Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Inaonekana hizi risasi zinazotumika kwenye silaha zetu nyingine ni fake au zina tatizo flani. Mara kadhaa imetokea Polisi wanapiga Risasi Juu kutawanya watu. Yenyewe inakata kona na kwenda kumfuata mtu aliye chini.
Kuna haja Serikali iangalie hizi zinatengenezwa wapi. Isije ikawa ni za Kichina au wanatengeneza hapo Mbozi Mkoa wa Songwe. Inasikitisha. Tunajua makosa si ya Askari maana wao huwa hawahukumiwi kwa jambo hili. Basi angalau anayenunua hizo Silaha awe anawajibishwa.
Kuna haja Serikali iangalie hizi zinatengenezwa wapi. Isije ikawa ni za Kichina au wanatengeneza hapo Mbozi Mkoa wa Songwe. Inasikitisha. Tunajua makosa si ya Askari maana wao huwa hawahukumiwi kwa jambo hili. Basi angalau anayenunua hizo Silaha awe anawajibishwa.