Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh! Hazikuwa na watu, au inakuwaje?Hapo hapo wanaji changanya mara waseme ni ya majaribio...
Media za kukurupuka.View attachment 2515892
Majaribio? Kwa maana ilikua haina marubani? Au marubani nao walianguka ili kujaribu kama hawatakufa?Hapo hapo wanaji changanya mara waseme ni ya majaribio...
Media za kukurupuka.View attachment 2515892
Taarifa Haijakamilika
Mnaomba ajali mnajifanya mnajua namna ya kuzikabili, zikija mnawaachia akina majaliwa mnakuja baada ya masaa mawili bila vifaa vya uokoziHapo hapo wanaji changanya mara waseme ni ya majaribio...
Media za kukurupuka.View attachment 2515892
Ni sawa na mtu kujitekenyaTaarifa zaidi badae,
Kuna mtu yupo Kahama kanitaarifu kuwa Kuna ndege imeanguka, ambulance na fire zinakimbia eneo la tukio
===
UPDATES;
===
Mkuu wa wilaya ya Kahama, Mboni Mhita amesema kwamba ajali ya ndege iliyotokea wilayani Kahama ni majaribio kwa ajili ya kupima utayari wa kuokoa pindi ajali za ndege zinapotokea ambapo kiuhalisia hakuna vifo vilivyojitokeza.
... Hata ya Bukoba walisema ni mazoezi ya utayari...ujinga huu unatakiaa ufike mwisho,tuwe na uhuru wa habari...watawala wakubali na wawe wanatoa maelezo ya kina...Taarifa zaidi badae,
Kuna mtu yupo Kahama kanitaarifu kuwa Kuna ndege imeanguka, ambulance na fire zinakimbia eneo la tukio...
Ila mkuu badilisha basi Jina la ID yako. Duh Senior IdiotWewe ni mpumbavu mkuu, nimeweka taarifa kama tetesi maana Kuna mtu kaniambia, ajabu unanitukana kua tuendelee kukaa vijiweni kujadili wanaume, yote hayo ya Nini??? Sasa taarifa imekua kweli kwanini wewe ulikua unatukana bila kujua kinachoendelea?