Serikali na Jeshi la Polisi kuweni Makini na Mnaponunua Risasi zenu. Hatari ipo kwetu

Serikali na Jeshi la Polisi kuweni Makini na Mnaponunua Risasi zenu. Hatari ipo kwetu

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Inaonekana hizi risasi zinazotumika kwenye silaha zetu nyingine ni fake au zina tatizo flani. Mara kadhaa imetokea Polisi wanapiga Risasi Juu kutawanya watu. Yenyewe inakata kona na kwenda kumfuata mtu aliye chini.

Kuna haja Serikali iangalie hizi zinatengenezwa wapi. Isije ikawa ni za Kichina au wanatengeneza hapo Mbozi Mkoa wa Songwe. Inasikitisha. Tunajua makosa si ya Askari maana wao huwa hawahukumiwi kwa jambo hili. Basi angalau anayenunua hizo Silaha awe anawajibishwa.

Screenshot_20220520-183905~2.png
 
duh! shida ni risasi kukata kona kutoka juu na kumuelekea aliejeruhiwa au labda bunduki ndo haziko imara made in Ukraine zinapinda pinda toka juu kwenda chini? au tukague mikono ya askari inayumbayumba? au labda kichwani mwa askari aliona amelenga juu kumbe kamuweka mtu kwenye target?

mbona kama naona vya kuangalia ni vingi ati!

askari watuongezee mengine ya kitaalam
 
Inaonekana hizi risasi zinazotumika kwenye silaha zetu nyingine ni fake au zina tatizo flani. Mara kadhaa imetokea Polisi wanapiga Risasi Juu kutawanya watu. Yenyewe inakata kona na kwenda kumfuata mtu aliye chini.

Kuna haja Serikali iangalie hizi zinatengenezwa wapi. Isije ikawa ni za Kichina au wanatengeneza hapo Mbozi Mkoa wa Songwe. Inasikitisha. Tunajua makosa si ya Askari maana wao huwa hawahukumiwi kwa jambo hili. Basi angalau anayenunua hizo Silaha awe anawajibishwa.

View attachment 2232054
kwani wananchi wanatawanywa kwa risasi ya moto?
 
Watu mmekaa ki malalamiko sana, hujui kwamba risasi zinazopigwa juu zikirudi zinaweza kujeruhi mtu na hata kumuua?
 
Watu mmekaa ki malalamiko sana, hujui kwamba risasi zinazopigwa juu zikirudi zinaweza kujeruhi mtu na hata kumuua?
Kama wewe hujali usalama wa maisha yako acha wanaojali walalamike.wewe baki na hizo akili zako siku yakikituta ndo utajua vizuri hichi wanachokizungumza watu.
 
Risasi zinazopigwa kwenda juu hurudi chini tena kwa spidi ile ile au zaidi na ni hatari. Watu hudhani risasi zikienda juu hubaki huko huko. Tusome tuache ushabiki.
 
Mbona kwenye mazishi ya asikari huwa sizioni zikirudi chini kwa kasi?,ama huwa ni baruti.
 
Inaonekana hizi risasi zinazotumika kwenye silaha zetu nyingine ni fake au zina tatizo flani. Mara kadhaa imetokea Polisi wanapiga Risasi Juu kutawanya watu. Yenyewe inakata kona na kwenda kumfuata mtu aliye chini.

Kuna haja Serikali iangalie hizi zinatengenezwa wapi. Isije ikawa ni za Kichina au wanatengeneza hapo Mbozi Mkoa wa Songwe. Inasikitisha. Tunajua makosa si ya Askari maana wao huwa hawahukumiwi kwa jambo hili. Basi angalau anayenunua hizo Silaha awe anawajibishwa.

View attachment 2232054
kwa nini asitume blanks kutawanya watu badala ya kutumia risasi za moto?
 
duh! shida ni risasi kukata kona kutoka juu na kumuelekea aliejeruhiwa au labda bunduki ndo haziko imara made in Ukraine zinapinda pinda toka juu kwenda chini? au tukague mikono ya askari inayumbayumba? au labda kichwani mwa askari aliona amelenga juu kumbe kamuweka mtu kwenye target?

mbona kama naona vya kuangalia ni vingi ati!

askari watuongezee mengine ya kitaalam
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom