Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Hii ni imported beer, kama kuna feki basi Dar kuna watu wanatembea na fursa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wewe ni mlevi, kila kitu tiss na tiss yenyewe hata haijitambui kwenye masuala muhimu ya usalama wa nchi.Najua nitaonekana mlevi lakini kuna uwezekano mkubwa sana hizi bia kuna viwanda vya uchochoroni vinaendelea.
Ukizingatia wamiliki wengi ni wachaga ambao nao pesa ni zaidi ya uhai wa mtu. Hivyo ni rahisi wakafanya mchongo na wachina kutengeneza bia feki.
Haiwezekana watu watano wanywe bia nane kila mmoja halafu hata dalili ya stim hakuna. Halafu unalala unaamka unasikia vichomi na magoti kuuma.
Najua kipaumbele chenu ni masuala ya hali ya kisiasa lakini hebu hata haya yanayogusa afya za watu yazingatieni. MKIAMUA KULIPA UZITO HILI NINAAMINI KUNA KITU KITAGUNDULIKA.
HIZI BIA ZIMEKUWA ZIKILALAMIKIWA SANA.
Naendelea kutoa angalizo kwamba katika hili MSINICHUKULIE KAMA VILE NI MLEVI TU, maana tunajuana wabongo, mtu akiende polisi kutoa taarifa kuwa umeibiwa hela ukiwa baa unaweza ukawekwa mahabusu wewe mwenyewe hadi asubuhi
Wewe upo gizani, Dar mpaka Jack Daniels zipo fake.Hii ni imported beer, kama kuna feki basi Dar kuna watu wanatembea na fursa.
Yaan wewe unalewa wakati sisi tunapigania bandar wanaiuza bora wakupige kisukar kabisaNajua nitaonekana mlevi lakini kuna uwezekano mkubwa sana hizi bia kuna viwanda vya uchochoroni vinaendelea.
Ukizingatia wamiliki wengi ni wachaga ambao nao pesa ni zaidi ya uhai wa mtu. Hivyo ni rahisi wakafanya mchongo na wachina kutengeneza bia feki.
Haiwezekana watu watano wanywe bia nane kila mmoja halafu hata dalili ya stim hakuna. Halafu unalala unaamka unasikia vichomi na magoti kuuma.
Najua kipaumbele chenu ni masuala ya hali ya kisiasa lakini hebu hata haya yanayogusa afya za watu yazingatieni. MKIAMUA KULIPA UZITO HILI NINAAMINI KUNA KITU KITAGUNDULIKA.
HIZI BIA ZIMEKUWA ZIKILALAMIKIWA SANA.
Naendelea kutoa angalizo kwamba katika hili MSINICHUKULIE KAMA VILE NI MLEVI TU, maana tunajuana wabongo, mtu akiende polisi kutoa taarifa kuwa umeibiwa hela ukiwa baa unaweza ukawekwa mahabusu wewe mwenyewe hadi asubuhi
Mkuu mbona majani hawajatoa orodha yake. Wakati hutumika kila siku nchini Tanzania bara.Ila tambua walevi ndio wanachangia kodi kubwa katika serikali ni moja ya kundi la walipa kodi waaminifuView attachment 2723171
Mkuu mbona majani hawajatoa orodha yake. Wakati hutumika kila siku nchini Tanzania bara.
Muhuni wewe sisi ni chawa wenye manufaa, tupo kwa ajili ya Mama yetu Dkt Samia. 2025 tunaomba kura yako!Mungu alimuumba binadamu kuwa kiumbe daraja la juu kabisa, leo unajifananisha na chawa, akili zenu ziko wapi?
Kwa Mtu anaetafuta BIASHARA ya kufanya Namshauri Acheze na Hii PICHA atanishukuru BADAE.Ila tambua walevi ndio wanachangia kodi kubwa katika serikali ni moja ya kundi la walipa kodi waaminifuView attachment 2723171
Kwa sasa hakuna Taasisi inayoitwa TFDA bali TMDA. Nadhani hiyo itakuwa ni kazi ya TBS kama sijakosea !!!Hiyo ni kazi ya TFDA.
Majani ambayo watu jamii ya rastafari hutumia zaidi.Majani ya chai ama??
Ndugu yangu hapa waombe radhi hawa jamaa zanguUkizingatia wamiliki wengi ni wachaga ambao nao pesa ni zaidi ya uhai wa mtu.
Hata mkipata stimu za kufa mtu kwa bia nne, bado mtayasema haya haya..!! We acha tunywe yaishe. Kwanza maisha yenyewe haya mafupi!!Najua nitaonekana mlevi lakini kuna uwezekano mkubwa sana hizi bia kuna viwanda vya uchochoroni vinaendelea.
Ukizingatia wamiliki wengi ni wachaga ambao nao pesa ni zaidi ya uhai wa mtu. Hivyo ni rahisi wakafanya mchongo na wachina kutengeneza bia feki.
Haiwezekana watu watano wanywe bia nane kila mmoja halafu hata dalili ya stim hakuna. Halafu unalala unaamka unasikia vichomi na magoti kuuma.
Najua kipaumbele chenu ni masuala ya hali ya kisiasa lakini hebu hata haya yanayogusa afya za watu yazingatieni. MKIAMUA KULIPA UZITO HILI NINAAMINI KUNA KITU KITAGUNDULIKA.
HIZI BIA ZIMEKUWA ZIKILALAMIKIWA SANA.
Naendelea kutoa angalizo kwamba katika hili MSINICHUKULIE KAMA VILE NI MLEVI TU, maana tunajuana wabongo, mtu akiende polisi kutoa taarifa kuwa umeibiwa hela ukiwa baa unaweza ukawekwa mahabusu wewe mwenyewe hadi asubuhi
Nimerudi nyumbaniNajua nitaonekana mlevi lakini kuna uwezekano mkubwa sana hizi bia kuna viwanda vya uchochoroni vinaendelea.
Ukizingatia wamiliki wengi ni wachaga ambao nao pesa ni zaidi ya uhai wa mtu. Hivyo ni rahisi wakafanya mchongo na wachina kutengeneza bia feki.
Haiwezekana watu watano wanywe bia nane kila mmoja halafu hata dalili ya stim hakuna. Halafu unalala unaamka unasikia vichomi na magoti kuuma.
Najua kipaumbele chenu ni masuala ya hali ya kisiasa lakini hebu hata haya yanayogusa afya za watu yazingatieni. MKIAMUA KULIPA UZITO HILI NINAAMINI KUNA KITU KITAGUNDULIKA.
HIZI BIA ZIMEKUWA ZIKILALAMIKIWA SANA.
Naendelea kutoa angalizo kwamba katika hili MSINICHUKULIE KAMA VILE NI MLEVI TU, maana tunajuana wabongo, mtu akiende polisi kutoa taarifa kuwa umeibiwa hela ukiwa baa unaweza ukawekwa mahabusu wewe mwenyewe hadi asubuhi
Haha nilitegemea atawaongelea watu wa idara ya viwango vya ubora wa bidhaa, ye kawataja TISS🤣🤣🙌Tiss Tena 😂
😂😂 Mwanetu kiboko.Haha nilitegemea atawaongelea watu wa idara ya viwango vya ubora wa bidhaa, ye kawataja TISS🤣🤣🙌