Serikali piteni kwenye mabaa chunguzeni bia za windhoek. WATATUUA JAMANI

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Najua nitaonekana mlevi lakini kuna uwezekano mkubwa sana hizi bia kuna viwanda vya uchochoroni vinaendelea.

Ukizingatia wamiliki wengi ni wachaga ambao nao pesa ni zaidi ya uhai wa mtu. Hivyo ni rahisi wakafanya mchongo na wachina kutengeneza bia feki.

Haiwezekana watu watano wanywe bia nane kila mmoja halafu hata dalili ya stim hakuna. Halafu unalala unaamka unasikia vichomi na magoti kuuma.

Najua kipaumbele chenu ni masuala ya hali ya kisiasa lakini hebu hata haya yanayogusa afya za watu yazingatieni. MKIAMUA KULIPA UZITO HILI NINAAMINI KUNA KITU KITAGUNDULIKA.

HIZI BIA ZIMEKUWA ZIKILALAMIKIWA SANA.

Naendelea kutoa angalizo kwamba katika hili MSINICHUKULIE KAMA VILE NI MLEVI TU, maana tunajuana wabongo, mtu akiende polisi kutoa taarifa kuwa umeibiwa hela ukiwa baa unaweza ukawekwa mahabusu wewe mwenyewe hadi asubuhi
 
Hiyo ni kazi ya TFDA.
 
Acheni kunywa ,kwani kabla ya hizo Windhoek mlikuwa mnakunywa nini? Kunyweni safari au Kilimanjaro na balimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…