Serikali: Ndege inayodaiwa kuanguka Kahama ni Majaribio ya Utayari

Serikali: Ndege inayodaiwa kuanguka Kahama ni Majaribio ya Utayari

Kuna muda kamati za ulinzi na usalama zikipima na kuelewa mwenyekiti wao yupoje basi hawampi taarifa sahii.Ninajaribu kuwaza tuu na sio level ya kiwilaya hadi juu.Naendele kuwaza
 
Taarifa zaidi badae,

ajali ya ndege iliyotokea wilayani Kahama ni majaribio kwa ajili ya kupima utayari wa kuokoa pindi ajali za ndege zinapotokea ambapo kiuhalisia hakuna vifo vilivyojitokeza.

Watu 42 kufanywa majaribio?
 
Kuna kitu hakipo sawa kwenye hii ajali.

Lakini pia kuna kitu hakipo sawa katika utendaji wa viongozi wa serikali na taasisi zake, DC anasema hiki na kiongozi wa mamlaka anasema kingine.

Kama tutaendelea kuwapa watu uongozi kwa kuwa ni chawa wazuri, kuna siku tutakuja kuwa na viongozi wapumbavu sana. Huu ni wasiwasi wangu.
Hata sasa tunao hao wapumbavu uliowasema
 
Ilitoka Rwanda kuelekea msumbiji😳😳😳

Rwanda Ina maslah Gani msumbiji?

Inatumika kufadhili Yale mambo haramu?

Vyombo vyetu viongeze ulinzi.
Ndoto za mlipuko wa Moto hewani za wazee wa kisukuma naziona dalili zake!

Huyo jamaa mrefu hatoacha hii fedheha ipite HIVI HIVI!

Kikosi cha anga kiwe macho Sasa na humu NDANI tunao Hao Ndugu ZETU wenye ASILI ya HUKO!!

Mungu IBARIKI nchi yetu Tanzania niipendayo Sana
 
Ndoto za mlipuko wa Moto hewani za wazee wa kisukuma naziona dalili zake!

Huyo jamaa mrefu hatoacha hii fedheha ipite HIVI HIVI!

Kikosi cha anga kiwe macho Sasa na humu NDANI tunao Hao Ndugu ZETU wenye ASILI ya HUKO!!

Mungu IBARIKI nchi yetu Tanzania niipendayo Sana
Amen
 
Hiyo ajali ya ndege ilikua mbaya sana huwezi kuamini jinsi yule kunguru alivyoanguka
 
Kwamba kuna rubani anaweza hatarisha maisha yake kiasi hiko?
Umewahi kuwaza pia wale wanaojitoa mhanga kulipua wenzao?

Bila shaka hupewa kitu chochote kile ili wao watangulie na ndugu zao kufaidi pesa zile


Utajuaje mkuu juu ya rubani yule
 
Haya mambo ya kupima utayari yaanhaliwe sana
Hào wenyewe wanaopima utayari hawana speed ya kukabiliana na hayo matukio. Sasa inapokuja kuwategemea hao ambao magari yao mara hayana maji,mara waseme halikua na mafuta mara dereva alikua na vichomi

Haya mambo waachiwe wenzetu waliokamilika sisi tuendelee kusubiri
 
Naona ni mwendo wa majaribio tu.

Asbh hiii tawi flani la CRDB wametufanyia majaribio.
Wajuba wamebonyeza king’ora.. watu tunaanza kushangaa ni nini. Meneja anasema tokeni nje hiko ni king’ora cha moto.
Dah tumetoka, mpk staff wao wote wakatoka.

Si ndio wanatuambia ni majaribio 😁
Ila hii nchi ni ngumu
 
Back
Top Bottom