MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Windhoek ilikua bia yangu pendwa ila niliachana nayo baada ya kuhisi kama inachakachuliwa sana. Kunywa tena hii bia labda nikienda ubalozi wa Namibia au 5 star hotel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlitumwa mnywe bia? ndo vzr mkifa tuwapige wake zenu shoo, hata saivi hamna Tena nguvu za kiume, wake zenu wanatutaka na sisi hatusiti kuwapelekea motoNajua nitaonekana mlevi lakini kuna uwezekano mkubwa sana hizi bia kuna viwanda vya uchochoroni vinaendelea.
Ukizingatia wamiliki wengi ni wachaga ambao nao pesa ni zaidi ya uhai wa mtu. Hivyo ni rahisi wakafanya mchongo na wachina kutengeneza bia feki.
Haiwezekana watu watano wanywe bia nane kila mmoja halafu hata dalili ya stim hakuna. Halafu unalala unaamka unasikia vichomi na magoti kuuma.
Najua kipaumbele chenu ni masuala ya hali ya kisiasa lakini hebu hata haya yanayogusa afya za watu yazingatieni. MKIAMUA KULIPA UZITO HILI NINAAMINI KUNA KITU KITAGUNDULIKA.
HIZI BIA ZIMEKUWA ZIKILALAMIKIWA SANA.
Naendelea kutoa angalizo kwamba katika hili MSINICHUKULIE KAMA VILE NI MLEVI TU, maana tunajuana wabongo, mtu akiende polisi kutoa taarifa kuwa umeibiwa hela ukiwa baa unaweza ukawekwa mahabusu wewe mwenyewe hadi asubuhi
We tamba tu, ipo siku yako 🤣🤣Mlitumwa mnywe bia? ndo vzr mkifa tuwapige wake zenu shoo, hata saivi hamna Tena nguvu za kiume, wake zenu wanatutaka na sisi hatusiti kuwapelekea moto
Hilooooo limekosea, Mimi sina mkeMlitumwa mnywe bia? ndo vzr mkifa tuwapige wake zenu shoo, hata saivi hamna Tena nguvu za kiume, wake zenu wanatutaka na sisi hatusiti kuwapelekea moto
Kumbuka hao ndio jicho la nchi. Wewe jua tu kuwa TISS wakiamua kuchunguza nyumba yako unaweza kushangaa wakakupa hata taarifa usizozijua za chumbani kwako. Hivyo hao unaosema wa TBS waache maana stop yao is too limitedHaha nilitegemea atawaongelea watu wa idara ya viwango vya ubora wa bidhaa, ye kawataja TISS🤣🤣🙌
Badilisha kilevi, gonga kitu "jogoo"Najua nitaonekana mlevi lakini kuna uwezekano mkubwa sana hizi bia kuna viwanda vya uchochoroni vinaendelea.
Ukizingatia wamiliki wengi ni wachaga ambao nao pesa ni zaidi ya uhai wa mtu. Hivyo ni rahisi wakafanya mchongo na wachina kutengeneza bia feki.
Haiwezekana watu watano wanywe bia nane kila mmoja halafu hata dalili ya stim hakuna. Halafu unalala unaamka unasikia vichomi na magoti kuuma.
Najua kipaumbele chenu ni masuala ya hali ya kisiasa lakini hebu hata haya yanayogusa afya za watu yazingatieni. MKIAMUA KULIPA UZITO HILI NINAAMINI KUNA KITU KITAGUNDULIKA.
HIZI BIA ZIMEKUWA ZIKILALAMIKIWA SANA.
Naendelea kutoa angalizo kwamba katika hili MSINICHUKULIE KAMA VILE NI MLEVI TU, maana tunajuana wabongo, mtu akiende polisi kutoa taarifa kuwa umeibiwa hela ukiwa baa unaweza ukawekwa mahabusu wewe mwenyewe hadi asubuhi
Acha wivu wewe. Huo mshahara unaolipwa ujue kuna mchango wetu sisi walevibia unakunywa ukiamka memory imefuta kila kitu hahahhaaha walevi kazi mnayo
Nimeongea ukweli maana nawajua ndugu zangu hawa kwenye issue ya hela. Hivyo kwenye bidhaa feki zinazozalishwa na wachina ujue mshirika mkubwa ni MangiNdugu yangu hapa waombe radhi hawa jamaa zangu
Walipita, ila wakawakuta masheikh wa BAKWATA wanazitiririsha bia pamoja na kitimoto bila wasi. Ikabidi wawaache!Maaskofu wa tec wanafanya kazi gani hawajapita huko kuokowa maisha ya Watanzania? Au wao wamekalia umbea tu?
Nashukuru sana MLEVI mwenzanguWindhoek ilikua bia yangu pendwa ila niliachana nayo baada ya kuhisi kama inachakachuliwa sana. Kunywa tena hii bia labda nikienda ubalozi wa Namibia au 5 star hotel
Saizi ni mwendo wa Hanson's choice tu mkuu.Nashukuru sana MLEVI mwenzangu
Umeikalia nn..mda huuKufa tu maana mil 60 ni wengi mno, angalau tubaki mil 24
Jua kuwa umeenda mbali sana. You should start with the authority concerned, katika hili sitaongea mengi ila kama ni intelligent enough itakuwa umeelewa mkuuKumbuka hao ndio jicho la nchi. Wewe jua tu kuwa TISS wakiamua kuchunguza nyumba yako unaweza kushangaa wakakupa hata taarifa usizozijua za chumbani kwako. Hivyo hao unaosema wa TBS waache maana stop yao is too limited
Ni kweli hivyo vyombo ulivyovitaja ndio jukumu lao hasa lakini BINAFSI NINAAMINI ZAIDI JICHO LA TISS katika kuvisaidia hivyo vyombo kupata taarifa sahihi. Kumbuka dunia hii ina watu wana uwezo wa kutengeneza feki yenye kiwango kilekile ambacho hata jamaa wa TBS na TFDA wakipima samples wanakuta results ni ileile. So unaweza kupima lakini ni feki tu.Kweli wewe ni mlevi, kila kitu tiss na tiss yenyewe hata haijitambui kwenye masuala muhimu ya usalama wa nchi.
Kuna taasisi inaitwa Tanzania bureau of standards tbs, wafanye kazi gani? Kuna food and drug administration FDA, wafanye kazi gani, au ndio maana hata hawajui hayo unayoongelea kwa sababu kuna tiss!!
Those organs you are talking about they're not smart enough. Ndio maana nimewa alert jamaa wa darubini kaliJua kuwa umeenda mbali sana. You should start with the authority concerned, katika hili sitaongea mengi ila kama ni intelligent enough itakuwa umeelewa mkuu
Kipusa mkubwaUmeikalia nn..mda huu