Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
HuyohuyoMaharage au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HuyohuyoMaharage au?
Elimu ya kuiba mitihani na ulevi ndo maana mnaangusha ndegeTulia dogo siyo ajali ni zoezi la majaribio ya uwokozi.![]()
Rudi tu kwenye vijiwe vyenu vya umbea hapo Mwalusembe Mkuranga muendelee kujadili wanaume wengine na maisha yao mkistarehesha baraza. Huku sisi wakilimanjaro tuna piga kazi.
AiseeHuyohuyo mkuu
AiseeHuyohuyo
Mshauwa watu huko kaangalieDogo acha porojo. Mods washaweka update hapo juu siyo ajali bali ilikuwa zoezi la majaribio ya uwokozi.
Haya faster kajishughulishe.
Sauh'waaah dogo?
Kwa iyo umefurahiElimu ya kuiba mitihani na ulevi ndo maana mnaangusha ndege
TeuziKipindi cha Majanga hiki
Wewe ni mpumbavu mkuu, nimeweka taarifa kama tetesi maana Kuna mtu kaniambia, ajabu unanitukana kua tuendelee kukaa vijiweni kujadili wanaume, yote hayo ya Nini??? Sasa taarifa imekua kweli kwanini wewe ulikua unatukana bila kujua kinachoendelea?Ila mods waliweka update kuwa ni zoezi la majaribio ya uwokozi tena wamebadilisga.
Dah huzuni sana.
Hahahh hatr mkuuMajaliwa wa Kahama changamkieni fursa.
Hope hamna vifo na majeruhi yani nitafurahi na kurukaruka.