Serikali (NEMC na TCRA) kuna pesa za bure hapa wala msijiulize mara mbili

Serikali (NEMC na TCRA) kuna pesa za bure hapa wala msijiulize mara mbili

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kila idara ya serikali siku hizi ina vyanzo vya mapato!
Ndungu zangu NEMC naona bado wamelala usingizi wa pono wakati kuna pesa kibao za kuokota!

1. Sheria na kanuni za mazingira ziko wazi kabisa! Hivyo basi!

Nashauri NEMC ianze kutoza kodi ya spika na miziki mikubwa katika kumbi na taasisi!
Hilo halimaanishi wanazuia burudani au ibada la hasha Bali wanasimamia matumizi ya SPIKA.

Taasisi, kumbi na vikundi vya starehe wanaotumia spika zaidi ya 150watts wawekewe tozo kulingana na kiwango cha desibeli au ukubwa wa chombo cha mziki (1000@watts size) yaani kwa kiwango cha wati moja iwe ni Tsh 1000 (elfu moja)

Wapewe stika kwamba wamelipia kwa mwaka!
Mfano. Spika moja yenye watts 1000W watachangia kiasi kidogo cha 1MIL (Pesa hizi asilimia 50% ziende serikalini na 50% zirudi kwenye kata kama posho za wenyeviti wa mtaa na madiwani kwasababu hawana mishahara)

Na fomu hizo za kibali cha mziki zipatikane mtandaoni au serikali ya mtaa! Na nakala ya stika ya NEMC ibandikwe serikali ya mtaa ili kila mwananchi aone Kuonesha taasisi husika inayopiga makelele mtaani kuwa imelipia!
Hii itarahisisha zoezi wananchi kutoa taarifa kwa taasisi ambazo hazijalipia!

Mziki wowote mkubwa wa siku moja au endelevu lazima utumie spika iliyolipiwa tozo ya NEMC

Makaidi wa kulipa wataifishwe Mali hizo au kufungiwa huduma!

Serikali haizuii Burudani au ibada Bali itakuwa inasimamia mazingira, Kwa wanaoabudu Mungu Kweli watasali kwa utulivu. Wataoona kuna ulazima wa kutumia spika basi wasiache kulipia mazingira (Discouraging principal)

2. Nashauri TCRA nao wasiache kuremba, wachukue pesa kwa yoyote anae jirekodi kinyume na maadili mtandaoni. Ushahidi iwe ni vedeo yenyewe, Wanaojirekodi wakinengua style za kingono watozwe faini kwa kila video moja pasipo HURUMA, kwa wanaovujisha video za ngono faini iwe kubwa zaidi!

NOTE! Yoyote anakaejitokeza kubinua mdomo kutetea au kuibua jambo la utetezi huo popote inje ya mahakama ashughulikiwe (kama ni mbunge avuliwe hata uanachama!) Kama ni chombo cha habari kitakachorusha habari ya kutetea nacho kiunganishwe kwa kutozwa faini!

NCHI HII WASTAARABU HAWANA MSEMAJI! WANAONEWA SANA KWA Ujinga wa baadhi ya watu wenye tabia za KIPIMBI.

Tatizo kubwa la wasitaarabu wanapenda kukaa kimya kwenye mambo yanaowagusa; hata humu wamo ingawa huumia kimoyo moyo!

Naomba kuwakilisha hoja hii! Aksante!
 
wasimamizi wa sheria wana ogopa sheria...
 
wasimamizi wa sheria wana ogopa sheria...
Juzi karibu wa CCM alikuwa anasema wanatafta namna angalau wenyeviti na madiwani wawape posho!
Nafikili huku ndiko sehemu sahihi pa kupataza pesa hizo
 
Juzi karibu wa CCM alikuwa anasema wanatafta namna angalau wenyeviti na madiwani wawape posho!
Nafikili huku ndiko sehemu sahihi pa kupataza pesa hizo
Posho ni nini? je ni kweli hawa pewi posho? au hawa pewi mishahara?
 
3. Kuna watu wamechokonoa exhausts za vyombo Vyao vya moto kama pikipiki na magari yakipita mtaani ni shida nao kwa sheria za NEMC au HALMASHAURI walipie.

4. Watiririshaji wa maji machafu, watupa TAKATAKA ovyo nao wakutane na hilo Rungu la sheria[Mapato]
 
Vipi yale maspika na makelele ya kijani kipindi cha uchaguzi nako watabandika stika??

#MaendeleoHayanaChama
 
3. Kuna watu wamechokonoa exhausts za vyombo Vyao vya moto kama pikipiki na magari yakipita mtaani ni shida nao kwa sheria za NEMC au HALMASHAURI walipie.

4. Watiririshaji wa maji machafu, watupa TAKATAKA ovyo nao wakutane na hilo Rungu la sheria[Mapato]
Kero ziwe fursa
 
Hatari sana...

Kwa hao wanengua viuno, mfalme Zumaridi atazowa pesa nyingi sana...
 
Wapewe stika kwamba wamelipia kwa mwaka!
Mfano. Spika moja yenye watts 1000W watachangia kiasi kidogo cha 1MIL (Pesa hizi asilimia 50% ziende serikalini na 50% zirudi kwenye kata kama posho za wenyeviti wa mtaa na madiwani kwasababu hawana mishahara)

Na fomu hizo za kibali cha mziki zipatikane mtandaoni au serikali ya mtaa! Na nakala ya stika ya NEMC ibandikwe serikali ya mtaa ili kila mwananchi aone Kuonesha taasisi husika inayopiga makelele mtaani kuwa imelipia!
Hii itarahisisha zoezi wananchi kutoa taarifa kwa taasisi ambazo hazijalipia!

