FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Majaribio ya kuuaKuna taarifa inasema ni ndege ya majaribio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majaribio ya kuuaKuna taarifa inasema ni ndege ya majaribio
Mpaka Ina anguka na kuungua ni majaribio au ni failure.Kuna taarifa inasema ni ndege ya majaribio
Hizo ndege za majaribio sijui zimetoka wapiMajaribio ya kuua
Maswali ni mengi kidogo, kiukweliHizo ndege za majaribio sijui zimetoka wapi
Aisee,Yule jamaa yetu aliota ndege kuanguka ila ilikuwa Arusha,ngoja tusubiri taarifa kamili
@maharage ya ukweniYupi huyo??
Hata kagera walisema ni demo tu! hadi watu walipokufa kama kuku!!
Hujachanganya mkuu, iko hivyo kabisaKwamba hiyo ndege imeangushwa makusudi na rubani Ili kupima waokoaji...!!Au nachanganya madesa
Sio mwaka huu,hata siku tatu hazijapita tangu alete Uzi humu,sijui ulifutwa au bado upo?Aliota tena mwaka huu?
Kuna watu huwa wanasema Tanzania ni Channel ya comedy huko Mbinguni,naanza kuwaelewaMajaribio ya kuua
Duh alisemaje mkuuSio mwaka huu,hata siku tatu hazijapita tangu alete Uzi humu,sijui ulifutwa au bado upo?
mala wamekufa watu 10 mala hiyo nimajaribio ya uokoziTaarifa zaidi badae,
Kuna mtu yupo Kahama kanitaarifu kuwa Kuna ndege imeanguka, ambulance na fire zinakimbia eneo la tukio.
---
UPDATES;
Ndege aina ya Garet 5Q KTM ikiwa na abiria 42 imeanguka nje kidogo ya uwanja wa ndege wa Kahama wakati ikijaribu kutua kwa dharura huku watu 10 wanasadikiwa kufariki katika ajali hiyo.
Ndege hiyo ilikuwa ikitokea nchini Rwanda kuelekea Msumbiji kupitia Dar es Salaam.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mboni Mhita amesema kwamba ajali ya ndege iliyotokea wilayani Kahama ni majaribio kwa ajili ya kupima utayari wa kuokoa pindi ajali za ndege zinapotokea ambapo kiuhalisia hakuna vifo vilivyojitokeza.
Wangapi walipona?