Hata mlio tu baada ya kuwa risasi kufyatuka huwa unajeruhiWatu mmekaa ki malalamiko sana, hujui kwamba risasi zinazopigwa juu zikirudi zinaweza kujeruhi mtu na hata kumuua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mlio tu baada ya kuwa risasi kufyatuka huwa unajeruhiWatu mmekaa ki malalamiko sana, hujui kwamba risasi zinazopigwa juu zikirudi zinaweza kujeruhi mtu na hata kumuua?
Inaonekana hizi risasi zinazotumika kwenye silaha zetu nyingine ni fake au zina tatizo flani. Mara kadhaa imetokea Polisi wanapiga Risasi Juu kutawanya watu. Yenyewe inakata kona na kwenda kumfuata mtu aliye chini.
Kuna haja Serikali iangalie hizi zinatengenezwa wapi. Isije ikawa ni za Kichina au wanatengeneza hapo Mbozi Mkoa wa Songwe. Inasikitisha. Tunajua makosa si ya Askari maana wao huwa hawahukumiwi kwa jambo hili. Basi angalau anayenunua hizo Silaha awe anawajibishwa.
View attachment 2232054