Serikali piteni kwenye mabaa chunguzeni bia za windhoek. WATATUUA JAMANI

Windhoek ilikua bia yangu pendwa ila niliachana nayo baada ya kuhisi kama inachakachuliwa sana. Kunywa tena hii bia labda nikienda ubalozi wa Namibia au 5 star hotel
 
Mlitumwa mnywe bia? ndo vzr mkifa tuwapige wake zenu shoo, hata saivi hamna Tena nguvu za kiume, wake zenu wanatutaka na sisi hatusiti kuwapelekea moto
 
Mlitumwa mnywe bia? ndo vzr mkifa tuwapige wake zenu shoo, hata saivi hamna Tena nguvu za kiume, wake zenu wanatutaka na sisi hatusiti kuwapelekea moto
We tamba tu, ipo siku yako 🤣🤣
 
Mlitumwa mnywe bia? ndo vzr mkifa tuwapige wake zenu shoo, hata saivi hamna Tena nguvu za kiume, wake zenu wanatutaka na sisi hatusiti kuwapelekea moto
Hilooooo limekosea, Mimi sina mke
 
Maaskofu wa tec wanafanya kazi gani hawajapita huko kuokowa maisha ya Watanzania? Au wao wamekalia umbea tu?
 
Haha nilitegemea atawaongelea watu wa idara ya viwango vya ubora wa bidhaa, ye kawataja TISS🤣🤣🙌
Kumbuka hao ndio jicho la nchi. Wewe jua tu kuwa TISS wakiamua kuchunguza nyumba yako unaweza kushangaa wakakupa hata taarifa usizozijua za chumbani kwako. Hivyo hao unaosema wa TBS waache maana stop yao is too limited
 
Badilisha kilevi, gonga kitu "jogoo"
 
Kumbuka hao ndio jicho la nchi. Wewe jua tu kuwa TISS wakiamua kuchunguza nyumba yako unaweza kushangaa wakakupa hata taarifa usizozijua za chumbani kwako. Hivyo hao unaosema wa TBS waache maana stop yao is too limited
Jua kuwa umeenda mbali sana. You should start with the authority concerned, katika hili sitaongea mengi ila kama ni intelligent enough itakuwa umeelewa mkuu
 
Aisee nliacha kunywa liquors sbb ya utengenezaj wa pombe feki,km wameanza na kwnye bia c balaa ss
 
Ni kweli hivyo vyombo ulivyovitaja ndio jukumu lao hasa lakini BINAFSI NINAAMINI ZAIDI JICHO LA TISS katika kuvisaidia hivyo vyombo kupata taarifa sahihi. Kumbuka dunia hii ina watu wana uwezo wa kutengeneza feki yenye kiwango kilekile ambacho hata jamaa wa TBS na TFDA wakipima samples wanakuta results ni ileile. So unaweza kupima lakini ni feki tu.

Mliosoma Cuba mtanielewa
 
Jua kuwa umeenda mbali sana. You should start with the authority concerned, katika hili sitaongea mengi ila kama ni intelligent enough itakuwa umeelewa mkuu
Those organs you are talking about they're not smart enough. Ndio maana nimewa alert jamaa wa darubini kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…