🤔🤔🤔Ajali zimekua nyingi sanaTaarifa zaidi badae,
Kuna mtu yupo kahama kanitaarifu kua Kuna ndege imeanguka, ambulance na fire zinakimbia eneo la tukio
Taarifa zaidi badae,
Kuna mtu yupo kahama kanitaarifu kua Kuna ndege imeanguka, ambulance na fire zinakimbia eneo la tukio
Weka habari ielewekeTaarifa zaidi badae,
Kuna mtu yupo kahama kanitaarifu kua Kuna ndege imeanguka, ambulance na fire zinakimbia eneo la tukio
sio kigezo kukwepa ajali nikokote mkuuMh ndege tena? Nitaacha kutumia ndege sasa [emoji849][emoji849]
Maharage au?Aisee,Yule jamaa yetu aliota ndege kuanguka ila ilikuwa Arusha,ngoja tusubiri taarifa kamili
Huyohuyo mkuuMaharage au?
Tulia dogo siyo ajali ni zoezi la majaribio ya uwokozi.
Siku ya kitokea utwaona wakifanya hayo majaribioTulia dogo siyo ajali ni zoezi la majaribio ya uwokozi.
Rudi tu kwenye vijiwe vyenu vya umbea hapo Mwalusembe Mkuranga muendelee kujadili wanaume wengine na maisha yao mkistarehesha baraza. Huku sisi wakilimanjaro tuna piga kazi.