Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccm lini wakasema ukweli, kama walitudanganya wakati Jiwe anaumwa hoi itakuwa hili la ndege ndugu zangu?Hii nchi ina vitabia vya ajabu sana, yaani ndege imeanguka na kuua eti kiongozi/mwanasiasa anasimama na kudanganya umma ilikuwa kwenye jaribio la utayali wa uokozi!.
Na meneja wa uwanja naye anasema yake ya kitaalam, nani ni nani mwenye ukweli!.
huyu demu katuona vilaza sanaKwamba hiyo ndege imeangushwa makusudi na rubani Ili kupima waokoaji...!!Au nachanganya madesa
Wewe unasema hivyo kwa vile ni mbux3 si taaluma yako. Sema sorry!Kwamba hiyo ndege imeangushwa makusudi na rubani Ili kupima waokoaji...!!Au nachanganya madesa
... umoumo [emoji1787]Kwamba hiyo ndege imeangushwa makusudi na rubani Ili kupima waokoaji...!!Au nachanganya madesa
Hii nchi ina vitabia vya ajabu sana, yaani ndege imeanguka na kuua eti kiongozi/mwanasiasa anasimama na kudanganya umma ilikuwa kwenye jaribio la utayali wa uokozi!.
Na meneja wa uwanja naye anasema yake ya kitaalam, nani ni nani mwenye ukweli!.
Ilitoka Rwanda kuelekea msumbiji😳😳😳