyo wembamba na hile miguu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nawaangaliaga naishia kusema hiiiiiiiiiiiii[emoji15]
 
WanaJF ninaandika nikiwa na hasira zilizochanganyikana na huzuni kuhusu kinachoendelea huko Arusha. Kwanza kabisa niseme mimi ni mzaliwa wa Arusha na nimekulia huko. Kilichonitoa Arusha ni elimu ngazi ya chuo kikuu. Nitakachoandika hapa sio stori za kuhadithiwa au kuona kwenye media.

Kwa miaka ya karibuni hasa mwaka huu kumeripotiwa ajali nyingi za pikipiki zilizoondoa maisha ya vijana wengi na kuwaachia wengine ulemavu. Tofauti na sehemu zingine kwa Arusha imeonekana hii misiba ni kawaida hali inayopelekea kuwepo na masikhara mengi sana misibani. Vyombo vya habari hasa vya mitandaoni vimekuwa mstari wa mbele kuripoti masikhara yanayofanyika misibani huku msiba wenyewe ukipewa uzito mdogo. Mkipita kwa Millard Ayo na online media zingine mtaona vijana wa Arusha maarufu kama machii wa R wakifukia makaburi kwa mikono kama kuonyesha heshima kwa mwenzao. Ule ni upuuzi unaopelekea kuonekana kama ajali iliyotoa uhai ni jambo dogo.

Pamoja na ajali za pikipiki pia kuna tabia ya vijana wengi wa Arusha kufanya bidii waonekane wao ni wahuni kuanzia mavazi hadi kuongea. Wazazi na walezi wengi wanaugulia ndani kwa ndani hakuna namna. Mimi ninakataa kabisa huu USELA MAVI wa hawa vijana. Vijana wengi wameacha kusoma na kukimbilia bangi, pombe na mambo mengine ya kijinga. Media pia zimekuwa na ujinga wa kupromoti huu upuuzi wa Machalii wa R.

Pichani dada maarufu mitaa ya Kijenge aliyefariki kwa ajali ya pikipiki mwaka jana. Alijulikana kwa jina maarufu LA MAMA. Huu msiba uliniuma sana. Ndoto zangu nyingi kwa huyu hayati "La mama" zilizimika.
View attachment 2703417
Emmaculate asee huyu la mama alikua moto
 
WanaJF ninaandika nikiwa na hasira zilizochanganyikana na huzuni kuhusu kinachoendelea huko Arusha. Kwanza kabisa niseme mimi ni mzaliwa wa Arusha na nimekulia huko. Kilichonitoa Arusha ni elimu ngazi ya chuo kikuu. Nitakachoandika hapa sio stori za kuhadithiwa au kuona kwenye media.

Kwa miaka ya karibuni hasa mwaka huu kumeripotiwa ajali nyingi za pikipiki zilizoondoa maisha ya vijana wengi na kuwaachia wengine ulemavu. Tofauti na sehemu zingine kwa Arusha imeonekana hii misiba ni kawaida hali inayopelekea kuwepo na masikhara mengi sana misibani. Vyombo vya habari hasa vya mitandaoni vimekuwa mstari wa mbele kuripoti masikhara yanayofanyika misibani huku msiba wenyewe ukipewa uzito mdogo. Mkipita kwa Millard Ayo na online media zingine mtaona vijana wa Arusha maarufu kama machii wa R wakifukia makaburi kwa mikono kama kuonyesha heshima kwa mwenzao. Ule ni upuuzi unaopelekea kuonekana kama ajali iliyotoa uhai ni jambo dogo.

Pamoja na ajali za pikipiki pia kuna tabia ya vijana wengi wa Arusha kufanya bidii waonekane wao ni wahuni kuanzia mavazi hadi kuongea. Wazazi na walezi wengi wanaugulia ndani kwa ndani hakuna namna. Mimi ninakataa kabisa huu USELA MAVI wa hawa vijana. Vijana wengi wameacha kusoma na kukimbilia bangi, pombe na mambo mengine ya kijinga. Media pia zimekuwa na ujinga wa kupromoti huu upuuzi wa Machalii wa R.

Pichani dada maarufu mitaa ya Kijenge aliyefariki kwa ajali ya pikipiki mwaka jana. Alijulikana kwa jina maarufu LA MAMA. Huu msiba uliniuma sana. Ndoto zangu nyingi kwa huyu hayati "La mama" zilizimika.
View attachment 2703417
Pichani dada maarufu mitaa ya Kijenge aliyefariki kwa ajali ya pikipiki mwaka jana. Alijulikana kwa jina maarufu LA MAMA. Huu msiba uliniuma sana. Ndoto zangu nyingi kwa huyu hayati "La mama" zilizimika.
Thread yooote kumbe lengo kuu ni point hii yako ya mwisho?🤣🤣🙌
 
Pichani dada maarufu mitaa ya Kijenge aliyefariki kwa ajali ya pikipiki mwaka jana. Alijulikana kwa jina maarufu LA MAMA. Huu msiba uliniuma sana. Ndoto zangu nyingi kwa huyu hayati "La mama" zilizimika.
Thread yooote kumbe lengo kuu ni point hii yako ya mwisho?🤣🤣🙌
Tamka Hayati La Mama kwa sauti
 
Wazee wa Arusha republic (USA) wazee wasiopenda fedhea
 
Was chuga bhana[emoji23], jirani yetu hapa ni mchuga yeye na mkewe,mavazi yao sasa na walivyo wembamba na hile miguu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nawaangaliaga naishia kusema hiiiiiiiiiiiii[emoji15]
Mkuu huu muda wa kuwaangalia unautoa wapi? Mbaya iwe hata hawajui kama huwa unawaangalia na kuwashangaa haha
 
MIMI SIONI TATIZO MTU AKIFA KWASABAB YA UPUMBAV WAKE MWENYEW NA ANAJUA NI HATARI...
Acha wafe tu maana wanajiona wao ndio wamezaliwa kuchezea pikipik wao ndio masela w taifa...
Police wenyew wamewachoka... By the way kama taifa tuna vijana wengi ambao hawajitambui acha wasio jutambua wafe
Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom