Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Ujanja mwingi ujinga..!WanaJF ninaandika nikiwa na hasira zilizochanganyikana na huzuni kuhusu kinachoendelea huko Arusha. Kwanza kabisa niseme mimi ni mzaliwa wa Arusha na nimekulia huko. Kilichonitoa Arusha ni elimu ngazi ya chuo kikuu. Nitakachoandika hapa sio stori za kuhadithiwa au kuona kwenye media.
Kwa miaka ya karibuni hasa mwaka huu kumeripotiwa ajali nyingi za pikipiki zilizoondoa maisha ya vijana wengi na kuwaachia wengine ulemavu. Tofauti na sehemu zingine kwa Arusha imeonekana hii misiba ni kawaida hali inayopelekea kuwepo na masikhara mengi sana misibani. Vyombo vya habari hasa vya mitandaoni vimekuwa mstari wa mbele kuripoti masikhara yanayofanyika misibani huku msiba wenyewe ukipewa uzito mdogo. Mkipita kwa Millard Ayo na online media zingine mtaona vijana wa Arusha maarufu kama machii wa R wakifukia makaburi kwa mikono kama kuonyesha heshima kwa mwenzao. Ule ni upuuzi unaopelekea kuonekana kama ajali iliyotoa uhai ni jambo dogo.
Pamoja na ajali za pikipiki pia kuna tabia ya vijana wengi wa Arusha kufanya bidii waonekane wao ni wahuni kuanzia mavazi hadi kuongea. Wazazi na walezi wengi wanaugulia ndani kwa ndani hakuna namna. Mimi ninakataa kabisa huu USELA MAVI wa hawa vijana. Vijana wengi wameacha kusoma na kukimbilia bangi, pombe na mambo mengine ya kijinga. Media pia zimekuwa na ujinga wa kupromoti huu upuuzi wa Machalii wa R.
Pichani dada maarufu mitaa ya Kijenge aliyefariki kwa ajali ya pikipiki mwaka jana. Alijulikana kwa jina maarufu LA MAMA. Huu msiba uliniuma sana. Ndoto zangu nyingi kwa huyu hayati "La mama" zilizimika.
View attachment 2703417
Hakuwa bodaboda. Alikuwa anapenda kupanda bodabodaLa.mama nae alikuwa bodaboda?
... hayo huwa yanabebwaga kwa misifa mipaja nje nje yanajiona majanja! Likibuma yanapusuka kwenye lami na biashara inakuwa imeishia hapo.La.mama nae alikuwa bodaboda?
Emmaculate asee huyu la mama alikua motoWanaJF ninaandika nikiwa na hasira zilizochanganyikana na huzuni kuhusu kinachoendelea huko Arusha. Kwanza kabisa niseme mimi ni mzaliwa wa Arusha na nimekulia huko. Kilichonitoa Arusha ni elimu ngazi ya chuo kikuu. Nitakachoandika hapa sio stori za kuhadithiwa au kuona kwenye media.
Kwa miaka ya karibuni hasa mwaka huu kumeripotiwa ajali nyingi za pikipiki zilizoondoa maisha ya vijana wengi na kuwaachia wengine ulemavu. Tofauti na sehemu zingine kwa Arusha imeonekana hii misiba ni kawaida hali inayopelekea kuwepo na masikhara mengi sana misibani. Vyombo vya habari hasa vya mitandaoni vimekuwa mstari wa mbele kuripoti masikhara yanayofanyika misibani huku msiba wenyewe ukipewa uzito mdogo. Mkipita kwa Millard Ayo na online media zingine mtaona vijana wa Arusha maarufu kama machii wa R wakifukia makaburi kwa mikono kama kuonyesha heshima kwa mwenzao. Ule ni upuuzi unaopelekea kuonekana kama ajali iliyotoa uhai ni jambo dogo.
Pamoja na ajali za pikipiki pia kuna tabia ya vijana wengi wa Arusha kufanya bidii waonekane wao ni wahuni kuanzia mavazi hadi kuongea. Wazazi na walezi wengi wanaugulia ndani kwa ndani hakuna namna. Mimi ninakataa kabisa huu USELA MAVI wa hawa vijana. Vijana wengi wameacha kusoma na kukimbilia bangi, pombe na mambo mengine ya kijinga. Media pia zimekuwa na ujinga wa kupromoti huu upuuzi wa Machalii wa R.
Pichani dada maarufu mitaa ya Kijenge aliyefariki kwa ajali ya pikipiki mwaka jana. Alijulikana kwa jina maarufu LA MAMA. Huu msiba uliniuma sana. Ndoto zangu nyingi kwa huyu hayati "La mama" zilizimika.
View attachment 2703417
Pichani dada maarufu mitaa ya Kijenge aliyefariki kwa ajali ya pikipiki mwaka jana. Alijulikana kwa jina maarufu LA MAMA. Huu msiba uliniuma sana. Ndoto zangu nyingi kwa huyu hayati "La mama" zilizimika.WanaJF ninaandika nikiwa na hasira zilizochanganyikana na huzuni kuhusu kinachoendelea huko Arusha. Kwanza kabisa niseme mimi ni mzaliwa wa Arusha na nimekulia huko. Kilichonitoa Arusha ni elimu ngazi ya chuo kikuu. Nitakachoandika hapa sio stori za kuhadithiwa au kuona kwenye media.
Kwa miaka ya karibuni hasa mwaka huu kumeripotiwa ajali nyingi za pikipiki zilizoondoa maisha ya vijana wengi na kuwaachia wengine ulemavu. Tofauti na sehemu zingine kwa Arusha imeonekana hii misiba ni kawaida hali inayopelekea kuwepo na masikhara mengi sana misibani. Vyombo vya habari hasa vya mitandaoni vimekuwa mstari wa mbele kuripoti masikhara yanayofanyika misibani huku msiba wenyewe ukipewa uzito mdogo. Mkipita kwa Millard Ayo na online media zingine mtaona vijana wa Arusha maarufu kama machii wa R wakifukia makaburi kwa mikono kama kuonyesha heshima kwa mwenzao. Ule ni upuuzi unaopelekea kuonekana kama ajali iliyotoa uhai ni jambo dogo.
Pamoja na ajali za pikipiki pia kuna tabia ya vijana wengi wa Arusha kufanya bidii waonekane wao ni wahuni kuanzia mavazi hadi kuongea. Wazazi na walezi wengi wanaugulia ndani kwa ndani hakuna namna. Mimi ninakataa kabisa huu USELA MAVI wa hawa vijana. Vijana wengi wameacha kusoma na kukimbilia bangi, pombe na mambo mengine ya kijinga. Media pia zimekuwa na ujinga wa kupromoti huu upuuzi wa Machalii wa R.
Pichani dada maarufu mitaa ya Kijenge aliyefariki kwa ajali ya pikipiki mwaka jana. Alijulikana kwa jina maarufu LA MAMA. Huu msiba uliniuma sana. Ndoto zangu nyingi kwa huyu hayati "La mama" zilizimika.
View attachment 2703417
Tamka Hayati La Mama kwa sautiPichani dada maarufu mitaa ya Kijenge aliyefariki kwa ajali ya pikipiki mwaka jana. Alijulikana kwa jina maarufu LA MAMA. Huu msiba uliniuma sana. Ndoto zangu nyingi kwa huyu hayati "La mama" zilizimika.
Thread yooote kumbe lengo kuu ni point hii yako ya mwisho?🤣🤣🙌
Mkuu huu muda wa kuwaangalia unautoa wapi? Mbaya iwe hata hawajui kama huwa unawaangalia na kuwashangaa hahaWas chuga bhana[emoji23], jirani yetu hapa ni mchuga yeye na mkewe,mavazi yao sasa na walivyo wembamba na hile miguu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawaangaliaga naishia kusema hiiiiiiiiiiiii[emoji15]
Inasikitisha sanaMIMI SIONI TATIZO MTU AKIFA KWASABAB YA UPUMBAV WAKE MWENYEW NA ANAJUA NI HATARI...
Acha wafe tu maana wanajiona wao ndio wamezaliwa kuchezea pikipik wao ndio masela w taifa...
Police wenyew wamewachoka... By the way kama taifa tuna vijana wengi ambao hawajitambui acha wasio jutambua wafe