Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa heshima na tahadhima naomba unisamehe. Nilipitiwa tu kidogo...
Hata kukuMh ndege tena? Nitaacha kutumia ndege sasa [emoji849][emoji849]
Majaribio yametimia kwa asilimia mia moja.Maana majaribio yamethibitisha kwamba watu wakifa kinatokea nini, na ndege inateketeaje.Tuwasubirie marehemu kama wapo watuletee taarifa ya majaribio waliyoyafanya.Hapo hapo wanaji changanya mara waseme ni ya majaribio...
Media za kukurupuka.View attachment 2515892
Kuna kitu hakipo sawa kwenye hii ajali.Hapo hapo wanaji changanya mara waseme ni ya majaribio...
Media za kukurupuka.View attachment 2515892
Aliota tena mwaka huu?Aisee,Yule jamaa yetu aliota ndege kuanguka ila ilikuwa Arusha,ngoja tusubiri taarifa kamili