Mziki wowote mkubwa wa siku moja au endelevu lazima utumie spika iliyolipiwa tozo ya NEMC

Makaidi wa kulipa wataifishwe Mali hizo au kufungiwa huduma!
Wakilipia itabidi tuhame makazi tuwaachie wapige miziki, dawa ni kuwwaambia wte waweke soundproof tu, wakae walale na kelele zao wasitusumbue
 
3. Kuna watu wamechokonoa exhausts za vyombo Vyao vya moto kama pikipiki na magari yakipita mtaani ni shida nao kwa sheria za NEMC au HALMASHAURI walipie.

4. Watiririshaji wa maji machafu, watupa TAKATAKA ovyo nao wakutane na hilo Rungu la sheria[Mapato]
Kiukweli NEMC ni toothless
 
Kiukweli NEMC ni toothless
Sio toothless..ni vile tu wameamua kukumbatia rushwa..mana rushwa inapoteza uwezo wa taasisi kufanya kazi..kiufupi wamefika bei.

Ila si washangai sana mana wala rushwa wakubwa ndio hao wanao wateua na kuwaweka kwenye hizo position..hivi ni like father like son.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kila idara ya serikali siku hizi ina vyanzo vya mapato!
Ndungu zangu NEMC naona bado wamelala usingizi wa pono wakati kuna pesa kibao za kuokota!

1. Sheria na kanuni za mazingira ziko wazi kabisa! Hivyo basi!

Nashauri NEMC ianze kutoza kodi ya spika na miziki mikubwa katika kumbi na taasisi!
Hilo halimaanishi wanazuia burudani au ibada la hasha Bali wanasimamia matumizi ya SPIKA.

Taasisi, kumbi na vikundi vya starehe wanaotumia spika zaidi ya 150watts wawekewe tozo kulingana na kiwango cha desibeli au ukubwa wa chombo cha mziki (1000@watts size) yaani kwa kiwango cha wati moja iwe ni Tsh 1000 (elfu moja)

Wapewe stika kwamba wamelipia kwa mwaka!
Mfano. Spika moja yenye watts 1000W watachangia kiasi kidogo cha 1MIL (Pesa hizi asilimia 50% ziende serikalini na 50% zirudi kwenye kata kama posho za wenyeviti wa mtaa na madiwani kwasababu hawana mishahara)

Na fomu hizo za kibali cha mziki zipatikane mtandaoni au serikali ya mtaa! Na nakala ya stika ya NEMC ibandikwe serikali ya mtaa ili kila mwananchi aone Kuonesha taasisi husika inayopiga makelele mtaani kuwa imelipia!
Hii itarahisisha zoezi wananchi kutoa taarifa kwa taasisi ambazo hazijalipia!

Mziki wowote mkubwa wa siku moja au endelevu lazima utumie spika iliyolipiwa tozo ya NEMC

Makaidi wa kulipa wataifishwe Mali hizo au kufungiwa huduma!

Serikali haizuii Burudani au ibada Bali itakuwa inasimamia mazingira, Kwa wanaoabudu Mungu Kweli watasali kwa utulivu. Wataoona kuna ulazima wa kutumia spika basi wasiache kulipia mazingira (Discouraging principal)

2. Nashauri TCRA nao wasiache kuremba, wachukue pesa kwa yoyote anae jirekodi kinyume na maadili mtandaoni. Ushahidi iwe ni vedeo yenyewe, Wanaojirekodi wakinengua style za kingono watozwe faini kwa kila video moja pasipo HURUMA, kwa wanaovujisha video za ngono faini iwe kubwa zaidi!

NOTE! Yoyote anakaejitokeza kubinua mdomo kutetea au kuibua jambo la utetezi huo popote inje ya mahakama ashughulikiwe (kama ni mbunge avuliwe hata uanachama!) Kama ni chombo cha habari kitakachorusha habari ya kutetea nacho kiunganishwe kwa kutozwa faini!

NCHI HII WASTAARABU HAWANA MSEMAJI! WANAONEWA SANA KWA Ujinga wa baadhi ya watu wenye tabia za KIPIMBI.

Tatizo kubwa la wasitaarabu wanapenda kukaa kimya kwenye mambo yanaowagusa; hata humu wamo ingawa huumia kimoyo moyo!

Naomba kuwakilisha hoja hii! Aksante!
Wazo zuri, Kenya wanafanya hivyo, kuanzia

Anepiga mziki mkubwa kwenye maduka ya mitaani na msoko (mziki ambao unasikika hadi nnje ya duka , kama mziki hausikiki nnje huitaji kibali) analipia ili kupata kibali kwa hiyo kama duka lako huna kibali cha kupiga music na ukapiga unakamatwa na kupigwa fine.

Magari ya matangazo - yanalipia

Matangazo ya mtaani kama tigo, voda na mengine ya promotion - yanalipiwa

sherehe zote zinalipia kibali cha kupiga music

makanisa na misikiti hawajaweka so hawahitaji kibali isipokua kwa mikutano inayofanyika nnje ya nyumba zao za ibada ndio wanalipia.

na mengine mengi yanayohusu music ambao unasikika nnje ya eneolako unalomiliki lazima yapate kibali after kulipia

Hivyo yeah ni wazo zuri.


Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Wakilipia itabidi tuhame makazi tuwaachie wapige miziki, dawa ni kuwwaambia wte waweke soundproof tu, wakae walale na kelele zao wasitusumbue
Sound proof wengine wana mabanda ya bati
 
Back
Top Bottom